Huu ndio Mtihani kwa ACT-Wazalendo: Kukubali maridhiano na kuunda Serikali

Kwa akili yako wananchi ndio wamemuadhibu Seif au vyombo batili vya ulinzi na usalama?
Mayalla sio jambo lenye afya kwa mtu mzima, msomi, unayefahamika na huna njaa kujivua utu wako kwa ushabiki wa kijinga kwa vile tu umeingia chama cha wajinga.
 
Kwani katiba ya Zanziba inataja makubaliano ya SUK ktk upinzani ni Maalim Seif tu? Mfano kwa sasa CUF pia imepata viti Pemba, hakuna uwezekano kwa mgombea wa CUF au Chama kingine kuingia ktk SUK?
Katiba ya Zanzibar haijaji mtu, inataja chama cha pili chenye more than 10% ya votes. Ni chama ndio kinapewa fursa ya kupendekeza jina, by now barua ya ombi la jina imeisha pelekwa ACT.
Katika mawaziri, wanaweza kuteua mawaziri toka vyama vyote.
P
 
Wananchi ndio wamefanya maamuzi ya kuwafanya mkia..unamlaumu Nani hapo..na mkizidi hata huo mkia watawaondolea..subiri


Jeshi la wavamizi ndio wananchi pamoja na jeshi la kukodiwa la Burundi ??
 
Katiba ya Zanzibar haijaji mtu, inataja chama cha pili chenye more than 10% ya votes. Ni chama ndio kinapewa fursa ya kupendekeza jina, by now barua ya ombi la jina imeisha pelekwa ACT.
Katika mawaziri, wanaweza kuteua mawaziri toka vyama vyote.
P

Kwa uchaguzi upi huu wa jeshi la wavamizi na majeshi ya kukodi ya Burundi ??
 
Katiba ya Zanzibar haijaji mtu, inataja chama cha pili chenye more than 10% ya votes. Ni chama ndio kinapewa fursa ya kupendekeza jina, by now barua ya ombi la jina imeisha pelekwa ACT.
Katika mawaziri, wanaweza kuteua mawaziri toka vyama vyote.
P
nani aliyekwambia watu wanafata katiba
 
nani aliyekwambia watu wanafata katiba
Kila kitu katika uendeshaji wa serikali kinaongozwa na katiba, sheria, taratibu na kanuni, sasa kama zinafuatwa au la, hilo sio letu ni la watendaji na watekelezaji.
P
 
Wananchi ndio wamefanya maamuzi ya kuwafanya mkia..unamlaumu Nani hapo..na mkizidi hata huo mkia watawaondolea..subiri
Hahaha wauondoe tu, mbona tunaishi poa tu?!

Ujinga wao sio wetu, mabavu kama yatawasaidia na waendelee who cares!.

Wafanye wenyewe hakuna kulazimishana hapa

Wameshinda sawa na waunde serikali waendelee na maisha nasi tunaendelea na maisha yetu.
 
Hahaha wauondoe tu, mbona tunaishi poa tu?!

Ujinga wao sio wetu, mabavu kama yatawasaidia na waendelee who cares!.

Wafanye wenyewe hakuna kulazimishana hapa

Wameshinda sawa na waunde serikali waendelee na maisha nasi tunaendelea na maisha yetu.
Mi nazungumzia wananchi sio serikali..wananchi ndio wanaiweka serikali madarakanii.
 
