Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona ehh, tabu kweliNyerere wa Sigimbi huyu, sii Yule wa Butiama
Usumbufu...wa nini kwa tuliyobahatika kukutana nayeAcha usumbufu
Huyo ni Nyerere MwenyeweHuyu mbona kama Charlie Chaplin ?
Ulikutana naye wapi.Usumbufu...wa nini kwa tuliyobahatika kukutana naye
Na kumuona tukiangalia hilo sanamu tunaona vichekesho
Ova
Niko kwenye kadamnasi, nmejizuia kucheka ila wapiNimejikuta nimecheka kwa nguvu alafu nipo kwenye mwendo kasiiii..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee wa watu kawakosea nini jamani.
Mnamfanya mzee wetu wa taifa km kinyago cha mpapule.
Mnadhambi sana.
Sio steve nyerere 😄Huyo ni Nyerere Mwenyewe
Hilo sanamu la siku nyingi mno hapo tabora,1970s hukoKama hatuna watengeneza Sanam wabobezi, situtafute nje tu.
Sasa huyu ni Nyerere au ??.
Sanam inabidi ijieleze kama ilivyo picha, ya kwamba MTU akiona picha yangu anajua huyu ni Carlos .
Taratibu kijana,.miaka hiyo utotoniUlikutana naye wapi.
Simba nani tena?Nikiwa na mtoto wa aliyekuwa bodyguard wake
Hawa watu wanautani na viongozi si bure. Umeona hako kasura lakini?Nyerere wa Chanika mwsho huyu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁😁Nyerere wa Chanika mwsho huyu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata wew mleta mada umeleta baada ya kuona kuna kitu hakiko sawa