Huu ndo Ushahidi wa Nchi za Magharibi zinavyotusaidia. Anayewatukana na kuwasimanga muonee huruma sana!

Huu ndo Ushahidi wa Nchi za Magharibi zinavyotusaidia. Anayewatukana na kuwasimanga muonee huruma sana!

Hiyo kodi yenyewe unayoisema ilikiwa ni kichekesho cha dunia nzima.

Ilikuwa sawa na habari ya "Amini Usiamini" katika gazeti la Mfanyakazi la miaka ya 1980.

Zaidi, narudia, serikali ya Canada ina haki ya kutoa na kusitisha misaada inavyotaka.

Laumu viongozi wako kwa kufanya taifa lako litegemee misaada ya Canda.

Usiilaumu serikali ya Canda kwa kuamua isaidie wapi na wapi isitishe misaada.
Mahakama ndio ingeamua ni kichekesho ama LA, inawezekana isifike hio Amount alioitaja Magu ila ukawepo kweli huo wizi. Unajua wazi fika kuingilia sovereign ya Nchi na Mahakama ni against everything wanayo preach ila unajiziba macho, siku njema.
 
Mahakama ndio ingeamua ni kichekesho ama LA, inawezekana isifike hio Amount alioitaja Magu ila ukawepo kweli huo wizi. Unajua wazi fika kuingilia sovereign ya Nchi na Mahakama ni against everything wanayo preach ila unajiziba macho, siku njema.
Mahakama ya Tanzania ndiyo ingeamua Canada itoe au isitoe misaada kwa Tanzania?

Mahakama gani Tanzania? Hizi mahakama ambazo Rostam Aziz kasema zinafanya maamuzi kwa kupigiwa simu za amri kutoka juu?

Kwa nini unalilia misaada ya Canada badala ya kuwabana viongozi wako wajenge nchi isiyohitaji misaada ya Canada?
 
Hakuna msaada wa bure, wao wanakomba mara kibao ya wanavyoleta.

Mfano mzuri Magufuli alipigwa biti asiwaguse Barrick la sivyo wanasitisha misaada.

Baada ya kuanza kushambuliana kuhusu misaada fikirieni ni vipi mtaji toa kwenye budget deficit,

Sio sifa kujisifia misaada.
Wazungu wasingetusaidia Waafrika tungeshakufa wengi sana, kwanza MALARIA kama Tropical Disease ingeshatumaliza wengi sana hasa Watoto wetu

Sio Malaria tu, hata magonjwa mengine hasa Viral Diseases

Tunajifanya kuwaponda wakati tunawategemea

Watu weusi wanashangaza sana
 
Mkuu hongera sana!
Ila je wajua kuwa hakuna jambo mzungu tena Marekani analifanya kwa kutumia pesa zake pasi na kupata faida?! Hisani ya Marekani sio bure bali nyuma ya pazia kuna mengi yanaendelea. Mfano tu:
USAID ambao ndo wadau wanaosaidia kwenye masuala mazima ya afya ya Mama na Mtoto ukitazama kwa undani kuna makubaliano ya kipuuzi sana yanafanyika bila walengwa kufahamu.​
 
HA
Mahakama ya Tanzania ndiyo ingeamua Canada itoe au isitoe misaada kwa Tanzania?

Mahakama gani Tanzania? Hizi mahakama ambazo Rostam Aziz kasema zinafanya maamuzi kwa kupigiwa simu za amri kutoka juu?

Kwa nini unalilia misaada ya Canada badala ya kuwabana viongozi wako wajenge nchi isiyohitaji misaada ya Canada?
HATUWEZI KUHJTEGEMEA

Wazungu ndio wanairun Dunia na wabaelekea katika ku run sayari nyingine...wakifuatiwa na Asians

Huyu anayekubishia hapo aache UNAFIKI, Watu weusi hata kujiongoza tu hatuwezi
 
Mkuu hongera sana!
Ila je wajua kuwa hakuna jambo mzungu tena Marekani analifanya kwa kutumia pesa zake pasi na kupata faida?! Hisani ya Marekani sio bure bali nyuma ya pazia kuna mengi yanaendelea. Mfano tu:
USAID ambao ndo wadau wanaosaidia kwenye masuala mazima ya afya ya Mama na Mtoto ukitazama kwa undani kuna makubaliano ya kipuuzi sana yanafanyika bila walengwa kufahamu.​
Ni Bora wasaidie na kujinufaisha hata kwa kuiba, Wasingetusaidia sisi tungeweza kujisaidia?

Hata resources tu hatuwezi ku utilize🤣🤣🤣
 
Kwa kifupi Nchi za Magharibi zinatusaidia kuanzia miradi ya Afya ikiwemo kupambana na magonjwa kama Ukimwi, Kifua kikuu, utapia mlo na mingine mingi. Zinatusaidia Kuokoa uhai wa Mama wajawazito na watoto kwa kutoa fedha nyingi sana tunazotumia kuboresha hospitali zetu!

Nchi hizi zinatusaidia hadi kutujengea vituo vya kupokea kupoza na kusambaza umeme. Miradi mingi inayoendelea ni fedha wanazotoa wao kama misaada!

Zinatusaidia hadi kwenye miradi ya uzalishaji chakula ili tuwe na chakula cha kutosha.

Zinatusaidia kwenye masuala ya ya nishati mbadala bila kusahau miradi ya ujenzi wa shule, hospitali na maeneo mengi.

Sijawahi ona mchina akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.

Sijawahi ona Urusi akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.

Kusema ukweli namuonea sana huruma aliyewapiga biti hawa watu. Wakati ndo wanawasaidia wajisifu kwa wananchi kuwa wanatoa huduma bora.

Tuwaombe tu hawa wakubwa wamuonee huruma wasimchukulie hatua kali huyu aliyewatishia. Maana wakimchukulia hatua tu twafaaaaa🙌View attachment 3100424View attachment 3100425View attachment 3100426View attachment 3100427View attachment 3100434View attachment 3100434View attachment 3100428View attachment 3100435
Tupe vile vile data za wao wanachukua nini kutoka kwetu? USA hawawezi kutoa msaada bure nimefanyanao kazi nawajua sana.
 
Tupe vile vile data za wao wanachukua nini kutoka kwetu? USA hawawezi kutoa msaada bure nimefanyanao kazi nawajua sana.
Kuna shida gani ukiziweka wewe hizo data?
 
Ni Bora wasaidie na kujinufaisha hata kwa kuiba, Wasingetusaidia sisi tungeweza kujisaidia?

Hata resources tu hatuwezi ku utilize🤣🤣🤣
Huna taarifa zakutosha hivi unajua miaka ya 70s walifuta misaada yao eti kwa kuwa sisi tulikaa ujinga wao lakini Urusi na China waliendelea kusaidia TZ mpaka leo na misaada yao ni mizuri ya kukusaidia kujikwamua. Siyo ya hawa US ambao hutengeneza tatizo then wanajifanya kukusaidia kama unavyoona kwenye Ukimwi na COVID.
 
Hakuna msaada wa bure, wao wanakomba mara kibao ya wanavyoleta.

Mfano mzuri Magufuli alipigwa biti asiwaguse Barrick la sivyo wanasitisha misaada.

Baada ya kuanza kushambuliana kuhusu misaada fikirieni ni vipi mtaji toa kwenye budget deficit,

Sio sifa kujisifia misaada.
Uyo ndo hana akili alikua akitumia nguvu kwenye ammbo ya reasoning nguvu mwisho hasara
 
Back
Top Bottom