Hahaha halooo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha halooo,
Hawa jamaa wana utani sana, nakumbuka kuna kipindi walichonga sanamu la Jiwe, ilikuwa kituko kweri kweri. Aliyechonga hili akamatwe haraka sanaNiko kwenye kadamnasi, nmejizuia kucheka ila wapi
Huyu Nyerere waliyemchongea Sanamu alikuwa nani hapa Tz?
Udhalilishaji upi tena ndugu yangu mtanzania.Ccm kwa udhalalilishaji kiboko.
Na huyo makongoro Nyerere ni swahiba....tena tunakata masanga pamoja na bar yetu kubwa ni kwa mzee Fernández kinondoni pale jirani na langataUlikutana naye wapi.
Mimi nimewaleteeni muonekano mpya baada ya kukarabatiwaHata wew mleta mada umeleta baada ya kuona kuna kitu hakiko sawa
Ni Mwenyewembona sio yeye uyo
😂Nyerere wa Chanika mwsho huyu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani mmemsahau Nyerere alivyokuwa ?
Acha uongoNi Mwenyewe
Ni Mwenyewe
Kwa hiyo hutaki nikuletee muonekano mpya wa Mwalimu Nyerere ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazowe nawe punguza uchawa unaboa kwa siku nyuzu 7
Atakuwa ni Nyerere wa ki -maasai au Nyerere yule mhehe ambaye kazi yake kubwa ni kuchangisha rambirambi.
nishakujua una wachola tu hao viongozi ww ni mnafiki mkubwaKwa hiyo hutaki nikuletee muonekano mpya wa Mwalimu Nyerere ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo
Mimi siyo mnafiki kama weweaf
nishakujua una wachola tu hao viongozi ww ni mnafiki mkubwa
hivi unajua mm nakujua vizuri sana A up Z au nifichue I'd yako ya mwazo?Mimi siyo mnafiki kama wewe
Itakuwa umechanganyikiwa au umelewa gongohivi unajua mm nakujua vizuri sana A up Z au nifichue I'd yako ya mwazo?
jichanganye tyItakuwa umechanganyikiwa au umelewa gongo