Huu ndio Mtihani kwa ACT-Wazalendo: Kukubali maridhiano na kuunda Serikali

Huu ndio Mtihani kwa ACT-Wazalendo: Kukubali maridhiano na kuunda Serikali

Hamad Rashid hakuwa mwanaa CCM yet ali-serve kama Waziri wa Afya kwenye serikali aliyomaliza muda wake.

Bila shaka SuK inawezekana. Na ni vema Malim akubali kutumikia Wazenji kwa siku zake za uzeeni na wenzie wenye damu changa walau wapate fursa ya kukua kisiasa kwa kufanya majukumu
Maalim na sisi wazanzibari hatutaki maridhiano tunataka Haki yetu iliyoporwa na wavamizi kutoka Tanganyika wakisaidiwa na JWTZ na majeshi ya kukodi kutoka Burundi
 
Maalim na sisi wazanzibari hatutaki maridhiano tunataka Haki yetu iliyoporwa na wavamizi kutoka Tanganyika wakisaidiwa na JWTZ na majeshi ya kukodi kutoka Burundi
Sitaki kuamini maisha bila maridhiano hasa kwenye siasa na utawala.

Mugabe ili kuwandoa Wakoloni wa Ungereza alifanya mkataba wa maridhiano (Lancaster House Agreement 1979).

Bila shaka baadhi ya Zanzibari wamatamani kuwa na mfumo wa serikali 3 sawia na kile walichopendekeza Kwenye tume ya katiba iliyokuwa chini ya Warioba.

Ila kwa kuwa mchakato uliishia njiani, dawa iliyopo ni kuishi kimkakati huku Malim na akina Jusa wawe sehemu ya utawala kwa kukubali SUK.

Hii ndio njia pekee ya kuendelea kujadiliama mezani na CCM huku maisha na uendeshaji wa Serikali ukiendelea na AcT ikiwamo serikalini.
Ahmad Rashid mbona aliridhia makubaliano na anaendelea kuwatumikia Zanzibari??
 
Sitaki kuamini maisha bila maridhiano hasa kwenye siasa na utawala.

Mugabe ili kuwandoa Wakoloni wa Ungereza alifanya mkataba wa maridhiano (Lancaster House Agreement 1979).

Bila shaka baadhi ya Zanzibari wamatamani kuwa na mfumo wa serikali 3 sawia na kile walichopendekeza Kwenye tume ya katiba iliyokuwa chini ya Warioba.

Ila kwa kuwa mchakato uliishia njiani, dawa iliyopo ni kuishi kimkakati huku Malim na akina Jusa wawe sehemu ya utawala kwa kukubali SUK.

Hii ndio njia pekee ya kuendelea kujadiliama mezani na CCM huku maisha na uendeshaji wa Serikali ukiendelea na AcT ikiwamo serikalini.
Ahmad Rashid mbona aliridhia makubaliano na anaendelea kuwatumikia Zanzibari??

Maridhiano mara ngapi na CCM huku mkiendelea kuuwa watu ?
Muingereza alimuuwa nani kwenye uchaguzi wa Zimbabwe ?
Rudisheni haki mliyoipora kwa uvamizi , other wise tuishi maisha ya kuuwana kama mnavyoyataka .

Kuridhiana ni kwenye kurudisha haki kwanza
 
Sitaki kuamini maisha bila maridhiano hasa kwenye siasa na utawala.

Mugabe ili kuwandoa Wakoloni wa Ungereza alifanya mkataba wa maridhiano (Lancaster House Agreement 1979).

Bila shaka baadhi ya Zanzibari wamatamani kuwa na mfumo wa serikali 3 sawia na kile walichopendekeza Kwenye tume ya katiba iliyokuwa chini ya Warioba.

Ila kwa kuwa mchakato uliishia njiani, dawa iliyopo ni kuishi kimkakati huku Malim na akina Jusa wawe sehemu ya utawala kwa kukubali SUK.

Hii ndio njia pekee ya kuendelea kujadiliama mezani na CCM huku maisha na uendeshaji wa Serikali ukiendelea na AcT ikiwamo serikalini.
Ahmad Rashid mbona aliridhia makubaliano na anaendelea kuwatumikia Zanzibari??
I

Maridhiano mara ngapi na CCM huku mkiendelea kuuwa watu ?
Muingereza alimuuwa nani kwenye uchaguzi wa Zimbabwe ?
Rudisheni haki mliyoipora kwa uvamizi , other wise tuishi maisha ya kuuwana kama mnavyoyataka .

