Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Kuna mjadala unaendelea space pale twitter aisee kama haya maazimio ya kususia bidhaa na huduma yatafanikiwa hakika itakuwa hatari kwa uchumi.

Ushauri serikali wakutane na wapinzani haraka maana hata mishahara ya mapolisi inaweza kukosa huko mbeleni.

Ni ushauri tu mnaweza kuufanyia kazi au kuupuza ila kama hatua hizi zitafanikiwa hata kwa 25% makusanyo yataporomoka sana.
View attachment 1877729
Ni mjinga tu ndio anaweza kudharau hili lakini ukweli
Kuna mjadala unaendelea space pale twitter aisee kama haya maazimio ya kususia bidhaa na huduma yatafanikiwa hakika itakuwa hatari kwa uchumi.

Ushauri serikali wakutane na wapinzani haraka maana hata mishahara ya mapolisi inaweza kukosa huko mbeleni.

Ni ushauri tu mnaweza kuufanyia kazi au kuupuza ila kama hatua hizi zitafanikiwa hata kwa 25% makusanyo yataporomoka sana.
View attachment 1877729
Ni mjinga tu ndio anaweza kudharau hili,lakini hili jambo linawezekana sana maana halina madhara kama kuandamana.

Sio lazima nitume hela kwa simu,ivyo inawezekana njia hii ikawa safer kuliko maandamano,KUSUSA HUDUMA NA BIDHAA NI SUALA LA KUBADILI TABIA TU IVYO NI NJIA NZURI SANA NA SALAMA SAAANA TU.

Nimejifunza kuwa huwezi kumdhibiti mwanadam.
 
Hivi huko mtaani mnakokuzungumziaga ni wapi? Maana sisi tuliopo humu ndo hao hao tunaoishi mtaani.
Upo sahihi!

Lakini inakuwaje joto la mtaani ni tofauti na joto la kwenye mitandao hususani suala ambalo linajadiliwa kwenye huu Uzi?
 
Kwanini halotel, airtel na tigo wao wapate faida wakati ughali wa vifurushi ulikuwa kwenye makampuni yote?
Hazijawahi kufanana! Mfano halotel elfu 1 unapata gb 1 na madakika kibao wiki nzima wakati voda hiyo elfu 1 hata mb 500 hupati.

Au kama unafikiri yakishuka sababu ya chadema kususia, mbona viongozi wako wote mpaka leo wanatumia voda?

Na hata pale makao makuu ya chama ukitaka kuwapata kwa simu moja ya namba za kuwpata ni voda.
 
Kinachonisikitisha ni pale wajinga wanaposhindwa kuweza kufanya vitu vinavyowezekana kirahisi kufanyika, wanakimbilia mambo magumu na hatawezekani kufanyika, eti wataweza!

Mnashindwa kuandamana, manashindwa kupeleka mazimio ya kulishitaki bunge kwa kukiuka katiba, mmeshindwa kufanya mikutano ya hadhara, mmeshindwa kushinikiza kupata tume huru, mje kuweza suala la kususa bidhaa, kitu ambacho kinafanyika pasipo video, nachokifanya mimi huku ng'wanh'uzi hawezi kukiona mtu aliyeko makambako ila tukikutana kwenye mitandao tunakubaliana tu kwamba, hatutonunua bidhaa fulani fulani, Chadema kichwa chenu sasa kina majimaji aisee
 
Umesikiliza au huna masikio unataka kutafuniwa?
Hawasemi kususia, wanasema kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.
Kwa mfano ulikua unakunywa soda 2 kwa siku, kunywa moja tu.
Unavuta sigala 4 kwa siku, vuta mbili.
Unakunywa bia 6, kunywa 3.
Kuna zile sehemu ambazo hazimdhuru mtu na ni muhimu kwa serikali ambayo inapata jeuri na kuwadharau walipa kodi ndizo zenye kupigwa. Hii kampeni unaweza ukaidharau lakini ikiwafikia wengi ni hatari
Basi siyo tu wapumbavu ila ni malofa
 
Kuna mjadala unaendelea space pale twitter aisee kama haya maazimio ya kususia bidhaa na huduma yatafanikiwa hakika itakuwa hatari kwa uchumi.

Ushauri serikali wakutane na wapinzani haraka maana hata mishahara ya mapolisi inaweza kukosa huko mbeleni.

Ni ushauri tu mnaweza kuufanyia kazi au kuupuza ila kama hatua hizi zitafanikiwa hata kwa 25% makusanyo yataporomoka sana.
View attachment 1877729
Ni njia nzuri sana na ina manufaa yafuatayo:

Inaondoa stress kwa wenye ndugu zetu walioteswa na mfumo wa CCM,eg. Nikikumbuka utesaji na unyanyasaji wa policcm naondoa stress kwa kutotumia Mpesa.

