Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

simple mbona tulishasusa toka zamani kwa kuwa tunatamani lakini hatuwezi kununua!
lakini la pili ni ipi nia ya ndani ya watu hawa? kipi kimejificha au kuna agenda gani hawa watoto wa watawala wetu wa zamani? ni kweli wanaipenda sana tazania kuliko sisi wenye uraia wa 100%? nadhani unanielewa bado napata mashaka
Kweli hawa ni watoto wa watawala wetu.
Hawana cha maana
Najiuliza huko zenji baba wa yule mbona hakumkosoa?
Mzee wa mifupa je
Wamepandwa kuleta machafuko walisoma kwa hela za wazazi wetu wa kijijini halafu wanatunyea
 
Nipo Space ya Maria Sarungi ambapo baadhi ya makada wa CHADEMA na Wanaharakati wanajenga hoja juu ya kususia bidhaa na huduma mbalimbali ili kuikosesha serikali mapato.

Wanaanza na kutoa historia ya Boycotting ambapo kwa wakati fulani, watu wa Uingereza walikuwa hawapendezwi na biashara ya Utumwa. Ili kuukomesha, wakaacha kutumia Sukari ambayo ilikuwa ikitengenezwa na Watumwa. Na hivyo ikasabisha kiwanda kufungwa kwa sababu bidhaa hazitoki.

Wanasema kuwa, jamii ya Watanzania wakipunguza matumizi ya bidhaa na huduma kama vile unywaji wa Bia, kupunguza matumizi ya sukari, maji ya kunywa, kupunguza miamala isiyo ya lazima na vyakula katika hoteli zilizosajiliwa.

Wanaamini kuwa kupunguza huko matumizi ya huduma na bidhaa itasababisha serikali kukosa kiasi kikubwa cha mapato.

Na kukosa huko mapato itasababisha serikali ishindwe kujiendesha kwa sababu mapato yamepungua. Na bila shaka, kutafuta namna ya kukaa na wadau na kuzungumza nao ili kuweza kutatua yaliyomo.

Wanaamini kuwa, njia hii ya kususia bidhaa na huduma 'Boycotting' itakuwa na ufanisi kwa sababu hakuna polisi watakaokuja kuwalazimisha watu watumie.

Wanaona kuwa njia hii ni ya amani na hivyo itawalazimisha serikali kurudi katika Misingi ya Utawala bora na kuleta uchocheo wa Katiba mpya.

Je, CHADEMA watafanikiwa kwa njia hii?

Siyo rahisi kihivyo. Kuna wana CHADEMA wengi wanahusika kwenye biashara zinazolengwa, zama zimebadikika.

Labda ilikuwa rahisi kwa waingereza na mataifa mengine enzi hizo kutokana na biashara kuhodhiwa na tabaka ndogo la wajanja hivyo wanufaikaji wa moja kwa moja wakawa wanatokea katika tabaka hilo.

Kwa leo, siyo rahisi kihivyo. Wapo wana CHADEMA wataigomea hilo wazo hadharani na wasio na vyama pia wengi watakataa.

Ngoja Watanzania wapigwe pini vyakutosha kwanza ndo mabadiliko yatakuja.

Kwa sasa hata angetekwa raisi mwenyewe, Watanzania wangeishia kulalamika bila vitendo. Nachojaribu kusema ni kwamba uwoga wa Mtanzania ndiyo pingu ya Mtanzania.

Watu waoga yaani mpaka unashindwa kuelewa hii nchi ilifanikiwa vipi kuwa na wananchi mazwazwa kama hawa.
 
Mkuu hili la KUSUSIA huduma muhimu bila ya shaka limewaogopesha sana hawa maccm ná Serikali yao haramu. Kama hili la kususia likiwa na mafanikio makubwa basi maccm lazima yanyooshe mikono juu kwani athari yake katika makusanyo ya mapato ya Serikali yataanguka hata kama ni kwa 20% tu. Fikiria kuelekea 2025 kususia huduma mbali mbali kama maccm yataendelea kukataa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi na kuendelea na maovu yao dhidi ya Watanzania.
Lazima tutanyooka na itatulazimu kuwaombeni CHADEMA tukawe mezani tuyamalize
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ni sehemu ya mbinu za mapambano ya kutafuta HAKI.