Kuridhiana ni kwenye kurudisha haki kwanza

Yaani tumbili waliharibu shamba lako halafu utoke ukafanye maridhiano nao
 
Vyovyote unavyofikiri nindio uhuru tunaonyimwa na hawa majambazi yanayoifanya nchi ni mali yao.
Zanzibar haihitaji maridhiano inahitaji uhuru wake ilioupata dec. 1963 ukaporwa na Nyerere na genge lake kwa kutuvamia hapo Jan 1964.
Kama unashindwa kuongeza nguvu kusaidia katika vita hii unadhani kuna ukombozi utakaoupata bila kuondoa hivi vikwazo ?
 
Vyovyote unavyofikiri nindio uhuru tunaonyimwa na hawa majambazi yanayoifanya nchi ni mali yao.
Zanzibar haihitaji maridhiano inahitaji uhuru wake ilioupata dec. 1963 ukaporwa na Nyerere na genge lake kwa kutuvamia hapo Jan 1964.
Kama unashindwa kuongeza nguvu kusaidia katika vita hii unadhani kuna ukombozi utakaoupata bila kuondoa hivi vikwazo?
 
Kama kweli Hussein anataka maridhiano, kwanza akubali kosa lake na wahafidhina wenzake. Kwa nini tuwe na maridhiano kama hamna makosa. Kwa kuwa ametaka maridhiano ni kuwa anajuwa kuna makosa au sio?. Tuanzie hapo. kama anataka maridhiano na serikali ya umoja kikatiba, ni akubali kosa halafu ndio tuongee hayo maridhiano venginevo kuzungumza tu, hata kasuku anazungumza lakini hajui alizungumzalo. Au munasemaje waungwana?.
 
Kama unashindwa kuongeza nguvu kusaidia katika vita hii unadhani kuna ukombozi utakaoupata bila kuondoa hivi vikwazo ?
Kuongeza Nguvu, kwani sisi tuna majeshi na vifaru ?? au sisi tunaweza kukodi majeshi Burundi ??

Wenye majeshi kama wanataka maridhiano waiambie jumuia ya kimataifa waje kusaidia kusimamia uchaguzi wa huru na haki kwani kwa nyinyi wenye majeshi katu hilo haiwezekani , Maridhiano yatakuja baada ya mshindi halali kupatikana bila mtutu wa bunduki na majeshi ya kukodi
 
Mapambano siyo lazima uwe na jeshi hata kupitia mitandao kama JF au tweeter ni safari ya mapambano ndg mpemba!
Kuongeza Nguvu, kwani sisi tuna majeshi na vifaru ?? au sisi tunaweza kukodi majeshi Burundi ??

Wenye majeshi kama wanataka maridhiano waiambie jumuia ya kimataifa waje kusaidia kusimamia uchaguzi wa huru na haki kwani kwa nyinyi wenye majeshi katu hilo haiwezekani , Maridhiano yatakuja baada ya mshindi halali kupatikana bila mtutu wa bunduki na majeshi ya kukodi
 
Tafsiri kupitia tamko la Rais mteule wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, baada ya kutangazwa mshindi, inaweza kujenga taswira kuwa kiongozi huyo anaweza kuwa na dhamira ya kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa.

Hata hivyo, mtihani upo kwa mpinzani wake, Maalim Seif Sharif Hamad na chama chake cha ACT-Wazalendo kutoa uamuzi ndani ya siku saba baada ya Rais kuapishwa.

Akizungumza baada ya kutangazwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji mstaafu Hamid Mahmoud Hamid kuwa Rais mteule wa Zanzibar, Dk Mwinyi alisema ataendeleza maridhiano yaliyopo kikatiba

Alisema atadumisha amani iliyopo kwa kushirikiana na wapinzani kwa sababu wao ni nyenzo muhimu katika kukuza demokrasia nchini.

“Nipo tayari kuyaendeleza maridhiano yaliyopo katika katiba yetu, kwani Zanzibar ni kubwa na muhimu kuliko tofauti zetu, nitashirikiana nanyi kujenga Zanzibar mpya,” alisema Dkt. Mwinyi

Akiwa ameshinda kwa zaidi ya asilimia 76.2 alisema kuwa amepokea ushindi kwa mikono miwili na akaahidi kuijenga Zanzibar kwa ushirikiano na Wazanzibari wote bila kujali itikadi

Hata hivyo, kwa mwongozo wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010, ACT-Wazalendo wanapaswa kuketi na Dk Mwinyi ndani ya siku saba kisha kumpa jina la mtu wanayempendekeza kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais, vilevile kufanya mashauriano kuhusu muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa

Kauli hiyo ya Dk Mwinyi, pamoja na ile nyingine kwamba “Zanzibar ni kubwa na muhimu kuliko tofauti za kisiasa”, inaweza kujenga picha ya utayari wake wa kushirikiana na wapinzani wake kuunda Serikali

