Nimesuluhisha, nimesikiliza kesi, nimeandika hukumu na pia nimesomea sheria kwa hiyo kesi za ndoa nina uzoefu nazo. Kwa hiyo karibu kwa ushauri!Inaelekea una experience, pole yetu sote
Unataka niombe unishaur hadharani kama hivi? Mwanasheria msomi vipi unafeli kwa hilo.Nimesuluhisha, nimesikiliza kesi, nimeandika hukumu na pia nimesomea sheria kwa hiyo kesi za ndoa nina uzoefu nazo. Kwa hiyo karibu kwa ushauri!
Hakuna mahali nimesema uombe ushauri hadharani.Unataka niombe unishaur hadharani kama hivi? Mwanasheria msomi vipi unafeli kwa hilo
Jamaa unamambo wewe. To yeye unamuonea bureHakuna mahali nimesema uombe ushauri hadharani.
Ila nikukumbushe tu kwamba ulileta tatizo lako hadharani kuhusu ugomvi wako na mkeo ukihusisha mkeo kuwekeza milioni 47 kujenga nyumba uliyodai ya baba mkwe.
Kwa hiyo siwezi kukuambia uweke mambo hadharani wakati hata To yeye na Kapeace wanajua ishu yako
To yeye ndiye supersub yangu pekee baada ya mgogoro anifariji ingawa tatizo lake anadai mbuzi kagoma ni style za kikatili. Yaani kifo cha mende kwake ni ukatili wa kimaumbile.Hapana
GearboxTo yeye ndiye supersub yangu pekee baada ya mgogoro anifariji ingawa tatizo lake anadai mbuzi kagoma ni style za kikatili. Yaani kifo cha mende kwake ni ukatili wa kimaumbile.
Sasa sijui style yake ya kidole juu inamnufaisha yeye peke ake tu, na mimi sipendi style ya kunyanyua gea box .
Duh To yeye huyu huyu ninayemjua?To yeye ndiye supersub yangu pekee baada ya mgogoro anifariji ingawa tatizo lake anadai mbuzi kagoma ni style za kikatili. Yaani kifo cha mende kwake ni ukatili wa kimaumbile.
Sasa sijui style yake ya kidole juu inamnufaisha yeye peke ake tu, na mimi sipendi style ya kunyanyua gea box .
Jamaa ana gubu balaaHakuna mahali nimesema uombe ushauri hadharani.
Ila nikukumbushe tu kwamba ulileta tatizo lako hadharani kuhusu ugomvi wako na mkeo ukihusisha mkeo kuwekeza milioni 47 kujenga nyumba uliyodai ya baba mkwe.
Kwa hiyo siwezi kukuambia uweke mambo hadharani wakati hata To yeye na Kapeace wanajua ishu yako
Ndiyo maana mke anam-drive crazy ๐Jamaa ana gubu balaa
[emoji23][emoji23][emoji23]Yani mpaka asemee, kaamka mapema kuandaa chai ya wife
Naona mnaweka petrol kwenye cheche. Muoneeni huruma mwenzenu.Tena maombi inabidi yahusishe na kufunga kabisa
Namshanhaa๐๐๐achana nae huyo๐
๐๐๐๐mbuzi kagoma nimepigishwa asubuhiasubuhi....nipo nasikilizia tu hapaTo yeye ndiye supersub yangu pekee baada ya mgogoro anifariji ingawa tatizo lake anadai mbuzi kagoma ni style za kikatili. Yaani kifo cha mende kwake ni ukatili wa kimaumbile.
Sasa sijui style yake ya kidole juu inamnufaisha yeye peke ake tu, na mimi sipendi style ya kunyanyua gea box .
๐๐๐๐Namshanhaa
Wapo wawili nikuletee wapi?Sasa baba nina hamu na kuku wa kienyeji
Hadi hamu ishaishaWapo wawili nikuletee wapi?
Nimeona hiyo post sasa hivi ujueHadi hamu ishaisha