Wewe hujaona hayo macho? Na hapo ndipo lilipoanzia1,2,3 wameingia ktk njia bila kutukanana. 4 kaingia kwa njia ya hila, kudhalilisha, kutukana alimradi tu akalie kiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hujaona hayo macho? Na hapo ndipo lilipoanzia1,2,3 wameingia ktk njia bila kutukanana. 4 kaingia kwa njia ya hila, kudhalilisha, kutukana alimradi tu akalie kiti
Wangeweka na picha za vinywaji wanavyopendelea 🐼sijapenda hata kidogo muonekano wa mwisho kuwa pale kwa KUWABAGAZA WENZAKE, ULAFI WA MADARAKA
Kungekuwa na picha hata 7 kama Mbowe asingeng'ang'ania madaraka.
pumbavu zako au wangeweka watu ambao wamepotea kupitia serikali yako ingelikuwa bora...ben, kibao, mawazo, soka and many othersWangeweka na picha za vinywaji wanavyopendelea 🐼
Uko sahihi lakini historia iwekwe sawa! Next time watu watafute madaraka kwa kauli za ukweli na si kuwachafua (character assasination) kwa wenzao...Hayo yamepita mkuu, tujenge Chama
maoni yangu ni kwamba unaona aibu mumeo kukosa uenyekiti ulizoea kulamba miguu yake sasa lamba na ya lissu sasa hataki ujinga huyo
Bendera ya taifaMbona bendera ya CCM tena au hiyo ni rangi gani ya chama ?
Kuna kitu kimeongezeka mabadiliko ya uongozi na utambuzi wa michango ya viongozi wakuu wa chama.
Halafu hata haendani nao huyo wa mwisho. Ni kama mvamizi tu hapo.sijapenda hata kidogo muonekano wa mwisho kuwa pale kwa KUWABAGAZA WENZAKE, ULAFI WA MADARAKA
Inakuaje Kikwete alipoita wachawi Nyerere, mwiny,mkapa na Magufuli wameshakufa??1,2,3 wameingia ktk njia bila kutukanana. 4 kaingia kwa njia ya hila, kudhalilisha, kutukana alimradi tu akalie kiti
Kinywaji Cha Mzee wa Upako 😂pumbavu zako au wangeweka watu ambao wamepotea kupitia serikali yako ingelikuwa bora...ben, kibao, mawazo, soka and many others
Hatawezekana.Hayo yamepita mkuu, tujenge Chama
Kuna theory kuwa mabinti mara nyingi hupenda wanaume ambao wanafanana kitabia au muonekano na baba zao.Haswa kama baba aliishi vizuri na mabinti zake.Mtei alikuwa na "makengeza"! Mkwe wake Mbowe, naye ana makengeza! What a coincidence ?
Mbowe ni mwizi na wapiga kura wa chadema walimfukuza kwa wizi na kula rushwa ya Abdul na mama yake.Mbowe ni mkomavu sana
Safu