Lakini mbinu hii ni lazima iwe imeelekezwa sehemu maalum kwa kuanzia, haiwezi kuwa blanketi la kufunika kila kitu kama inavyoonyeshwa hapa.

Kila aina ya mbinu ya kuleta ukombozi ni lazima ibuniwe, ijadiliwe na ipangwe kufuatana na umuhimu wake na mafanikio yanayoweza kupatikana katika eneo maalum.

Ni kama serikali (CCM) inavyotumia mbinu mbalimbali kuwakandamiza wapinzani, kuna Polisi, kuna Msajiri wa vyama vya siasa, anayetishia kila mara kuwafuta, kuna TBC, n.k..

Kwa hiyo CHADEMA nao ni lazima wabuni mbinu mbalimbali za kuendeleza mapambano.
 
Kwasabu chadema wapo wachache hawatofanikiwa ,labda wananchi kwa ujumla bila kujali vyama ndio hiyo kitu itawezekana kumbuka walisusia voda mpaka sasa inadunda
CDM wachache kwenu.uku kwetu wamejaa fwaa.hawajionyeshi tuu
 
Mahala pake wapi tena ikiwa kauli ya kujenga kama hii inadhatauliwa na hii Serikali dhalimu!?

Unafahamu kwamba ugomvi uliyopo baina ya Marekani na Urusi vilevile ni manufaa kwao?

Kwa sababu ni heri uwe na adui mwenye akili kuliko kuwa na adui mjinga. Hata mbinu za vita ni akili.

Ila ni hatari vilevile kupambana na mtu mjinga. Mimi naamini CCM na vyombo vya dola bado wanawaogopa sana raia.

Kova alisema hakuna uchaguzi uliyompa joto kama wa 2015. Jakaya alisema alidhani CCM inamfia. Chadema na Ukawa walikuwa na nguvu gani? Ni raia tu!

Usipambane na CCM nawe kwa kumuonyeshea msuli hali ya kuwa bado nguvu ndogo! Ni suala la kutumia akili tu kwa kuwekeza mahali ambapo patawaangusha kwa urahisi sana.

Chadema iwekeze kwenye watu kwa maana ni raia wananchi wenyewe kwa wingi. Wakifanya hivyo wanaweza wakampindua CCM.
 
Mkuu haya mapambano dhidi ya maovu mbali mbali nchini kwetu yanayofanywa na hii Serikali haramu ya maccm ni ya Watanzania wote bila kujali itikadi zao. Mfano ni hawa mashangazi Fatma na Maria hawa hawana vyama lakini wanapinga sana maovu ya kila aina na pia wanataka Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi vyote vipatikane kabla ya uchaguzi wa 2025.
Lazima tutanyooka na itatulazimu kuwaombeni CHADEMA tukawe mezani tuyamalize
 
Tunazungumzia kuhusu maovu ya kutisha ndani ya Tanzania yanayofanywa dhidi ya Watanzania na Serikali ambayo haikuchaguliwa na Watanzania. Hayo mambo ya Urusi na Marekani hayahusu kitu hapa. Kafungue uzi wako uyajadili huko.
Unafahamu kwamba ugomvi uliyopo baina ya Marekani na Urusi vilevile ni manufaa kwao?

Kwa sababu ni heri uwe na adui mwenye akili kuliko kuwa na adui mjinga. Hata mbinu za vita ni akili.

Ila ni hatari vilevile kupambana na mtu mjinga. Mimi naamini CCM na vyombo vya dola bado wanawaogopa sana raia.

Kova alisema hakuna uchaguzi uliyompa joto kama wa 2015. Jakaya alisema alidhani CCM inamfia. Chadema na Ukawa walikuwa na nguvu gani? Ni raia tu!

Usipambane na CCM nawe kwa kumuonyeshea msuli hali ya kuwa bado nguvu ndogo! Ni suala la kutumia akili tu kwa kuwekeza mahali ambapo patawaangusha kwa urahisi sana.

Chadema iwekeze kwenye watu kwa maana ni raia wananchi wenyewe kwa wingi. Wakifanya hivyo wanaweza wakampindua CCM.
 
Nipo Space ya Maria Sarungi ambapo baadhi ya makada wa CHADEMA na Wanaharakati wanajenga hoja juu ya kususia bidhaa na huduma mbalimbali ili kuikosesha serikali mapato.

