OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tumeona maamuzi kadhaa ya kitaifa hivi karibuni yamekuwa yakitolewa kupitia uundwaji wa tume, kamati na vikosi kazi.
Tunaona imeundwa timu ya kuangalia kanuni za kuendesha mikutano ya siasa
Baadae kidogo tunaona kuna kikosi kazi cha kuangalia tume huru na kushauri kuhusu upatikanaji wa katiba mpya.
Mbali na vikosi kutokuwepo kisheria, bado baadhi ya vitu ni ukiukwaji wa sheria.
Kwa jicho la 3 naona huu uundaji wa vikosi kazi ni kutafuta endorsement tu.
Rais anajifichia kwenye vikosi kazi ili ikitokea shida mbeleni ionekane ni vikosi kazi ndio vimeshauri vibaya.
Hii mbinu hutumiwa sana na mawaziri na viongozi ngazi za mikoa.
Wakiwa na mambo yao wanayapitisha kwa menejimenti yapewe baraka ili ikibumbuluka inaonekana ni menejimenti ilimshauri vibaya kwa hivyo yeye anakuwa hawajibiki.
My Take
Tumshauri Rais asimame yeye kama yeye kama mkuu wa nchi badala ya kujifichia kwenye vikosi kazi
Tunaona imeundwa timu ya kuangalia kanuni za kuendesha mikutano ya siasa
Baadae kidogo tunaona kuna kikosi kazi cha kuangalia tume huru na kushauri kuhusu upatikanaji wa katiba mpya.
Mbali na vikosi kutokuwepo kisheria, bado baadhi ya vitu ni ukiukwaji wa sheria.
Kwa jicho la 3 naona huu uundaji wa vikosi kazi ni kutafuta endorsement tu.
Rais anajifichia kwenye vikosi kazi ili ikitokea shida mbeleni ionekane ni vikosi kazi ndio vimeshauri vibaya.
Hii mbinu hutumiwa sana na mawaziri na viongozi ngazi za mikoa.
Wakiwa na mambo yao wanayapitisha kwa menejimenti yapewe baraka ili ikibumbuluka inaonekana ni menejimenti ilimshauri vibaya kwa hivyo yeye anakuwa hawajibiki.
My Take
Tumshauri Rais asimame yeye kama yeye kama mkuu wa nchi badala ya kujifichia kwenye vikosi kazi