secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Kwa leo naomba nisiongee chochote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa leo naomba nisiongee chochote.
asante sana... umeeleza vema kabisa! lakini hilo siyo character assassination kati ya Trump na kamala kama aliyomfanyia Lisu na kundi lake kwa Mbowe. Mwizi, mla rushwa, mkabila, mzinzi covid 19 ni malaya wake.....Common denominator ya Lissu na Trump ni kupenda conspiracy theories. Leo hii ukimuambia Trump (bila ushahidi) wowote kwamba ushindi wa Kamala kwenye 50% ya majimbo aliyoshinda ulitokana na election fraud, Trump atapaa na hilo dai kwa nguvu zake zote. Vivyo hivyo Lissu. Mpe dai lolote dhidi ya opponent wake na atapaa nalo!
Hicho kitambaa kwa mzee Makani kisogezwe kwenye picha ya tatuToa Maoni yako
Kati yao, ni wawili tu wanatabasamu, ila tabasamu la mmoja ni la mchongo.
Naunga mkono kabisa,, ushindi wake hauna raha, ametukana sana wenzake ili ashinde, hana hayasijapenda hata kidogo muonekano wa mwisho kuwa pale kwa KUWABAGAZA WENZAKE,wameiba hela, wanakula rushwa ya abdul na mama yake...hii siyo kampeni hata kidogo... ULAFI WA MADARAKA
Kama wamekula hela za mama ake dula wasiambiwe ebo,sijapenda hata kidogo muonekano wa mwisho kuwa pale kwa KUWABAGAZA WENZAKE,wameiba hela, wanakula rushwa ya abdul na mama yake...hii siyo kampeni hata kidogo... ULAFI WA MADARAKA
Usiwapangie,Uko sahihi lakini historia iwekwe sawa! Next time watu watafute madaraka kwa kauli za ukweli na si kuwachafua (character assasination) kwa wenzao...
Mfano, Sema Mbowe hakununua helcopter ya kampeni, mimi nitaleta 2 za chama, mali ya chama , then baadaye usilete..hiyo inakubalika, mbinu ya kushinda.
Lakini kuwa Mbowe kaiba hela za join the chain kwenye akaunti yake nairobi....hii siyo sawa ya kufumbia macho
Asante sana mkuu, ubarikiwe sana.Hayo yamepita mkuu, tujenge Chama
KAma walikuwa hawataki kufedheheshwa kama unavyodai wasingegombea, ungesikia mawe waliyokuwa wanarushiana trump na kamara bado kampeni za lisu na mbowe zilikuwa za kistaarabu snKushinda siyo hoja. Hoja ni kuwafedhehesha wenzake. Kushinda wacha ashinde.
lete clip ambayo say Mbowe alisema Lisu kaiba hela za chama...kumbagaza..character assassination ..hiyo siyo kampeni, ni kuumiza heshima ya mtu. lazima nikuchukie milele
IkuwaBy the way, kwanini Mbowe hakutokea kukabidhi? Kuna kitu hakiko sawa, siyo dalili nzuri
LISSU aliwapiga pigo la Shitukizasijapenda hata kidogo muonekano wa mwisho kuwa pale kwa KUWABAGAZA WENZAKE,wameiba hela, wanakula rushwa ya abdul na mama yake...hii siyo kampeni hata kidogo... ULAFI WA MADARAKA
Ilibidi iwe ilivyokuwa ili kuwachanganya maadui. Distraction paid.Muombe radhi hadharani. Mbowe kuitwa mwizi, mla rushwa, mtekaji hilo sio kampeni ni chuki dhidi ya mbowe
Kama jina lako. Unawaza makojo tuMbowe kafanana sana na Baba Mkwe wake!! Hasa macho
Ilibidi iwe ilivyokuwa ili kuwachanganya maadui. Distraction paid.1,2,3 wameingia ktk njia bila kutukanana. 4 kaingia kwa njia ya hila, kudhalilisha, kutukana alimradi tu akalie kiti
Bob Nyanga Makani, Mbunge wa mioyo ya Wana Shinyanga Mjini!
Amentukana sana Mbowe, matusi ya kumvujia mtu heshima... mara mwizi, mara mla rushwa, analamba sali, mara ameahidiwa mkate nusu....... udhalilishaji mkbwa.....sikiliza clip hiiNaunga mkono kabisa,, ushindi wake hauna raha, ametukana sana wenzake ili ashinde, hana haya
Not at all1 Kushinda wacha ashinde. Lakini siyo kuwadhalilsha wenzake kwa matusi uongo, kuwafedhehesha,LISSU aliwapiga pigo la Shitukiza
Kumbe mbowe na mkwewe macho yao wote ni chuji.