Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Ulivyoamka mapema utadhani unaenda ibadani, kumbe stress. 😅😅😅
Usijali mkuu yatapita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivyoamka mapema utadhani unaenda ibadani, kumbe stress. 😅😅😅
Mwanamke ananunua kiwanja na anajenga ila jamaa hajui, na ana amini baba mkwe ndiye anajengewaKashavurugwa huyo kiufupi ye ndo kaolewa
Nyumba ni ya mwanamke, na sio kwamba kawekeza kwao..... Hicho ndio kinamuumiza jamaaAsubuhi asubuhi kuitana huku. Huyu jamaa ana tatizo kweli au alituchora kwamba mkewe kawekeza 47m kwao?
Jamaa kashaolewa tumuombee tuWife ana nyumba ya takribani million 100, hana muda wa kuwaza kumpa jamaa cha asubuhi 😅😅😅
😂😂😂Yani mpaka asemee, kaamka mapema kuandaa chai ya wifeMwanamke ananunua kiwanja na anajenga ila jamaa hajui, na ana amini baba mkwe ndiye anajengewa
Tena maombi inabidi yahusishe na kufunga kabisaJamaa kashaolewa tumuombee tu
Hata cha asubuhi hajapata naona😂😂😂Yani mpaka asemee, kaamka mapema kuandaa chai ya wife
Leo tunaanza ndo najiandaa hapa nikamuombeeTena maombi inabidi yahusishe na kufunga kabisa
Dah sasa sijui tumsaidie aende kwa mwanasheria?Nyumba ni ya mwanamke, na sio kwamba kawekeza kwao..... Hicho ndio kinamuumiza jamaa
Akitoe wapi kaona atuite tupigwe nae baridi, basi kafurahi mwenyeweHata cha asubuhi hajapata naona
Haloo. Ila haya mambo yasikie tu kwa mwenzako.Akitoe wapi kaona atuite tupigwe nae baridi, basi kafurahi mwenyewe
Jambo la kheri sana ilo. Msaidie mwenzetu huyu, yuko ovesiLeo tunaanza ndo najiandaa hapa nikamuombee
Jamaa alisusa, so hana tena nguvu za kwenda kwa mwanasheria, ameamua aje JFDah sasa sijui tumsaidie aende kwa mwanasheria?
Penye neema ndivyo mambo hukuwagaHaloo. Ila haya mambo yasikie tu kwa mwenzako.
Halafu ndoa nyingi huanza vitimbi wakati ujenzi unaanza na au baada ya kununua gari au baada ya nyumba kukamilika.
Ni shidaPenye neema ndivyo mambo hukuwaga
Ni kazi kweliJamaa alisusa, so hana tena nguvu za kwenda kwa mwanasheria, ameamua aje JF
Asante sana mkuu