Huu ndio muonekano wa David Banda (Mtoto wa Mwanamuziki Madona)

Huu ndio muonekano wa David Banda (Mtoto wa Mwanamuziki Madona)

Wakuu Huu ndio Muonekano wa Modonna and her adopted son David Banda.
.
Kama mtakumbuka Kijana Huyu David was adopted when he was 13 months from Malawi [emoji1156]
.
Daaaah Kijana David ameshapotea Huyu View attachment 2244442

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna Zungu moja linamtolea macho na udenda ni kama linasema hili choko sijui nitalipataje.
 
Alimuadobt ili amgeuze awe hivyo.Daima mzungu hana upendo wa dhati kwa muafrica
Hebu Waswahili acheni kuhitimisha msiyoyajua.

Kwanza una uthibitisho gani kama huyo Jamaa kawa Shoga?, au kwa kuwa kavaa hivyo?..huyo huenda ni ulimbukeni tu wa "Masikini akipata...".

Na hata kama amekuwa hivyo unamuingizaje Madona na kutaka kuiondoa nia yake njema ya tangu awali?...kwamba angetaka kuwa Msomi, Msanii au Mwanamichezo bora angemzuia?

Madona sio Mzungu wa kwanza wala wa mwisho kufanya hisani ya aina hiyo, wapo wengi wala hawatangazi na sio Watu Marufu kama Madona.

Ile St Jude ya Arusha inapokea Watoto wasio na uwezo wa kugharamia Masomo ambayo Wenzenu wenye uwezo na nyadhfa wanawasomesha Watoto wao Shule kama zile...sasa utoke huko wewe uanze kubeza Watu wanaosimamia ile Shule kwamba wana nia ovu?.

Sisi Watu Masikini hatujiamini kabisa, tunahisi tunaonewa tu kila wakati.
 
Wakuu Huu ndio Muonekano wa Modonna and her adopted son David Banda.
.
Kama mtakumbuka Kijana Huyu David was adopted when he was 13 months from Malawi [emoji1156]
.
Daaaah Kijana David ameshapotea Huyu View attachment 2244442

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
1653937460572.png

mbona yuko fresh tuu?1? hilo dela alivaa kushindana na watoto wa mastar wengine maana ni bei aghali sana
1653937632946.png

huyu ni jodieTunner Smith
1653937460572.png
1653937632946.png

huyu ni Joddie Tunner Smith
 
Kiherehere na kihedemsede

Nimeshacomment haifutiki hio kama umechukia pasuka kisha jitie doko nusa ulambe
Hebu Waswahili acheni kuhitimisha msiyoyajua.

Kwanza una uthibitisho gani kama huyo Jamaa kawa Shoga?, au kwa kuwa kafaa hivyo?..huyo huenda ni ulimbukeni tu wa "Masikini akipata...".

Na hata kama amekuwa hivyo unamuingizaje Madona na kutaka kuiondoa nia yake njema ya tangu awali?...kwamba angetaka kuwa Msomi, Msanii au Mwanamichezo angemzuia?

Madona sio Mzungu wa kwanza wala wa mwisho kufanya hisani ya aina hiyo, wapo wengi wala hawatangazi na sio Watu Marufu kama Madona.

Ile St Jude ya Arusha inapokea Watoto wasio na uwezo wa kugharamia Masomo ambayo Wenzenu wenye uwezo na nyadhfa wanawasomesha Watoto wao Shule kama zile...sasa utoke huko wewe uanze kubeza Watu wanaosimamia ile Shule kwamba wana nia ovu?.

Sisi Watu Masikini hatujiamini kabisa, tunahisi tunaonewa tu kila wakati.
 
Na wewe ndio wale wale usijibaraguze!!! Come out!!
Nijibaraguze kwa kipi? Unaumia mnooo? Vimba hadi upasuke, sasa ndo hivyo dela kavaa na anashaukwa ki gay. Una lipi jingine?

Poleeeeeeh [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nijibaraguze kwa kipi? Unaumia mnooo? Vimba hadi upasuke, sasa ndo hivyo dela kavaa na anashaukwa ki gay. Una lipi jingine?

Poleeeeeeh [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Inaelekea huna shida na WASAGAJI na WASENGE?
 
Wakuu Huu ndio Muonekano wa Modonna and her adopted son David Banda.
.
Kama mtakumbuka Kijana Huyu David was adopted when he was 13 months from Malawi [emoji1156]
.
Daaaah Kijana David ameshapotea Huyu View attachment 2244442

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bora wasingempa mtoto Africa waweke sheria kama mtu anataka ku adopt mtoto kutoka Africa basi awe mwafrika au waishi africa
 
Back
Top Bottom