Mtihani ni Seif ambaye awali alitangaza hatamtambua aliyetangazwa kama Rais wa Zanzibar, vilevile uchaguzi uliompa ushindi

Seif alisema uchaguzi wa Zanzibar uliofanyika Oktoba 27 na 28, haukuwa uchaguzi, bali zoezi la kijeshi. “Uchaguzi ulitekwa na vyombo vya dola. Ikiwa kulikuwa hakuna uchaguzi vipi nitamkubali aliyetangazwa?, hakuwekwa madarakani na wananchi kama Katiba inavyotaka. Amewekwa madarakani isivyo halali,”alisema

Pamoja na msimamo wake huo, bado Seif jana alipozungumza na Mwananchi kwa simu kuhusiana na msimamo wake juu ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa, alirejesha mpira kwa chama chake kwamba ndicho kitakachokuwa na uamuzi wa mwisho

“Kwanza itategemea huyo aliyetangazwa! Akiamua kuunda GNU na kutaka kutushirikisha sisi itategemea maamuzi ya Chama. Si maamuzi yangu,” alisema

Kauli hiyo ya Seif, imeshabihiana na ile ya Mkuu wa Itikadi na Uenezi wa ACT-Wazalendo, Salim Bimani aliyesema: “Chama kitakaa na kutoa tamko la pamoja kuhusu vurugu zote hizi za uchaguzi. Kwa sasa hatuwezi kuzungumzia ushiriki wetu kwenye hiyo Serikali ya Umoja wa Kitaifa”

Kwa mujibu wa Ibara ya 39 ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010, uteuzi wa Makamu wa Kwanza wa Rais kutoka chama kilichoshika nafasi ya pili kwenye uchaguzi wa Rais, si hiari kwa Rais aliyeshinda, bali ni lazima pale mshindi wa pili anapopata kura za urais asilimia 10 au zaidi

Katika matokeo ya urais Zanzibar yaliyotangazwa Oktoba 29, mwaka huu na Jaji Hamid, Seif aliyegombea urais kupitia ACT-Wazalendo, amepata asilimia 19.87, ambayo ni karibu mara mbili ya asilimia zinazohitajika ili chama kilichoshika nafasi ya pili kitoe Makamu wa Kwanza wa Rais na kushiriki kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa

Ibara hiyo inaeleza bila kutaja idadi, kuwa endapo mshindi wa kiti cha urais hakuwa na mpinzani, basi Makamu wa Kwanza wa Rais atapatikana kupitia chama kitakachoshika nafasi ya pili kwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi

Hadi sasa, kabla ya kupitisha majina ya viti maalumu, CCM ina viti 49 na ACT-Wazalendo kimoja
Kwa ufafanuzi huo wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010, mantiki yake ni kuwa ACT-Wazalendo ndiyo wenye kutakiwa kutoa majibu ya mtihani wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, ama wakubali au wakatae

Na kwa mujibu wa Katibu, wanapaswa kuwa na majibu ndani ya siku saba kutoka siku ambayo Dk Mwinyi ataapishwa.
Kingine kinachoweza kuwapa mtihani ACT-Wazalendo kuingia kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni idadi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi

Mpaka sasa wana mjumbe mmoja ambaye ndiye pekee ana sifa ya kuteuliwa kabla ya kungoja viti maalum au hisani ya uteuzi katika viti 10 vya Rais wa Zanzibar.



Source: citizen
Yeye Ni kinyago kilichochongwa Dodoma, hana awezalo kufanya lisiloamuliwa na kamati kuu Dodoma.
 
Hahaha ni ujinga kukubali kuwa mkia kila siku, kwani wakikataa watapungukiwa nini?!

Ningekuwa mshauri wao ningewashauri waachane na ujinga wa maridhiano, maana hakuna tofauti na kugeuzwa Colgate.

Mliishi bila kuwepo huko serikalini, mtaishi bila kuwepo huko serikalini.

Wameshinda wao waachieni watawale!
Kwa umwagaji ule wa damu za wazanzibari hakuna aliyetayari na unafiki wa kupewa u makamu wa raisi. Hata shetani hapendi unafiki wa kiwango hicho.
 
