Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kama sio mzaramo basi mndengereko
Kwa lugha ya Kijita au Kikerewe au KiluliNi kweli, ni miti miwili tofauti, na kwa wale ambao hawajakulia kijijini hawawezi kamwe kujua huu mti, na kama mchangiaji mmoja alivyosema hapo juu na sisi pia hutumika kuongeza damu mwilini, matumizi mengine sijui. Sisi tunaliita "Lisamwa" kwa kiluga chetu.
unataka kufanana lakini sio huo unaosema wewe wa mdodokiAiseeeee.....umenikumbusha mbali sanaaaa mzeeeeeee...................
M naufaham kwa jina la mdodoki,na hlo tunda([emoji16][emoji16][emoji16]) tulikuwa tunatumia kama brash la kujisugulia wakati wa kuoga,kufua na kuoshea vyombo.
unauchemsha au unatafuna mbichiNi kweli, ni miti miwili tofauti, na kwa wale ambao hawajakulia kijijini hawawezi kamwe kujua huu mti, na kama mchangiaji mmoja alivyosema hapo juu na sisi pia hutumika kuongeza damu mwilini, matumizi mengine sijui. Sisi tunaliita "Lisamwa" kwa kiluga chetu.
unauchemsha au unatafuna mbichi
mtafanya watu waanze ishambulia manake vibamia vimekuwa ni vingi mnoHayo matunda yanaitwa 'vungunya' ni tofauti na dodoki na linatumika kwaajili ya kukuza dushe..
Sent using Jamii Forums mobile app
mtafanya watu waanze ishambulia manake vibamia vimekuwa ni vingi mnoHayo matunda yanaitwa 'vungunya' ni tofauti na dodoki na linatumika kwaajili ya kukuza dushe..
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisemtafanya watu waanze ishambulia manake vibamia vimekuwa ni vingi mno
mtafanya watu waanze ishambulia manake vibamia vimekuwa ni vingi mnoHayo matunda yanaitwa 'vungunya' ni tofauti na dodoki na linatumika kwaajili ya kukuza dushe..
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha waushambulie tu maana kama wana vibamia basi heshima yao inashuka kwa wenza wao siku hadi siku.mtafanya watu waanze ishambulia manake vibamia vimekuwa ni vingi mno
Umejichanganya , sio tunda hilo kuwa dodoki.Aiseeeee.....umenikumbusha mbali sanaaaa mzeeeeeee...................
M naufaham kwa jina la mdodoki,na hlo tunda([emoji16][emoji16][emoji16]) tulikuwa tunatumia kama brash la kujisugulia wakati wa kuoga,kufua na kuoshea vyombo.
linaliwa kama tunda au chakula chief?Kwa kiswahili sijui unaitwaje ila kwa Kisukuma tunauita Ngw'icha. Moja kati ya kazi zake ni kuongeza Damu kwa haraka sana