Huu ndiyo utaratibu wa Diamond Platnumz kubadili jina

Huu ndiyo utaratibu wa Diamond Platnumz kubadili jina

We acha mbona ye Mond alisema alimuona mara ya kwanza nyange akiwa na umri wa miaka 11 baada ya kuelekezawa anakofanya kazi na mamake romy jones, na alipoenda alimpa mchele na tshs 200, maana alikuwa akiuza mchele sokoni.
Ukifuatilia hizi stori unaona kabisa huyo Nyange alikuwa hana kitu, masikini muuza nafaka sokoni.

Na kwakuwa huyo Mzee Abdul alikuwa na pesa, basi huyo mama akaamua kumpa hiyo mimba. Maana mama mwenyewe anaonekana mpenda bata.
 
Ukifuatilia hizi stori unaona kabisa huyo Nyange alikuwa hana kitu, masikini muuza nafaka sokoni.

Na kwakuwa huyo Mzee Abdul alikuwa na pesa, basi huyo mama akaamua kumpa hiyo mimba. Maana mama mwenyewe anaonekana mpenda bata.
Hata mimi baada ya kuskia ile interview nikagundua Mzee Abdul aliuziwa mimba kisa ana pesa huku Nyange akijua kabisa juu ya hilo.
 
Wanasema nyange alikuwa marehemu mondi akiwa mimba

Si ajabu mzee nyange aliwaishwa sababu ya kuona mzee Abdul anamfaidi Bi sadra
Mond kwenye interview yake kasema alimjua baba yake halisi ambaye ni mzee nyange akiwa na miaka 11 siku hiyo mond alipewa mchele na miaka mbili coz mzee nyange alikua anauza mchele
 
Sidhani kama ni vyema kuendelea kumkana Baba, hata kama si Baba yako. Kwangu mimi amtunze tu huyo Mzee Abdul . Amkatie bima hata ya premium, na kila mwezi ampe hata Tshs.100,000/- itamtosha Baba yake katika majukumu ya kila siku. Hata asipofanya mengine ni sawa. OTHERWISE LAANA Itamkuta
 
Diamond anaweza kujibadilishia upepo wa baraka za Maisha kwa kubadili Jina tu.

Jina la Naseeb Abdul limekuwa na mafanikio makubwa sana kwake, Sasa hili jipya tenaa..!
 
Hivi kwanini Diamond amekosona na huyu mzee Abdul?

Hivi kweli na mihela yote ile anashindwa mpa hata huyu mzee milioni moja kila mwezi awe anakula maisha.?

Au kuna kitu nyuma ya pazia kuhusu Diamond kumkataa huyu baba?

Mkuu utavamiwa na MISUKULE ya DAYAMONDI , Humu Dayamondi hatakiwi kusemwa negative yaani humu unatakiwa kumsifia tu.
 
Mzee Abdul Juma amemtaka Diamond Platnumz abadili jina aache kutumia jina la Abdul Juma badala yake atumie jina la anayedaiwa kuwa baba yake yaani Nyange Salum.

Utaratibu wa kubadili jina upo hivi,

1. Diamond atafute mwanasheria wa kumuandalia Deed poll (Kiapo cha kubadili jina) siku hizi Kuna wanasheria wanaandaa hata kwa elfu thelathini (30000) by the way Diamond Platnumz ana wanasheria wake

2. Then unaenda kwa Registrar of documents pale Posta unasajili deed poll yako unalipia tena elfu 33000 then unasubiri siku 14 unapata majibu.

Yaani ukiwa na 63000 unabadili jina ndani ya siku 14.

Nakutakia kila la kheri Naseeb Salum Nyange (Diamond Platnumz) katika kubadili jina lako.
Huyo Mzee hilo jina la Abdul Juma kalisajili kama Trade Mark yake?
 
Uwezo wake wa kufikiri ndo umeishia hapo msamehe.

Nilikosea herufi moja kwenye kitambulisho cha nida ilinikost stasahau.
Ulitumia bei gani maana mie nataka nikabadili niweke majina mawili tu ndio niliyotumia kwenye vyeti vyangu vyote vya shule....
 
Kabla ya kubadili jina akafanye DNA kujua nani ni Baba yake, ndipo hapo majibu yatarudi kwamba Abdul ndiye Baba halali.


Mzee Abdul Juma amemtaka Diamond Platnumz abadili jina aache kutumia jina la Abdul Juma badala yake atumie jina la anayedaiwa kuwa baba yake yaani Nyange Salum.

Utaratibu wa kubadili jina upo hivi,

1. Diamond atafute mwanasheria wa kumuandalia Deed poll (Kiapo cha kubadili jina) siku hizi Kuna wanasheria wanaandaa hata kwa elfu thelathini (30000) by the way Diamond Platnumz ana wanasheria wake

2. Then unaenda kwa Registrar of documents pale Posta unasajili deed poll yako unalipia tena elfu 33000 then unasubiri siku 14 unapata majibu.

Yaani ukiwa na 63000 unabadili jina ndani ya siku 14.

Nakutakia kila la kheri Naseeb Salum Nyange (Diamond Platnumz) katika kubadili jina lako.
 
Mzee Abdul Juma amemtaka Diamond Platnumz abadili jina aache kutumia jina la Abdul Juma badala yake atumie jina la anayedaiwa kuwa baba yake yaani Nyange Salum.

Utaratibu wa kubadili jina upo hivi,

1. Diamond atafute mwanasheria wa kumuandalia Deed poll (Kiapo cha kubadili jina) siku hizi Kuna wanasheria wanaandaa hata kwa elfu thelathini (30000) by the way Diamond Platnumz ana wanasheria wake

2. Then unaenda kwa Registrar of documents pale Posta unasajili deed poll yako unalipia tena elfu 33000 then unasubiri siku 14 unapata majibu.

Yaani ukiwa na 63000 unabadili jina ndani ya siku 14.

Nakutakia kila la kheri Naseeb Salum Nyange (Diamond Platnumz) katika kubadili jina lako.
Posta Office inaitwaje Mkuu?
 
Back
Top Bottom