Huu ndio mjengo wa Vicky Kamata

Huu ndio mjengo wa Vicky Kamata

Wengine ukiwaona tu wenyewe washajiroga, sasa wataroga nn na wenyew

Washajiroga nuksi mwili mzima wanabaki kuchukuliwa hadi na viaskari vya tena vitoto jf lo lini utajengewa nyumba kama Vicky hahahhhhhaaa binam wape dawa masikinii
 
Mtu akijipendekeza mrogeee, awe na mpunga tu, maana wanawake na nyie mna mwingine mnazid kila kitu mnaroga, jiran kanunua les wigi la million nne we unaenda kumroga uo sasa ni uchawi, unaroga peny mkwanja tu

Halafu binamu wewe mmh!!
 
Washajiroga nuksi mwili mzima wanabaki kuchukuliwa hadi na viaskari vya tena vitoto jf lo lini utajengewa nyumba kama Vicky hahahhhhhaaa binam wape dawa masikinii

Umeona eeeh...mwambie bhana atugaiee
 
Washajiroga nuksi mwili mzima wanabaki kuchukuliwa hadi na viaskari vya tena vitoto jf lo lini utajengewa nyumba kama Vicky hahahhhhhaaa binam wape dawa masikinii

Mwenzangu wataweza kulala uchi makaburini siku saba??, maana ukitoka apo hlo gar utakalo endesha mtaa mzima utakupigia magoti kumbe mambo ya kulala makaburini, binamu mjini kuna mambo sana, ukipata fursa we rogaaaa maisha yenyew mafupi na usawa unababa
 
Halafu binamu wewe mmh!!

na nyie sio mwenzio kapata bonge la bwana unampeleka kwa mganga mkaliroge mkirud wewe unaenda mroga shoga yako aachike uchukuliwe wewe maana na nyie mnayaweza kw kuroga bila maslah. Yaan kila mtu anaenda kwa sangoma kimpango wake, mambo yakupelekana kwa waganga yashaishiaga uko mwanamarundi
 
Mwenzangu wataweza kulala uchi makaburini siku saba??, maana ukitoka apo hlo gar utakalo endesha mtaa mzima utakupigia magoti kumbe mambo ya kulala makaburini, binamu mjini kuna mambo sana, ukipata fursa we rogaaaa maisha yenyew mafupi na usawa unababa

Hahahahahaaa...binamu
 
na nyie sio mwenzio kapata bonge la bwana unampeleka kwa mganga mkaliroge mkirud wewe unaenda mroga shoga yako aachike uchukuliwe wewe maana na nyie mnayaweza kw kuroga bila maslah. Yaan kila mtu anaenda kwa sangoma kimpango wake, mambo yakupelekana kwa waganga yashaishiaga uko mwanamarundi

Leo unatoa za USO balaaa....mi nitaongea tu mpaka uniconnect
 
Na hapo mbele sijuhi mlango; sijuhi dirisha; sijuhi frame ya duka?

Unaweza kuwa na pesa lakini huwezi nunua class....
(unaweza mtoa mtu geto lakini huwezi toa maisha ya kigeto kwa mtu)

Jamani siyo hater ila nadhani something is wrong na huu mjengo tena kama ni kweli ume cost bilioni; basi kaibiwa...

Nyumba mbona kama inataka kuangukaa
 
Na hapo mbele sijuhi mlango; sijuhi dirisha; sijuhi frame ya duka?

Unaweza kuwa na pesa lakini huwezi nunua class....
(unaweza mtoa mtu geto lakini huwezi toa maisha ya kigeto kwa mtu)

Jamani siyo hater ila nadhani something is wrong na huu mjengo tena kama ni kweli ume cost bilioni; basi kaibiwa...

You are right!!!! Sio hater wala nn
 
TATIANA njoo nikuhonge mwaya...

Money can't buy the happiness - Vicky kamata ujumbe wake huo
 
Last edited by a moderator:
Hapo tu ushaguna,sipatii picha ukiwa unangololoka!!!

Tatiana,Tanya,Natasha,majina Haya bwana huwa wanakuwa nayo wathupu wazuuri na ni common names kulee kwa Putin,hongera!!!

Nilingoloka ndio utabloww mpaka upoteze fahamu...
Of coz nina viwango vya ISO
 
Back
Top Bottom