mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Asije kuwa ni mwanaeMtei alikuwa na "makengeza"! Mkwe wake Mbowe, naye ana makengeza! What a coincidence ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asije kuwa ni mwanaeMtei alikuwa na "makengeza"! Mkwe wake Mbowe, naye ana makengeza! What a coincidence ?
Ni mapenzi ya Mungu ilimpendeza iwe hivyoMtei alikuwa na "makengeza"! Mkwe wake Mbowe, naye ana makengeza! What a coincidence ?
Ukuta ulibaki na picha 3 kwa miaka 20+! Kama sio Lissu ingefika 30+.
... kwanini watu hupenda kuleta personal issues na kwenda nje ya mada mezani?maoni yangu ni kwamba unaona aibu mumeo kukosa uenyekiti ulizoea kulamba miguu yake sasa lamba na ya lissu sasa hataki ujinga huyo
Itakuwa Malaria imeshapanda tayari kichwani.1,2,3 wameingia ktk njia bila kutukanana. 4 kaingia kwa njia ya hila, kudhalilisha, kutukana alimradi tu akalie kiti
Yaani,
Cheap minds always discus minor issues..Mtei alikuwa na "makengeza"! Mkwe wake Mbowe, naye ana makengeza! What a coincidence ?
Hujawahi kunifahamu, laiti ukinijua utakimbia JF kwa aibumaoni yangu ni kwamba unaona aibu mumeo kukosa uenyekiti ulizoea kulamba miguu yake sasa lamba na ya lissu sasa hataki ujinga huyo
Sijawahi kuogopa Kelele za Masikini... kwanini watu hupenda kuleta personal issues na kwenda nje ya mada mezani?
... mmieshashinda na ofisi ni yenu, kwanini umkoseshe raha Erythrocyte ? NA HUWEZI KWANZA! TIME GONNA SPEAK!
I KNOW ❣️Sijawahi kuogopa Kelele za Masikini
Common denominator ya Lissu na Trump ni kupenda conspiracy theories. Leo hii ukimuambia Trump (bila ushahidi wowote) kwamba ushindi wa Kamala kwenye 50% ya majimbo aliyoshinda ulitokana na election fraud, Trump atapaa na hilo dai kwa nguvu zake zote. Vivyo hivyo Lissu. Mpe dai lolote dhidi ya opponent wake na atapaa nalo!sijapenda hata kidogo muonekano wa mwisho kuwa pale kwa KUWABAGAZA WENZAKE, ULAFI WA MADARAKA
Hayo yamepita mkuu, tujenge Chama
Ile ilikuwa kampeni tutunataka wa prove ufisadi wa mbowe waliouhubiri
Ile ilikuwa kampeni tu
Cha ajabu hapo ni kipi- ULIMBUKENI AT BEST
Kosa la Lissu ni nini?...kumshinda Mbowe?....kwani wafuasi wa Mbowe hamkumbagaza Lissu ?sijapenda hata kidogo muonekano wa mwisho kuwa pale kwa KUWABAGAZA WENZAKE, ULAFI WA MADARAKA
Wewe jamaa sio poa 😀 😀Mtei alikuwa na "makengeza"! Mkwe wake Mbowe, naye ana makengeza! What a coincidence ?
Kushinda siyo hoja. Hoja ni kuwafedhehesha wenzake. Kushinda wacha ashinde.Kosa la Lissu ni nini?...kumshinda Mbowe?....kwani wafuasi wa Mbowe hamkumbagaza Lissu ?