Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Wakati ambapo Shilole anaendelea kumuomba Mungu amalizie mjengo wake uliopo Kimara jijini Dar es Salaam, Fid Q anaonesha kuzungusha mkwanja alionao kwenye biashara ya madini.
Shilole amepost Instagram picha ya nyumba yake iliyopo kwenye hatua ya mwisho kukamilika na kuandika: Mungu nisaidie nimalizie hii kitu ili watoto wangu wasije kupata tabu.
Naye Fid Q amepost picha inayoonesha madini ya ruby na kuandika: #RubySozite #NewHustle roll a phat 1 fi ya Nig..!!!
umeona eh.....!!!??Maisha ni nyumba kama ni kweli hongera zake.
Kwa kweli sionagi wanachokiimba Shilole na yule aliyeimba majanga(jina lake limenitoka)
Mi shilole siijui hata nyimbo yake
Kwa kweli sionagi wanachokiimba Shilole na yule aliyeimba majanga(jina lake limenitoka)
Mi shilole siijui hata nyimbo yake
Mi shilole siijui hata nyimbo yake
Aisee kuna ukweli inawezekana hiyo style ya muziki wao haunibambi.SNURA....ukiona hivyo ujue huo muziki wao si zako.......
Mbona kinyumba cha kawaida sana hcho.