MTAU JR
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 216
- 305
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo wako mawindoni wana muwinda mpumbavu mmoja hela zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo wako mawindoni wana muwinda mpumbavu mmoja hela zake.
Kuhani Musa Ni Tapeli haswaaYaan ni anazungumzia hela tu, hela hivi hela vile asee....hata kama ni mjinga kiasi gani unaona kabisa huyu ni money oriented
Daah Mungu atusaidieNimetafuta link imekosa ila ukitaka kujua kuwa ilikiwa ocult ona walivyokuwa wanamsujudia
Na mimi ngoja nijiandalie wa kwanguDaah Mungu atusaidie
Aaaaaaah huyu jamaa ni noma labda malaika wanatumia Tigo wakaamua kumpoozaHuwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji[emoji2307][emoji2307]
Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa[emoji1787][emoji1787]
Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limoja[emoji2307][emoji2307]tena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.
Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.
Hela zote hajui zinatoka wapi.
Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani
Hapana sio kwamba naelezea kwa ubaya ni mtazamo wangu tu katika kujaribu kueleza sababu ya hicho kinachoendelea.Wakristo? Acha udini
Waarabu wanaamini sala za sheikh mweusi hazifiki mbinguni.wakristo mazuzu,acha wapigwe Sana tu, ukiwazindua wanakuambia uislam dini ya majini sijui Nini na Nini, wenzao Waislamu hakuna uho upuuzi, Kuna tapeli mmoja nae anajiita eti nabii shillah, Cha ajabu eti pia ana waumini na wanamuamini haswaa,
yaani wanatapeli kindezi Sana aisee
Imani ina nguvu sana ukizamia humo ni shida kutoka. Kuna watu wanaamini mambo ya Alien huwaambii kitu, kuna watu wanaamini story za freemason(niliwahi kuwa mmoja wapo ila nilibahatika kujitoa) kila tukio linahusoshwa na freemason ndiyo wamepanga hivyo na unakubali, kuna wengine wanaamini vyama vyao vya siasa pamoja na viongozi wa vya vyama vyao hao hukosoi chama wala viongozi wao wakakubali tu, wengine wanaamini mambo ya saikolojia ambapo wakati mwengine hayana sana uhalisia na mimi nilikuwa mmoja wapo.😂😂😂😂😂Anakwambia anavunja roho za uchawi na mizimu😂😂😂 upumbavu kabisa huu.
Hawa watu hiv hakunaga njia mbadara ya kuwatibu kisaikolojia ama kuwapa ushauri nasaha ili waache kuamini ujinga
lete Ushaidi wa andiko la kitabu Cha wa Waislamu tuone ukweli wake,Waarabu wanaamini sala za sheikh mweusi hazifiki mbinguni.
Ijumaa wanaenda kwenye misikiti yenye mashekhe rangi nyeupe.
Ni kweli?
WAJINGA NJOO WEREVU TUPATEHuwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji[emoji2307][emoji2307]
Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa[emoji1787][emoji1787]
Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limoja[emoji2307][emoji2307]tena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.
Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.
Hela zote hajui zinatoka wapi.
Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani
Ujasiriamali wa dini. Ukiona mkeo kaenda mkutano wa Mwamposa ujue huna mke tena.Huwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji[emoji2307][emoji2307]
Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa[emoji1787][emoji1787]
Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limoja[emoji2307][emoji2307]tena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.
Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.
Hela zote hajui zinatoka wapi.
Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani
Wakristo mazuzu?wakristo mazuzu,acha wapigwe Sana tu, ukiwazindua wanakuambia uislam dini ya majini sijui Nini na Nini, wenzao Waislamu hakuna uho upuuzi, Kuna tapeli mmoja nae anajiita eti nabii shillah, Cha ajabu eti pia ana waumini na wanamuamini haswaa,
yaani wanatapeli kindezi Sana aisee
Utakuwa umetoa kafara wewe mbona una hasira hivoo[emoji57][emoji57]Ona ulivyo na akili ndogo, unaamini kila mtu anaamini huo upumbavu mnaouita dini.
We umetoa kafara una hasira sana aseeUsipende kuzusha, sijui mtu ametoa kafara ndugu yake, huna hata ushahidi. Nyie ndiyo mnaochafua watu kwa habari za kusadikika.
Unategemea nini toka kwa watu waliokubali kuitwa wanakondoo? Kondoo hawana akili unawaswaga tu wanaenda unakotaka. Ndivyo hawa wanaojiita mitume wengi wanavyofanya.
Ni kama vile uwa wanashindana kuonyesha ni nani ambaye ana kondoo wajinga kuliko mwenzake. Utakuta huyu anawavua kondoo wake wa kike chupi madhabahuni nao wanakubali, huyu anakula ugali madhabahuni anaita kondoo wake wa kiume waje wamlambe mikono.
Huyu anawanywesha dawa ya kuulia wadudu.
Ukikubali kuwa kondoo kwisha kazi.