Huu ndo Ushahidi wa Nchi za Magharibi zinavyotusaidia. Anayewatukana na kuwasimanga muonee huruma sana!

Huu ndo Ushahidi wa Nchi za Magharibi zinavyotusaidia. Anayewatukana na kuwasimanga muonee huruma sana!

Hakuna nchi ya Africa ya kuweza kushindana na magharibi kama kweli wakichukulia jambo lao serious nasema hakuna.

Duniani ni mataifa machache sana yenye huo ubavu yanahesabika tena kwa kubebana.

Magharibi bado wameshikilia mifumo mingi sana ya kidunia toka miaka mia iliyopita.

Xi kumuambia Putin mabadiliko ya sasa haijawahi tokea sio kauli ndogo.

Tena Africa ilivyo jaza wajinga wajinga bado sana kupambana na magharibi uwe umejipanga haswa.
Kama Afrika ikiamua inaweza ila ikubali kulipa gharama kubwa.
Kuweza inawezekana sana tu japo gharama zake kubwa.
We Kunguni acha ujuaji
With some debate .
Umesoma hilo eneo hadi mwisho??
Russia sio western nation.
 
Sisi tupo hapa kwa sababu ya ujinga wetu wazungu,wachina,waarabu,warusi wana mchango mdogo sana katika hili
Wazungu wana mchango wao kiasi kikubwa tu.
Na mbaya zaidi wakatumia upumbavu wetu kama fursa.
 
Kama Afrika ikiamua inaweza ila ikubali kulipa gharama kubwa.
Kuweza inawezekana sana tu japo gharama zake kubwa.

With some debate .
Umesoma hilo eneo hadi mwisho??
Russia sio western nation.
Kuwezekana inawezekana na nakubali Gharama ni kubwa sana tutakayoingia...ikiwapo vifo na hata vita vikubwa

LIBYA ni mfano hai, na Western Africa countries kina Burkinafaso, Ivory Coast na Mali wanapambana kwasasahivi

India, Brazil na South Africa pia na ilishajua hilo ndio maana kuna BRICS na nchi zingine zinazidi kujoin kama Argentina

Ninachopinga ni huu UNAFIKI wa kusema eti Misaada yao haijatusaidia wakati tunawategemea hao Wauzungu kwa almost kudrive kila kitu kiuchumi, kiafya n.k
 
Sio Kweli kwamba misaada yao haijatusaidia

Uliwahi kujiuliza kwa hizi Communicable disease kuwepo Afrika tungeweza kuziondoaje?

- VItabu mashuleni kwa % kubwa vinasambazwa kwa misaada yao

- Computers zinazotumika katika maofisi mengi hasa za umma, shuleni, mahospitalini na sehemu zinginezo zinatoka kwao

- Hizi CT Scan, Dialysis machine, na Ultra Sound Machine zinatoka kwao

- Vyombo vya Usafiri vya Anga, Ardhini na majini

- Kutusomeshea Madaktari na Wataalamu wengine wabobevu

Wabongo bana...huwa Wanabisha vitu vilivyo wazi, hata teknolojia unayotumia hapa ya Mobile phones, laptops au Tablets ni yao....Na bado unasema havitusaidii 🤣🤣🤣🤣
Acha uongo vifaa hivyo tunanunua kwa pesa zetu. Slavery mentality inakusumbua. Ukipewa uongozi wa nchi utatuuza wewe sio bure.
 
Kuwezekana inawezekana na nakubali Gharama ni kubwa sana tutakayoingia...ikiwapo vifo na hata vita vikubwa

LIBYA ni mfano hai, na Western Africa countries kina Burkinafaso, Ivory Coast na Mali wanapambana kwasasahivi

India, Brazil na South Africa pia na ilishajua hilo ndio maana kuna BRICS na nchi zingine zinazidi kujoin kama Argentina

Ninachopinga ni huu UNAFIKI wa kusema eti Misaada yao haijatusaidia wakati tunawategemea hao Wauzungu kwa almost kudrive kila kitu kiuchumi, kiafya n.k
Misaada ipi iyo bro ya maana!?
Ukiniambia mimi China imeisaidia Afrika kuliko hata westerners.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Sekta ya Afya kakusaidia nini? Anatoa shilingi ngapi kila mwaka kwa ajili ya Tanzania?

Tupe ushahidi
Shilingi ngapi kwenye nini??
Embu fafanua.
Kama sekta ya afya India ndio imekusaidia sana kuliko hao westerners.
 
Unayohaki ya Kuomba Uraia wa US ukale bure shemeji.
Watanzania walitafuta uhuru ili wajiamulie mambo yao wenyewe sio kupangiwa nini cha kufanya na kila nchi inayoleta misaada.

