Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #141
Sekta ya Afya kakusaidia nini? Anatoa shilingi ngapi kila mwaka kwa ajili ya Tanzania?Nimeshakuandikia hapo juu baadhi ya sector
Tupe ushahidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sekta ya Afya kakusaidia nini? Anatoa shilingi ngapi kila mwaka kwa ajili ya Tanzania?Nimeshakuandikia hapo juu baadhi ya sector
Nakubaliana na wewe lakini tutambue kila taifa lina sera zake za ndani na nje wao wamechagua njia hiyo.Mbona mambo kibao yanaenda kwa ushirikiano wa China na mambo yanasonga??
Kwanini wamagharibi wasifanye kama China we do business with mutual benefit??
Shida yako akili kisoda.
Una akili mgando.
Mbumbumbu wa ku-google Urusi na China hapo kwenye nchi zinazokuwa termed kama za magharibi.We Kunguni acha ujuaji
Huna unalolijua kiazi wewe.Mjinga ni yule anayedai vitu bila ushahidi. Na hapa ni wewe
Najua lazima ukimbilie matusi maana huna ushahidi ku support unayodai. Polee sana😅😅😅Huna unalolijua kiazi wewe.
90% ya Madaktari wamesomeshwa Urusi. Kwenye majeshi yetu vifaa na mafunzo almost 100% ni kutoka Urusi na China. Vitu nyeti huwa havitolewi figure endelea kupata figure kutoka kwa hao wezi US.Sekta ya Afya kakusaidia nini? Anatoa shilingi ngapi kila mwaka kwa ajili ya Tanzania?
Tupe ushahidi
Kwa nini Nyerere aling'atuka ?Huna taarifa zakutosha hivi unajua miaka ya 70s walifuta misaada yao eti kwa kuwa sisi tulikaa ujinga wao lakini Urusi na China waliendelea kusaidia TZ mpaka leo na misaada yao ni mizuri ya kukusaidia kujikwamua. Siyo ya hawa US ambao hutengeneza tatizo then wanajifanya kukusaidia kama unavyoona kwenye Ukimwi na COVID.
Acha Ukunguni mama, Westen word unapokuja kwenye masuala ya kimaslahi ipo Western, hata USA....sio unakariri Location tuMbumbumbu wa ku-google Urusi na China hapo kwenye nchi zinazokuwa termed kama za magharibi.
Asilimia 90 hizo takwimu umezitoa wapi?90% ya Madaktari wamesomeshwa Urusi. Kwenye majeshi yetu vifaa na mafunzo almost 100% ni kutoka Urusi na China. Vitu nyeti huwa havitolewi figure endelea kupata figure kutoka kwa hao wezi US.
Ushahidi anaokuja nao hapa ni tweets.90% ya Madaktari wamesomeshwa Urusi. Kwenye majeshi yetu vifaa na mafunzo almost 100% ni kutoka Urusi na China. Vitu nyeti huwa havitolewi figure endelea kupata figure kutoka kwa hao wezi US.
Weka basi wewe huo ushahidi wakoUshahidi anaokuja nao hapa ni tweets.
Kuna watu wanajua kupotosha wenzao.
Weee ThubutuuSi mkatae misaada yao kama mna jeuri?
Wanachotoa kinatusaidia halafu sisi hata tukiachwa hatuwezi kukitoaWanachopata ni zaidi ya hicho wanachotoa.
Unapost wewe halafu mimi nikuwekee wewe ushahidi??Weka basi wewe huo ushahidi wako
Misaada yao haijawahi tukusaidia kwenda mbele bali ni kuwategemezi zaidi ndio màana tukikataa misàada yao wanakasilika.Wanachotoa kinatusaidia halafu sisi hata tukiachwa hatuwezi kukitoa
Kwa hiyo miradi ya maji, kuzuia makali ya ukimwi, umeme haijawahi kukusaidia?Misaada yao haijawahi tukusaidia kwenda mbele bali ni kuwategemezi zaidi ndio màana tukikataa misàada yao wanakasilika.
Nakupa challenge basi! Anzisha uzi wako kuelezea miradi ya kijamii na maendeleo tunayosaidiwa na Urusi na China alafu weka na ushahidi kama unawezaUnapost wewe halafu mimi nikuwekee wewe ushahidi??
Upo serious kweli??
Unaposema wanakomba kwani wanaishikia mtutu Tanzania? njaa za wanasiasa zinazopelekea wao wenyewe kutaka hongo nene huku wakilegeza mikataba katika hili wa kulaumiwa ni serikali yenyewe. BAE systems walivyorudisha change ya rada? ili hali huku Tanzania viongozi waliopewa dhamna badala hata ya kuungana na wapigania haki wa UK wao ndo kwanza wakawa mstari wa mbele kutaka change isirudi wakidai wala hakuna upigaji. Mataifa makini hupambania raia wao ndo maana UAE kupitia dubai port world anaingia mikataba ya kidhulumati na viongozi wenye njaa wa nchi kama Tanzagiza maana wanapambania watu wao na ni dubai haohao kupitia dubai cares INGO yao utakuta then wanasema wameisadida Tanzania.Hakuna msaada wa bure, wao wanakomba mara kibao ya wanavyoleta.
Mfano mzuri Magufuli alipigwa biti asiwaguse Barrick la sivyo wanasitisha misaada.
Baada ya kuanza kushambuliana kuhusu misaada fikirieni ni vipi mtaji toa kwenye budget deficit,
Sio sifa kujisifia misaada.
Mradi upi wa maana US wametoa? Ukimwi walileta wao kwa faida yao hao mabwana zao. Naona unavyowatetea as if wewe ni Mmarekani. Wengine tumefanyakazi kwenye miradi yao na bado tuna diss pia.Kwa hiyo miradi ya maji, kuzuia makali ya ukimwi, umeme haijawahi kukusaidia?
We kweli zumbukuku
Sio Kweli kwamba misaada yao haijatusaidiaMisaada yao haijawahi tukusaidia kwenda mbele bali ni kuwategemezi zaidi ndio màana tukikataa misàada yao wanakasilika.