Huu ndo mtiririko wa Maisha yangu ulivyo na utakavyokuwa kuanzia sasa

Huu ndo mtiririko wa Maisha yangu ulivyo na utakavyokuwa kuanzia sasa

Sijawaza kuoa haya maisha yangu nayajua mwenyewe...

Assume unadate na mdada ambaye anathamini kujisnap...

Assume unadate na mdada anaesema kwao kachoka wali na ugali kila siku hivyo anataka chipsi..

Assume unadate na mdada ambaye hata ukimuuliza what your goals hajui una maanisha nini....

Assume unakaa na mtu yeye kila mwanaume anamchekea, kila mwanaume anampa namba....

Mimi kuoa bado sana dactar wee ishi humo kutokana na ushaweka stable system. Ila mimi bado sana tena sana nipo katika rika la kufanya semen retention......

Burudani yangu kubwa ni music na movies kuja kuoa ni mpaka pale tapata wa kuendana nae..

Na huyo wa kuendana na kwa sasa wanapatikana ndani ndani huko tena huyo unakuta ni wa kumfundisha wewe
20240920_102153.jpg
 
Sijawaza kuoa haya maisha yangu nayajua mwenyewe...

Assume unadate na mdada ambaye anathamini kujisnap...

Assume unadate na mdada anaesema kwao kachoka wali na ugali kila siku hivyo anataka chipsi..

Assume unadate na mdada ambaye hata ukimuuliza what your goals hajui una maanisha nini....

Assume unakaa na mtu yeye kila mwanaume anamchekea, kila mwanaume anampa namba....

Mimi kuoa bado sana dactar wee ishi humo kutokana na ushaweka stable system. Ila mimi bado sana tena sana nipo katika rika la kufanya semen retention......

Burudani yangu kubwa ni music na movies kuja kuoa ni mpaka pale tapata wa kuendana nae..

Na huyo wa kuendana na kwa sasa wanapatikana ndani ndani huko tena huyo unakuta ni wa kumfundisha wewe
View attachment 3125368

,🤗🤗🤗

Ni vizuri ukaanzia katika hatima kuja mwanzo na sio mwanzo kuja katika hatima.


Usiache kujitamkia mema
Kufikiri Kwa uchanya
Na kujiingiza kwa kile unachohitaji.


Nature itakuletea ur right choice . believe and claim it.

Say no more Mishangazi
Say no more Gold digger
Say no more broke women
Say no more being play boy


The better way you can use to prophecy ur future sit down and listen ur words.
 
,🤗🤗🤗

Ni vizuri ukaanzia katika hatima kuja mwanzo na sio mwanzo kuja katika hatima.


Usiache kujitamkia mema
Kufikiri Kwa uchanya
Na kujiingiza kwa kile unachohitaji.


Nature itakuletea ur right choice . believe and claim it.

Say no more Mishangazi
Say no more Gold digger
Say no more broke women
Say no more being play boy


The better way you can use to prophecy ur future sit down and listen ur words.
Hapo kusema no more MISHANGAZI i can't ...
I think muda sahihi wa kukataa mashangazi bado ujafika mkuu ....
 
Back
Top Bottom