Huu ndio wakati rasmi wa kuongea ukweli kuhusu Fiesal

Feisal ana Bahati ya kufunga magori kwenye mechi mhimu , Ila sio mchezaji hatari wa kutegemewa
 
Mkataba wa Feitoto ni wa kihuni sana Yanga hawana hoja yoyote ya maana shimo walichimba wenyewe acha wakae humo ndani
 
Umeongea point sana Feisal n mchezaji wa kawaida sana tena sana.. hana skills kabisa yeye kupiga mishuti isiyo na macho na kujiangusha ovyo ovyo... ball controll yake iko chini hawezi mfikia hata Ambundo.
kilichompa umaarufu ni ushabiki hasa pale alipolinganishwa na mwamba wa Lusaka. LAKINI kule azam hakuna tena wa kumuimba ndani ya msimu atakua kasauhulika kama babu wa loliondo.
young killer katika ubora wake aliwahi kuimba kua wasanii hawajui kuchana na wanataka wapewe sifa ambazo hawana... nazani kama alimuimba Fei
 
LIKUD ni kama umeeleweka vile??
Ila alikua ana shaiiiini hapo Yanga....Toto alikua ni Yanga na Yanga ilikua ni Toto...leo mtoto kakua achaa akaanze maisha yake mapya
 
Alichokosea Feisal ni kwamba

1. Kuvunja mkataba kienyeji

2. Feisal kasubiri siku zote hizo, akaamua kuvunja mkataba siku 2 before derby

3. Kuna njia ya kutafuta Haki yako Ila sio kihuni kama anavyofanya
 
Alichokosea Feisal ni kwamba

1. Kuvunja mkataba kienyeji

2. Feisal kasubiri siku zote hizo, akaamua kuvunja mkataba siku 2 before derby

3. Kuna njia ya kutafuta Haki yako Ila sio kihuni kama anavyofanya
Halafu at least angesubiri kwenye dirisha kubwa
 
Tunaona wenzetu uingireza wachezaji wa nchi yao wana wathamini na kuwapa promo za hali ya juu na miishahara yao inapandishwa ,rahim steling katoka city kuja chelsea mkataba wake ulibaki mwaka mmoja lakin chelsea walitoa hela nyingi kumnasa

Kuna hawa vijana jude beligham na rice wa westham hawa watoto wapuuzi mpira wao wa kawaida sana ila media zao zinawapa promo ya kutosha ili thamani yao ipande

Hivi kwa akili ya kawaida jude anafika 100 mil us katika transfer market???? Diclane rice anafika hiyo hela ??? Ni kwakuwa ni vijana wa kwao hapo mjini

Ila bongo sasa ukishakuwa mzawa ndio wanakulalia hatar ,usishangae ukapewa mkataba wa milion 10 kwa mwaka na mshahara wa milion wakati wageni wanapewa milion 200 na mshahara wa milion 15

Tubadilike wabongo

Tunanyonyana kama tupo enzi za utumwa kumbe tayar tushapata uhuru tangia 1961
 
Kipindi unalinganisha na uingereza angalia pia na uchumi wa vilabu vya bongo.

Bado uwekezaji kwenye vilabu vyetu ni mdogo na pia tunategemea zaidi watu binafsi Leo GSM akikaa pembeni hiyo mil 4 mnayoisema mdogo itatafutwa kwa tochi.

Wachezaji wetu hawanyonywi bali hawajui kwamba mpira ni biashara, hawajui kujiuza, hawajui ku bargain wanapewa mikataba wanasaini tu kiholela.

Kingine wachezaji wa kibongo waongeze viwango hakuna mtu atakulipa mil 10 alafu kiwango hakieleweki.
 
acha aende zake Domayo Frank na Bahanuzi hata Ngasa pia walienda huko huko kilichowakuta wao ndo wanajua bora Ngasa , Domayo sijui alipoteleaga wapi kijana wa watu
 
Yan nakazia kabisa hapa
 
Wewe uko loyal kwa timu yako? Mashabiki wa bongo ni malaya wa soka ndio maana T. P. MAZEMBE au timu yote ya ugenini ikija kucheza na Simba, Yanga mnaenda kuipokea, na kesho yake mnanunua jezi zao mnavaa uwanjani, na mnaishabikia. Mnaishabikia hiyo ni timu yenu?

Hapo mnakuwaje loyal? Hapo ni sawa na kuzini nje ya ndoa.

Huu upumbavu hauko kwa Yanga tu, na Simba mnao sana tu.

Mwacheni Faisal akale maisha, nyie mlimuona ni wa 4ml, wenzenu wamemuona ni wa 10ml. Au mkataba wake unasema atakaa Yanga hadi KIFO KIWATENGANISHE?
Shabiki wa mpira anataka kuona mchezaji alie lelewa na timu yake akiwa loyal kwa timu kama ambavyo yeye shabiki alivyo loyal KWA timu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…