Wachina na waafrika wana nyuso pana na pua pana sidhani kama mixture yao itatoka nzuri zaidi ya kituko. Nyuso pana sana huwa hazina mvuto sana kama zile za uso wa kisu na pua ndio zimetuharibia kabisaSijawahi ona mchina mzuri wa kutisha.Wanatumwili tudogo,sura pana,wafupi,pasi na malienge.Watoto chotara wa kichina na waafrika huwa hata sio wazuri kama Afrika +Arabs,African +white, African+ Indian.Acheni kushoboka na vitu vibovu hata hela hawana kama mademu was kizungu au kiarabu.Bora ukaoe kwa bakhresa utapata chochote sio wachina pumbafu tu!!
Hakina madhara mkuu mafua tu hayo 😂Wuhan ndio kilipotokea kirusi chenyewe.
Kubabeki
[emoji16][emoji23][emoji2]Hilo naliunga mkono! Tangu Adamu mpaka sasa ukoo mzima nyie tuu ndo maana mnalogana na umasikini usioisha! Changanya damu na wazungu au wachina au waarabu akili ziwakae sawa!
Dah hatari heri umenipa desa, tuwaombee heri hao wafuasi wa Watson-Crick na magwiji wa tiba wapate utambuzi wa mapemaCorona inavyobehave Ni sawa na virus wa HIV na SARS very strange saana.
Itachukua muda kidogo kucrack codes za Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wanawake wa ki-China wana harufu fulani hivi sijui ni mafuta wanayopakaa?Nitaende kuongezea apo COVID-19
Hiii picha ndio nino[emoji50]Mkuu kwa wafugaji hatutumii kota kwani kwa imani yetu ni kwamba ukitumia kota ng'ombe wanakufaView attachment 1373772
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mavitu wanayo kula mavitunguu mabichi maviungo tofauti tofauti!Halafu wanawake wa ki-China wana harufu fulani hivi sijui ni mafuta wanayopakaa?
Muhim sana unaweza kuokotaa chief...Naona uko huku kuzurura kidogo baadae unarudi home!
Hii ndio combination ya africa na korea kitu kinatoa cha ukweli tu kumbe ngoja nijitoseageNgoja nikagoogle combination ya wakorea na wabongo nione kinazaliwa nini
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ndio combination ya africa na korea kitu kinatoa cha ukweli tu kumbe ngoja nijitoseage View attachment 1373924
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaa yaani we acha tu
Hakuna jinsi sasa ni kusubiri matokeo
Akianza mbele na mimi nijiandae tu [emoji23]
Na hili ya tiba hapa nchini waifahamu vizuri, we anza kunywa maji yaliyochanganyika na ndimu au after every 15 minutes make sure you have 1/2 litres of drinking water.
Tutapeana mrejesho hapa hapa ndugu yangu😀😀
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkuu kwa upande wa Asia mademu wakutoka nao ni Koreans na Philippines kidoogo, ila Koreans ni moto wa kuotea mbali, ila hawana Chris, kwa upande wa sura hutaisha hamu ya kumwangalia na muda wote kumwambia "I love you baby"🙂🙂🙂Ngoja nikagoogle combination ya wakorea na wabongo nione kinazaliwa nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuokota nini mkuu?[emoji848][emoji848][emoji848]Muhim sana unaweza kuokotaa chief...
Notifications changamotoo
My name is lie jueng and I live in Wahin Province, north of Guangzhou. I am looking for a friend from East Africa and am going to see my WhatsApp number on +8624597088Nimemdukua huyu hapa, vijana kazi kwenu, ila lugha hapo chini sijajua maana yake mtatafasiri wenyewe.
我的名字叫lie jueng,住在廣州北面的瓦欣省,我正在尋找一個來自東部非洲的朋友,準備在+8624597088上看到我的WhatsApp編號。
View attachment 1372730