Huu ndio Muonekano Mpya wa Ukuta ndani ya Ofisi ya Mwenyekiti wa Chadema

asante sana... umeeleza vema kabisa! lakini hilo siyo character assassination kati ya Trump na kamala kama aliyomfanyia Lisu na kundi lake kwa Mbowe. Mwizi, mla rushwa, mkabila, mzinzi covid 19 ni malaya wake.....
 
sijapenda hata kidogo muonekano wa mwisho kuwa pale kwa KUWABAGAZA WENZAKE,wameiba hela, wanakula rushwa ya abdul na mama yake...hii siyo kampeni hata kidogo... ULAFI WA MADARAKA
Naunga mkono kabisa,, ushindi wake hauna raha, ametukana sana wenzake ili ashinde, hana haya
 
sijapenda hata kidogo muonekano wa mwisho kuwa pale kwa KUWABAGAZA WENZAKE,wameiba hela, wanakula rushwa ya abdul na mama yake...hii siyo kampeni hata kidogo... ULAFI WA MADARAKA
Kama wamekula hela za mama ake dula wasiambiwe ebo,
 
Usiwapangie,
 
Ka
KAma walikuwa hawataki kufedheheshwa kama unavyodai wasingegombea, ungesikia mawe waliyokuwa wanarushiana trump na kamara bado kampeni za lisu na mbowe zilikuwa za kistaarabu sn
 
1,2,3 wameingia ktk njia bila kutukanana. 4 kaingia kwa njia ya hila, kudhalilisha, kutukana alimradi tu akalie kiti
Ilibidi iwe ilivyokuwa ili kuwachanganya maadui. Distraction paid.
 
Naunga mkono kabisa,, ushindi wake hauna raha, ametukana sana wenzake ili ashinde, hana haya
Amentukana sana Mbowe, matusi ya kumvujia mtu heshima... mara mwizi, mara mla rushwa, analamba sali, mara ameahidiwa mkate nusu....... udhalilishaji mkbwa.....sikiliza clip hii
 

Attachments

  • LISU.mp4
    79.2 MB
MWenyekiti aliyemaliza muda wake alikuwepo kumkabidhi kiti mwenyekiti mpya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…