Nikikumbuka gharama kubwa za kodi na maisha,sinywi pombe ila situmii mifumo ya kifedha ya simu.

Inasaidia kupunguza gharama sana.

Ni mbadala wa maandamano...what a brilliant idea!
 
Eh! Wewe una akili nyingi sana, na kwa kitendo hicho ulichomfanyia jamaa yako Nafikiri kila mmoja ana kuona shujaa! Utalinganishwa na watu kama Gandhi, Mandela, Martin Luther, Lumumba na Che kwa kitendo hicho ulichomfanyia jamaa yako! Una matendo mema sana!

Sio hao uliowataja tu boss, ni wengi sana nafananishwa nao. Tena naona kama hii mbinu nimechelewa kuitumia. Una swali, hoja au maoni kwa msaada zaidi?
 
Mpaka sasa mimi nimesitisha kutuma pesa kwa njia ya muamala ya simu. Na sinunui chochote kwenye duka la mwanaccm, huku ni kishawishi watu wengi kufanya hivyo. Nitanunua kitu kwa mwanaccm inaposhindikana. Pia unahakikisha kushawishi wapinzani hakuna kuhudhuria sherehe wala msiba wa mwanaccm. Jamaa yangu kafiwa na mama yake mwanaccm, nimemwambia natoa mchango tu ila msiba wa mwanaccm sihudhurii. Na kwenye kikao cha mazishi nikalisema hilo wazi. Nilifurahi maana niliwagawa watu kwenye msiba ule. Mjinga mmoja wa ccm anaitumia sms usiku kuwa hivyo sio vizuri kwakuwa sisi ni watanzania. Sijamjibu huo upuuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nmecheka ila kiukweli nmekuonea huruma!
 
Hivi voda ilivyo sasa ndivyo ilikuwa miaka 5 iliyopita? Unajua voda imetengeneza hasara ya billion 60 mwaka Jana

Unafikiri ni kwanini wametengeneza hasara wakati

Airtel, Tigo na halotel wametengeneza faida?
Danganya wajinga, hakuna kampuni iliyohangaika kama halotel ni miezi kama miwili imepita Sasa tangu wafanye mabadiliko na Sasa ndo wameanza kurudi mdogomdogo.

Linapokuja swala la Vodacom huwezi kuilinganisha na watumiaji wa mitandao mingine, ukitaka kuamini angalia watu wanaodaiwa NIPIGE TAFU, SONGESHA na MPAWA, si ajabu hata humu wamo wengi tu.😂
 
Kuna mjadala unaendelea space pale twitter aisee kama haya maazimio ya kususia bidhaa na huduma yatafanikiwa hakika itakuwa hatari kwa uchumi.

Ushauri serikali wakutane na wapinzani haraka maana hata mishahara ya mapolisi inaweza kukosa huko mbeleni.

Ni ushauri tu mnaweza kuufanyia kazi au kuupuza ila kama hatua hizi zitafanikiwa hata kwa 25% makusanyo yataporomoka sana.
View attachment 1877729
Ni mbadala wa maandamano maana huku hawawezi kuja na wataomba poo very soon, ngoja tuonyeshane makali kwanza...

No salary for policcm

No payment for mataga

No harrassments..Hooray!
 
Mpaka sasa mimi nimesitisha kutuma pesa kwa njia ya muamala ya simu. Na sinunui chochote kwenye duka la mwanaccm, huku ni kishawishi watu wengi kufanya hivyo. Nitanunua kitu kwa mwanaccm inaposhindikana. Pia unahakikisha kushawishi wapinzani hakuna kuhudhuria sherehe wala msiba wa mwanaccm. Jamaa yangu kafiwa na mama yake mwanaccm, nimemwambia natoa mchango tu ila msiba wa mwanaccm sihudhurii. Na kwenye kikao cha mazishi nikalisema hilo wazi. Nilifurahi maana niliwagawa watu kwenye msiba ule. Mjinga mmoja wa ccm anaitumia sms usiku kuwa hivyo sio vizuri kwakuwa sisi ni watanzania. Sijamjibu huo upuuzi.
Vipi msiba wa kaka yake Mbowe, ulihudhuria?

Kwa hicho ulichoandika, nakuhurimia sana 😂😂
 
Kuna mjadala unaendelea space pale twitter aisee kama haya maazimio ya kususia bidhaa na huduma yatafanikiwa hakika itakuwa hatari kwa uchumi.

Ushauri serikali wakutane na wapinzani haraka maana hata mishahara ya mapolisi inaweza kukosa huko mbeleni.

Ni ushauri tu mnaweza kuufanyia kazi au kuupuza ila kama hatua hizi zitafanikiwa hata kwa 25% makusanyo yataporomoka sana.
View attachment 1877729
Good watu wasusie huduma mbovu za CCM
 
Back
Top Bottom