Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Muonekano Mpya huu hapa
Toa Maoni yako
Toa Maoni yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1,2,3 wameingia ktk njia bila kutukanana. 4 kaingia kwa njia ya hila, kudhalilisha, kutukana alimradi tu akalie kiti
Hiyo ni bendera ya Tanzania picha itakuwa ilichukuliwa nusuMbona bendera ya CCM tena au hiyo ni rangi gani ya chama ?
sijapenda hata kidogo muonekano wa mwisho kuwa pale kwa KUWABAGAZA WENZAKE,wameiba hela, wanakula rushwa ya abdul na mama yake...hii siyo kampeni hata kidogo... ULAFI WA MADARAKA
Lkn c na bado mkampa kura1,2,3 wameingia ktk njia bila kutukanana. 4 kaingia kwa njia ya hila, kudhalilisha, kutukana alimradi tu akalie kiti
Hayo yamepita mkuu, tujenge Chamasijapenda hata kidogo muonekano wa mwisho kuwa pale kwa KUWABAGAZA WENZAKE, ULAFI WA MADARAKA
Mihemko ilitawala, wakituliza akili fikra zitawajiaLkn c na bado mkampa kura
Muombe radhi hadharani. Mbowe kuitwa mwizi, mla rushwa, mtekaji hilo sio kampeni ni chuki dhidi ya mboweHayo yamepita mkuu, tujenge Chama
Mbowe ni mkomavu sanaMuombe radhi hadharani. Mbowe kuitwa mwizi, mla rushwa, mtekaji hilo sio kampeni ni chuki dhidi ya mbowe
Lkn binaadam kama Lissu na LemaMbowe ni mkomavu sana
Kaskazini Tuko juu 😜
Mbowe kafanana sana na Baba Mkwe wake!! Hasa macho
HayaMbowe kafanana sana na Baba Mkwe wake!! Hasa macho
Duh!! Hayo na maumbile na wala sio ya kujadili.Mtei alikuwa na "makengeza"! Mkwe wake Mbowe, naye ana makengeza! What a coincidence ?
Wewe hujaona hayo macho? Na hapo ndipo lilipoanzia tatizo1,2,3 wameingia ktk njia bila kutukanana. 4 kaingia kwa njia ya hila, kudhalilisha, kutukana alimradi tu akalie kiti