Maafisa Vipenyo waliopo ACT na Chadema wanaripoti kuwa ACT itasusia serikali ya umoja wa kitaifa kwa kuwa hata ikiundwa Vingunge wote mbali ya Seif hawatoingia kwny Cabinet kwa kuwa sio Wawakilishi na pia Katiba haimlazimishi Rais Mwinyi kuteua Wajumbe wa baraza kutoka upande wa pili hivyo automayically kina Bimani, Jussa, Mazrui watakuwa nje ya viti vya Uteuzi

Upande wa Bara Chadema wamepanga kususia Bunge kwa kuwa Viongozi wakuu wote na Wajumbe wa Kamati kuu ya Chadema wamepoteza majimbo yao hivyo hata wakiruhusu wabunge wa viti maalum waende pamoja na wa kule Rukwa bado kwao binafsi hawatapata manufaa japo wanabishana kuwa kama watasusia ikitokea Serikal ikawanyima Ruzuku ambayo kwa sasa haitopungua 70 million kwa mwezi hali itakuwaje na huku hawana Ubunge?

Binafsi Halima Mdee anataka wasisusie kwa kuwa ana uhakika wa kupata Ubunge wa viti maalum hivyo atakuwa anatumikia kipindi cha nne mfululizo na kuwa Mbunge aliedumu bungeni muda mrefu zaid
Wewe mnafiki, unamsemea Mdee? Wewe ni nani mshenzi wewe.
 
Mapambano siyo lazima uwe na jeshi hata kupitia mitandao kama JF au tweeter ni safari ya mapambano ndg mpemba!
Kama ni hivyo CCM wasingalikodi majeshi kutoka Burundi
 
ACT watafanya kosa kubwa kama watasusia Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Wao waombe kwa kuwa wana viti vichache basi Mwinyi ateue japo wabunge wanne au watano kutoka ACT ili wakina Jussa waweze kuingia serikalini.

Pi huku bara kama CHADEMA watamkataza mbunge wao wa Nkasi na pia wale wa viti maalum ambao wanaweza kufika hata kumi basi watakuwa wamejiua zaidi. Mimi nawashauri wale wabunge wa viti maalum watakaoteuliwa na yule wa Nkasi waende bungeni hata kama chama chao kitapinga, ikiwezekana bunge litunge sheria kuwalinda na ubunge wao dhidi ya ubabe wa viongozi wao.

Katika siasa inatakiwa utumie kila fursa unayoweza kuipata. Kule Israel, waarabu ambao wamekubalika kama raia wa Israel hugombania ubunge ma umoja wao unajulikana kama joint list bungeni, sio kwamba wanaikubali serikali ya Israel la hasha ila wanapigana toka ndani na ni chama cha tatu kwa ukubwa bungeni. Isingekuwa ni kuona aibu baadhi ya vyama vya waisrael vingewatumia kuiangusha serikali ila vinaogopa kuonekana vinashirikiana na adui.

Mfano mwingine, kule Kongo enzi hizo ikiitwa Zaire ya Mobutu, mahakama iliwahi kumhukumu mwanasiasa maarufu wa upinzani aliyeitwa Nguza Karl Bond adhabu ya kifo lakini baadae Mobutu alilazimika kumteua huyo huyo Nguza kuwa waziri mkuu wakati ule wa vuguvugu la upinzani wa vyama vingi linaanza na Nguza alikubali uteuzi huo akatolewa jela akawa waziri mkuu.

Hao wabunge japo wachache wanaweza kung'ara bungeni kwa hoja nzito kuliko chadema ilipokuwa na wabunge wengi. Hata hoja yao ya tume huru wanaweza kuipigania toka bungeni huku wemgine wakipigania huku nje.

Alternatively, kama Chadema wanasusia bunge basi wasusie na ruzuku wasichukue ili wasimamie kweli maneno yao.

Jambo moja wapinzani waelewe hakuna uchaguzi mwingine utakaofanyika hadi mwaka 2025 na jumuiya ya kumataifa haiwezi kushinikiza wala kufanikiwa kuilazimisha nchi huru nyingine kufanya uchaguzi. Pili Marekani sasa hivi sio dominant power duniani kuna China na Urusi ambazo zinaipinga Marekani katika medani mballi mbali za kimataifa.

Maridhiano ndio kitu pekee kitakachowawezasha wapinzani walau kuwa sehemu ya uendeshaji nchi lakini siasa za uanaharakati tena wa chuki dhidi ya serikali zitawaumiza wao zaidi. Hakuna mtu atakayeingia barabarani aache kwenda kutafuta riziki na pia ajiletee matatizo. Wakumbuke kuwa sisi wengine wapenda amani tunategemea tutumie barabara hizo hizo kupita kwenda kwenye shugjuli zetu hatuwezi kukubali tufe njaa kwa sababu barabara zinatumiwa kwa maandamano.

Duniani hapa hakuna mtu yeyote hata kama alikuwa rais mwanzoni anayeweza kupambama na serikali.
Nimekutukana sana kwa hoja zako zinazoonyesha kiwango chako duni cha kupambanua mambo. Kwa kifupi mjadala huu huuwezi, kampikie bashawako.
 
Back
Top Bottom