Wanaanza na kutoa historia ya Boycotting ambapo kwa wakati fulani, watu wa Uingereza walikuwa hawapendezwi na biashara ya Utumwa. Ili kuukomesha, wakaacha kutumia Sukari ambayo ilikuwa ikitengenezwa na Watumwa. Na hivyo ikasabisha kiwanda kufungwa kwa sababu bidhaa hazitoki.

Wanasema kuwa, jamii ya Watanzania wakipunguza matumizi ya bidhaa na huduma kama vile unywaji wa Bia, kupunguza matumizi ya sukari, maji ya kunywa, kupunguza miamala isiyo ya lazima na vyakula katika hoteli zilizosajiliwa.

Wanaamini kuwa kupunguza huko matumizi ya huduma na bidhaa itasababisha serikali kukosa kiasi kikubwa cha mapato.

Na kukosa huko mapato itasababisha serikali ishindwe kujiendesha kwa sababu mapato yamepungua. Na bila shaka, kutafuta namna ya kukaa na wadau na kuzungumza nao ili kuweza kutatua yaliyomo.

Wanaamini kuwa, njia hii ya kususia bidhaa na huduma 'Boycotting' itakuwa na ufanisi kwa sababu hakuna polisi watakaokuja kuwalazimisha watu watumie.

Wanaona kuwa njia hii ni ya amani na hivyo itawalazimisha serikali kurudi katika Misingi ya Utawala bora na kuleta uchocheo wa Katiba mpya.

Je, CHADEMA watafanikiwa kwa njia hii?
Hili wameangalia kwa upande mmoja kuhusu Serikali kukosa mapato vipi kuhusu hao wafanyabiashara wanaosusiwa mitaji yao ikifa wanawasaidiaje?
 
Kweli hawa ni watoto wa watawala wetu.
Hawana cha maana
Najiuliza huko zenji baba wa yule mbona hakumkosoa?
Mzee wa mifupa je
Wamepandwa kuleta machafuko walisoma kwa hela za wazazi wetu wa kijijini halafu wanatunyea
wapo kaka zao wawili wako kimya kwa muda japo mmoja anawasuport huyu mwingine mwoga kidogo kuuza nchi ngoja tusubiri. hivi watu wanaelwa kweli kodo ipo kwa ajiri ya nani na kwanini? wao wakiumwa swala la matibabu sio issue wala shule halafu sisi tukwamishe serikali isikusanye kodi .
yetu yasiende wakati wao wanauwezo wa kununua bidhaa dubai na wakati mwingine kwa fedha za kodi walizoiba wazazi wao kwa hili watatusamehe.
wengi wetu purchasing power iko chini tunapambana kila siku jinsi ya kumudu maisha ya kawaida wao hapa tulishawavusha na kodi zetu na posho tulizokuwa tunawalipa wazazi wao .
watuambie hasa wanataka nini ilitujue toka mwanzo tunafanyaje na sisi tunapata nini vinginevyo hatuna stress za kijinga
 
Tunazungumzia kuhusu maovu ya kutisha ndani ya Tanzania yanayofanywa dhidi ya Watanzania na Serikali ambayo haikuchaguliwa na Watanzania. Hayo mambo ya Urusi na Marekani hayahusu kitu hapa. Kafungue uzi wako uyajadili huko.
Picha ni mfano halisi wa kitu. Tunatumia mifano ili kuijenga taswira ama picha ya jambo fulani mantiki nzima ipatikane ili ifahamika kwa undani haswa muktadha ni nini!

Unafikiri kwa nini Yesu alikuwa anazungumza kwa mifano?
 
Hivi voda ilivyo sasa ndivyo ilikuwa miaka 5 iliyopita? Unajua voda imetengeneza hasara ya billion 60 mwaka Jana

Unafikiri ni kwanini wametengeneza hasara wakati

Airtel, Tigo na halotel wametengeneza faida?
Mtandao wa voda una gharama kubwa watu wanakimbilia kwenye unafuu sio kwa sababu watu wamesusa
 
Narudia tena mifano yako ya Marekani na Urusi haihusu kitu. Jikite kwenye somo husika.
Picha ni mfano halisi wa kitu. Tunatumia mifano ili kuijenga taswira ama picha ya jambo fulani mantiki nzima ipatikane ili ifahamika kwa undani haswa muktadha ni nini!

