Huu ndo Ushahidi wa Nchi za Magharibi zinavyotusaidia. Anayewatukana na kuwasimanga muonee huruma sana!

Huu ndo Ushahidi wa Nchi za Magharibi zinavyotusaidia. Anayewatukana na kuwasimanga muonee huruma sana!

Wewe jamaa si ulikua unamuunga mkono chura kiziwi kuuza bandari. Basi endelea kumuunga mkono msimamo wa kuwavimbia hao wazungu. Ukipenda Boga ndo hiyo sasa. Sio unabadilisha gia angani kisa umeguswa tako kwa huo msimamo
Hadi leo nasimama nae kwenye suala la Bandari
 
Uelewa wako ni mdogo sana na ishu ya kuongea Rais mnaikuza , mbona Mgufuli alikuwa anaongea kila siku ?


Kabla ya kuja hao hapakuwa na magonjwa ya hovyo ...Hamna msaada wa bure kama wewe ni mzungu ni bora kuomba uraia huko kabisa hapa utateseka sana kwa vile hatuwezi kuwa wazungu .
 
Hakuna msaada wa bure, wao wanakomba mara kibao ya wanavyoleta.

Mfano mzuri Magufuli alipigwa biti asiwaguse Barrick la sivyo wanasitisha misaada.

Baada ya kuanza kushambuliana kuhusu misaada fikirieni ni vipi mtaji toa kwenye budget deficit,

Sio sifa kujisifia misaada.
Ukipitisha mkataba mbovu halafu utake kuuvunja kiholela, kwa dunia ya leo, utapigwa tu.
 
Hadi leo nasimama nae kwenye suala la Bandari
Mfuatilie Traore ndio utajua...Waafrika wanaweza kufunga mipaka yao wakaishi ndani wasitegemee kitu chochote hata media za nje tusiangalie na wakaishi ...Ni kwa vile nchi haijapata dikteta unaweza kuhama .

Magufuli kipind safari za nje zilianza kukoma mpaka mkaanza kusema wawekezaji ....nachoongea kinamlinda kutokana na Tanzania foreign affairs policy ;hakuna kibaya ila kakumbusho moja ya sheria yake hakuna kuingilia mambo ya ndani ya Tz , kama unatoa msaada toa then jikatae huwezi kuingilia mambo ya ndani .

Kama ukiingilia mambo ya ndani, ishu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ni dk sifuri .

Nchi zao kutwa watu wanapigana bastola umesikia ubalozi wa Tz ukipiga kelele , unajua kazi za ubalozi ? kwani katekwa mzungu ?
 
Kwa kifupi Nchi za Magharibi zinatusaidia kuanzia miradi ya Afya ikiwemo kupambana na magonjwa kama Ukimwi, Kifua kikuu, utapia mlo na mingine mingi. Zinatusaidia Kuokoa uhai wa Mama wajawazito na watoto kwa kutoa fedha nyingi sana tunazotumia kuboresha hospitali zetu!

Nchi hizi zinatusaidia hadi kutujengea vituo vya kupokea kupoza na kusambaza umeme. Miradi mingi inayoendelea ni fedha wanazotoa wao kama misaada!

Zinatusaidia hadi kwenye miradi ya uzalishaji chakula ili tuwe na chakula cha kutosha.

Zinatusaidia kwenye masuala ya ya nishati mbadala bila kusahau miradi ya ujenzi wa shule, hospitali na maeneo mengi.

Sijawahi ona mchina akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.

Sijawahi ona Urusi akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.

Kusema ukweli namuonea sana huruma aliyewapiga biti hawa watu. Wakati ndo wanawasaidia wajisifu kwa wananchi kuwa wanatoa huduma bora.

Tuwaombe tu hawa wakubwa wamuonee huruma wasimchukulie hatua kali huyu aliyewatishia. Maana wakimchukulia hatua tu twafaaaaa🙌View attachment 3100424View attachment 3100425View attachment 3100426View attachment 3100427View attachment 3100434View attachment 3100434View attachment 3100428View attachment 3100435
Mungu Wabariki Wazungu
 
Hadi leo nasimama nae kwenye suala la Bandari
Hapa kwa bandari natofautiana na wewe......ila twende mbele na hao wanaowasema vibaya nchi za magharibi. Hakika hawajitambui......na kwa hili bandiko umewaacha midomo wazi 😀
 
Kwa kifupi Nchi za Magharibi zinatusaidia kuanzia miradi ya Afya ikiwemo kupambana na magonjwa kama Ukimwi, Kifua kikuu, utapia mlo na mingine mingi. Zinatusaidia Kuokoa uhai wa Mama wajawazito na watoto kwa kutoa fedha nyingi sana tunazotumia kuboresha hospitali zetu!

Nchi hizi zinatusaidia hadi kutujengea vituo vya kupokea kupoza na kusambaza umeme. Miradi mingi inayoendelea ni fedha wanazotoa wao kama misaada!

Zinatusaidia hadi kwenye miradi ya uzalishaji chakula ili tuwe na chakula cha kutosha.

Zinatusaidia kwenye masuala ya ya nishati mbadala bila kusahau miradi ya ujenzi wa shule, hospitali na maeneo mengi.

Sijawahi ona mchina akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.

Sijawahi ona Urusi akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.

Kusema ukweli namuonea sana huruma aliyewapiga biti hawa watu. Wakati ndo wanawasaidia wajisifu kwa wananchi kuwa wanatoa huduma bora.

Tuwaombe tu hawa wakubwa wamuonee huruma wasimchukulie hatua kali huyu aliyewatishia. Maana wakimchukulia hatua tu twafaaaaa🙌View attachment 3100424View attachment 3100425View attachment 3100426View attachment 3100427View attachment 3100434View attachment 3100434View attachment 3100428View attachment 3100435
North Korea waliwekewa vikwazo na kunyimwa misaada, bado wametengeneza mpaka nuclear. Wanamtisha mpaka Mmarekani. Sisi tunalilia kusaidiwa. Labda ubongo wa mtu mweusi uliumbwa kwa mabaki ya material.
 
Hela za kupambana na ukimwi tu huna alafu unajifanya kiburi. Mwehu wewe!
Ukitukana ndo unakuwa mwanademokrasia mzuri? na siku ukipewa utawale Nchi hali itakuwaje? Si maiti zitaokotwa majalalani kama chupa za maji. Pole sana hujui na hujijui!
 
Back
Top Bottom