Katiba ya Zanzibar haijaji mtu, inataja chama cha pili chenye more than 10% ya votes. Ni chama ndio kinapewa fursa ya kupendekeza jina, by now barua ya ombi la jina imeisha pelekwa ACT.
Katika mawaziri, wanaweza kuteua mawaziri toka vyama vyote.
P

Waambie hao waliokutuma waendelee kuadhibu wazanzibari na hali hii kwani ndio maridhiano yanakuwa matamu zaidi upande wake mwana wa Mkuranga

 
Waambie hao waliokutuma waendelee kuadhibu wazanzibari na hali hii kwani ndio maridhiano yanakuwa matamu zaidi upande wake mwana wa Mkuranga

Mkuu Gavana , mimi ni an independent freelance journalist, situmwi na mtu wala sipangiwi na yeyote.
p
 
Atasubiri tena kuapishwa na UN
Kauli ileile itakuja ya 2015 subirni miezi 3
 
Atasubiri tena kuapishwa na UN
Kauli ileile itakuja ya 2015 subirni miezi 3
Mbona alishasema zamani mar hii kila mtu aitafute haki yake kwa njia aijuayo mwenyewe na tumo wengine tunatafakari namna ya kurudisha haki zetu zilizoporwa
 
Hawakufanya kosa ila walifuata katiba ya nchi. CCM wakivunja katiba au kudharau sheria haimaanishi kila mtu afuate mwendo wao. Sisi tunaheshimu katiba na haki za wananchi.
 
Kila mmoja wetu anajuwa lililotokea zanzibar ni UCHAFUZI. Hawa makada waliopo hapa ukumbini natumai ni watu weledi sana na wanafahamu uzuri na ubaya wa binadamu. Kweli kabisa mara hii CCM wamepigwa bao na wameingia kizunguzungu maana hakupata hata majimbo kumi katika hamsini. Maamuzi yote haya ya kuuwa na kuiba watajibu siku moja. Sisi tuliopoteza watu wetu kwa mututu wa bunduki hatuwezi kuisahau serikali ya CCM na munazidi kutuskuma pembeni. Iko haja ya kufanya maamuzi magumu kama waliodhulumiwa.
 
Hii adhabu ya Maalimu ilitolewa na vyombo vya dola? Maana wananchi walikua tayari hata kulinda kura zake na wengi wamepoteza maisha.
 
Mimi ni muumini wa kufuta katiba na sheria za nchi. 2015, walicho kifanya CCM Zanzibar kurudia kura ilikuwa ni kinyume cha katiba na sheria. Pia serikali iliofuata ilikuwa ni kinyume cha katiba. Kwa kuwa wengi hamusomi katiba ya nchi yenu ndio munaona kila kitu wakisema wakubwa ni kweli. Laiti kama viongozi wa taifa hili wana heshimu katiba basi ilikuwa haina haja kupeleka majeshi na kuuwa watu bure. Siku kumi baada ya kura bado wazanzibari tunaingiliwa usiku na vikosi kwanini?. Kweli nchi hii kuna usalama. Nyinyi makada munafurahia mambo haya?. Jamani tuweni wakweli na nafsi zetu. CCM ni majambazi maana kama ilikuwa ni viongozi bora wangeliheshimu katiba na sheria za nchi. Hapa zanzibar ukiwa sio mwanachama wa CCM huwezi kupata ajira au kufanikiwa na chochote katika ofisi za serikali.
 
umesahau aliyeuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa
 
Kweli mtu akikwambia huna akili, inapaswa ukitafakari.

Sasa dogo hii comment yako unamwambia babako au unamkusufia nani?
👉Utakuwa hujasoma mpaka mwisho andiko hili 😬!

Hizi pumba za wavamizi peleka Lumumba , ZANZIBAR inapigania uhuru wake tumechoka kuuliwa

ZANZIBAR freedom first.
 
Kweli mtu akikwambia huna akili, inapaswa ukitafakari.

Sasa dogo hii comment yako unamwambia babako au unamkusufia nani?
👉Utakuwa hujasoma mpaka mwisho andiko hili 😬!
Vyovyote unavyofikiri nindio uhuru tunaonyimwa na hawa majambazi yanayoifanya nchi ni mali yao.
Zanzibar haihitaji maridhiano inahitaji uhuru wake ilioupata dec. 1963 ukaporwa na Nyerere na genge lake kwa kutuvamia hapo Jan 1964.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…