Unafikiri kwa nini Yesu alikuwa anazungumza kwa mifano?
 
wapo kaka zao wawili wako kimya kwa muda japo mmoja anawasuport huyu mwingine mwoga kidogo kuuza nchi ngoja tusubiri. hivi watu wanaelwa kweli kodo ipo kwa ajiri ya nani na kwanini? wao wakiumwa swala la matibabu sio issue wala shule halafu sisi tukwamishe serikali isikusanye kodi .
yetu yasiende wakati wao wanauwezo wa kununua bidhaa dubai na wakati mwingine kwa fedha za kodi walizoiba wazazi wao kwa hili watatusamehe.
wengi wetu purchasing power iko chini tunapambana kila siku jinsi ya kumudu maisha ya kawaida wao hapa tulishawavusha na kodi zetu na posho tulizokuwa tunawalipa wazazi wao .
watuambie hasa wanataka nini ilitujue toka mwanzo tunafanyaje na sisi tunapata nini vinginevyo hatuna stress za kijinga
Kama mf katiba wanayoitaka wangekuja kwa wananchi sisi wa chini sio ile wanyotaka ili wawe watawala.
Tunewambia hatutaki mtoto wa mtawala awe mtawala, waende wafanye kwenye kad zingine sio uongozi.
Wafanye afya, jeshi lkn sio ubunge, u Dc , Rc ministers au ukuu wa nchi.
Wamekula hela zetu, nina uchungu nao sana.
Miaka ya nyuma walikata kwenda kusoma USA wakapeleka wao kwa mgongo wangu mtoto wa mkulima, baadae wakanitoa na kupeleka wao Japan 3 yrs wasidhani sikumbuki. Mafala sana
 
CDM wasifanye iyo kitu,watanasa kwenye mtego wa Hoja ya ugaidi. Watu watahoji kama wamefanya haya Basi Na Hoja ya ugaidi ni kweli.

Dunia imebadilika sana Na serikali inalifahamu hilo. Ushauri Wangu kwa Cdm wajikite zaidi ktk kujibadili kimfumo Na kimuundo.
Huo mjadala unaendeshwa na CDM? Acha kutumia mattako kujenga hoja zako Mkuu.
 
Kuna mjadala unaendelea space pale twitter aisee kama haya maazimio ya kususia bidhaa na huduma yatafanikiwa hakika itakuwa hatari kwa uchumi.

Ushauri serikali wakutane na wapinzani haraka maana hata mishahara ya mapolisi inaweza kukosa huko mbeleni.

Ni ushauri tu mnaweza kuufanyia kazi au kuupuza ila kama hatua hizi zitafanikiwa hata kwa 25% makusanyo yataporomoka sana.
View attachment 1877729
Na wewe una waamini watu wa Twitter? Ni kujichangamsha na kuchangamsha genge. Hivi kuna waliowekeza kwenye kujua namna bora kabisa ya kuwavuta watanzania na wakawa serious na hoja zao? Hizi za copy and paste toka maeneo mengine zimegonga mwamba. Tunahitaji wanazuoni wa aina ya Nyerere kuweza kufanya hivyo
 
Mkuu kwa akili yako ilivyo sawa unaamini utafnikiwa huo mpango? Jiulize wewe kwa mf kesho unagoma kununua unga ili serkali isipate kodi yake umeona unaweza?
Halafu twiter wako kikundi ambacho ukikaa utaona speakers ni wale wale hawazidi 20 wengine wote listeners huo wanawachora tu.
Wagome tuone. Tena wawahi, huku mtaani hakuna atakayejua kuna mgomo
Mkuu, wewe unawasiwasi gani? Kama huo mpango hautafanikiwa si ndio furaha na ushindi kwako? Wewe tulia tu, acha wanaharakati wajipange namna ya kudhibiti serikali ya madhalimu.
 
Mkuu, wewe unawasiwasi gani? Kama huo mpango hautafanikiwa si ndio furaha na ushindi kwako? Wewe tulia tu, acha wanaharakati wajipange namna ya kudhibiti serikali ya madhalimu.
Mkuu utaniambia wakifanikiwa unikumbushe kwa hapo ni bet.
 
Huu mjadala ni mafanikio makubwa, MABUNGE YA CCM HAYAZIDI 500 lakini yamepitisha tozo za miamala na zinatumika na kutesa mamilioni ya Walalahoi hivi sasa.
 
Back
Top Bottom