πBado na wife kawekeza mil 47 kwenye myumba ya kwao lazima useme na bado hujasema
Nini chanzo cha hizo chokochoko kama sio wewe mwenyeweMaisha yanapoandamwa na shida za saikolojia ni shida. Maisemore kama hii huweza kuibuka.
View attachment 2803576
Kwa sasa nautumia
Mtaani kwangu naona nanuniwa. Nimeamua kudeal na kaz zangu tu.
Kazini kwangu kuna maneno kupitia vyanzo si rasmi naona kuna maneno maneno juu yangu.
Nimeamua kustick na Mungu na kazi zangu na kuhudumia familia. I won't listen to anybody hata aje nani
Hivi ndiye huyu huyu? π³Bado na wife kawekeza mil 47 kwenye myumba ya kwao lazima useme na bado hujasema
Yaani mpaka aseme..!!Bado na wife kawekeza mil 47 kwenye myumba ya kwao lazima useme na bado hujasema
Nyie ndo walamba asali sasaHahahaha.
Si pesa nyingi sana
Ndiye yeyeHivi ndiye huyu huyu? π³
Unajua kukera sana mkwe wanguπBado na wife kawekeza mil 47 kwenye myumba ya kwao lazima useme na bado hujasema
Atakuwa na asili ya kulalamikaBado na wife kawekeza mil 47 kwenye myumba ya kwao lazima useme na bado hujasema
Mwenzako anapitia magumu.... Mpe maneno ya faraja πBado na wife kawekeza mil 47 kwenye myumba ya kwao lazima useme na bado hujasema
Ngosha unazidi kulalamika sana, kwente maisha usiwe mlaini kiaai hichoHahahaha.
Si pesa nyingi sana
Mpeni moyo aisee πYaani mpaka aseme..!!
Aah wapi kasema hela ndogo hiyo,Mwenzako anapitia magumu.... Mpe maneno ya faraja π
Au attention seeker maana ana speed au ndo wenge la ndoa yakeAtakuwa na asili ya kulalamika
Apambane na Mrombo wakeAu attention seeker maana ana speed au ndo wenge la ndoa yake
ππππApambane na Mrombo wake