Huu ndio uzi mpya wa Stars,sasa ni full ushindi!!!

Huu ndio uzi mpya wa Stars,sasa ni full ushindi!!!

mkuu.akuna.ipya.hizojezi.nyeupe wamechezea sana.na. Wamefungwa kukumbusha za kassim dewji zikaleta shda kisa azina rangi.sijui kipya gani unaamini kwenye.jesi

nauza.majiya upako yatb joshia.nawamwagia.migiin.wanatoka nipm kamoja.laki moja
Pdidy ktk ubora wako
 
Last edited by a moderator:
hii team inapaswa ibadilishwe jina
 
Ndio maana kila mpenda soccer Tanzania anaombea Simba na yanga zife ili mpira uweze kuendelea!
Sasa utapata wapi nguo isiyokuwa na rangi!? Wangetumia pink mngesema Mbeya city


Watumie rangi za bendera. Ndio alama ya taifa hiyo
 
Wanajitahidi kutengeneza jezi za kufungiwa magoli mengi
 
Iam sorry to say,'' Jezi hazivutii, na wala hazichezi na watazianzia kwa waarabu wakipigwa bao 5-1. Mimi ni mtanzania lakini kwa stars hii. YATOSHA!
 
Hata mimi sielewi. Sijui ndio mambo ya Simba na Yanga kwenye timu ya taifa? TFF imejaa watu wa mizaha sana

Hata kama kuna kitu zaidi ya bendera ya taifa watueleze inspiration ya rangi nyeupe imetoka wapi.

Bila shaka waliobuni jezi walipewa hadidu za rejea. Watuambie waliambiwa wabuni jezi kwa kutumia vigezo vipi.
 
hii team inapaswa ibadilishwe jina

Heh!!!,jina?mwisho wa siku mtaomba wabadilishe na jina la nchi sasa.Wabadilishe mbinu tu za kiufundi ila si mambo haya yasiyo na impact katika dakika 90 uwanjani.
 
Ni kichekesho,jezi hazichezi.Mikakati Ya Kukuza Soka Tangu Ngazi Za Chini.
 
Hebu kwanza angalia jezi hizo hapa

1.jpg


3.jpg


Hizi jezi wametengenezea Mwege kwa fundi kadago au? maana hata bland name hazina kabisa......
 
Naona Adidas wametubwaga, Kuna brand kibao kama puma, new Balance, n.k, wote wakatae kudhamini?
 
Naona Adidas wametubwaga, Kuna brand kibao kama puma, new Balance, n.k, wote wakatae kudhamini?

kaka mdhamini naye si anaangalia masilahi...unadhamini timu inayoishia kushiriki mechi za kufuzu kila mwaka lini watakutangaza...
 
Ukishabikia Tstars ujue umekata tiketi ya huzuni ya milele..kama unabisha muulize babu yako hajawahi kuwa na furaha tangu aanze kushabikia Tstars mwaka 1963
 
Back
Top Bottom