Anzisha familia yako ujitegemee?
Sasa mbona mnashindwa?
Ndo kwanza kutwa kwenda kuomba huko?
 
Reli ya TAZARA alijenga ndiyo kama mkopo!

Hiyo mihndombinu hatujengea bure tena anatukopesha. Tena mbaya zaidi anatupiga maana anatujengea miondominu yenye viwango duni vya ubora tena kwa mikopo umiza yenye interest mbaya sana!

Hakuna msaada wa ujenzi anaoufanya mchina. Mchina yupo kibiashara tena kaa ajili ya kutuibia
Kweli huna unalolijua.
Katizame reli ya TAZARA mlipewa kwa mkopo wa riba ama bila riba??
Yani hata unafuu wa ujenzi wa TAZARA huujui.
Miundombinu ipi mmejengewa kwa kiwango cha chini embu itaje??
Sehemu ipi China iliwapa riba kubwa??
Onaongea tu kwa kutapatapa.
Kipindi TAZARA inajengwa USA na wenzake walikua wapi??
Kipindi mnajengewa na miundombinu mingine na China USA na wenzake walikua wapi!??
 
Kwa kifupi Nchi za Magharibi zinatusaidia kuanzia miradi ya Afya ikiwemo kupambana na magonjwa kama Ukimwi, Kifua kikuu, utapia mlo na mingine mingi. Zinatusaidia Kuokoa uhai wa Mama wajawazito na watoto kwa kutoa fedha nyingi sana tunazotumia kuboresha hospitali zetu!

Nchi hizi zinatusaidia hadi kutujengea vituo vya kupokea kupoza na kusambaza umeme. Miradi mingi inayoendelea ni fedha wanazotoa wao kama misaada!

Zinatusaidia hadi kwenye miradi ya uzalishaji chakula ili tuwe na chakula cha kutosha.

Zinatusaidia kwenye masuala ya ya nishati mbadala bila kusahau miradi ya ujenzi wa shule, maji , hospitali na maeneo mengi.

Sijawahi ona mchina akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.

Sijawahi ona Urusi akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.

Kusema ukweli namuonea sana huruma aliyewapiga biti hawa watu. Wakati ndo wanawasaidia wajisifu kwa wananchi kuwa wanatoa huduma bora.

Tuwaombe tu hawa wakubwa wamuonee huruma wasimchukulie hatua kali huyu aliyewatishia. Maana wakimchukulia hatua tu twafaaaaa🙌View attachment 3100424View attachment 3100425View attachment 3100426View attachment 3100427View attachment 3100434View attachment 3100434View attachment 3100428View attachment 3100435
Upinde mnajulikana tu
 
Acha uongo vifaa hivyo tunanunua kwa pesa zetu. Slavery mentality inakusumbua. Ukipewa uongozi wa nchi utatuuza wewe sio bure.
Wewe mama hujielewi, hata kutuuzia ni kutusaidia, Kwanini tununue kwao badala ya kudesign vyakwetu?

Na sio vyote tunanunua, nina Ushahidi na CT Scan Mashine zaidi ya 5 zilizoletwa nchini BURE

Huna akili wala Ushahidi na unavyoandika hapa bata wewe

Weka hapa misaada mikubwa kutoka Russia kama ulivyotuandikia hapa 🤣🤣🤣
 
Ndio wanazengea haya madini yetu. Sasa kuna wajinga fulani wanafikiri wamarekani wanatoa eti misaada bure kwanini wasipeleke Somalia na Sudan watoto wanakufa kwa njaa wakatoe hiyo misaada. Kuna baadhi ya watz hawatumii akili hata chembe ili kung'amua mbinu za hao mabeberu wanafikiri kusaidiwa tu.
 
Wewe mama hujielewi, hata kutuuzia ni kutusaidia, Kwanini tununue kwao badala ya kudesign vyakwetu?

Na sio vyote tunanunua, nina Ushahidi na CT Scan Mashine zaidi ya 5 zilizoletwa nchini BURE

Huna akili wala Ushahidi na unavyoandika hapa bata wewe

Weka hapa misaada mikubwa kutoka Russia kama ulivyotuandikia hapa 🤣🤣🤣
Unaniita mama tena mimi? Kum la mama yako!
 
Misaada ipi iyo bro ya maana!?
Ukiniambia mimi China imeisaidia Afrika kuliko hata westerners.
Sio imejusaidia, hata sasahivi CHINA inatusaidia sana hasa katika Miundombinu...

Lakini Hii haiondoi Ukweli kuwa Wazungu wanatusaidia sana katika Areas nyingi sana
 
Sawa mkuu, tuna mitizamo tofauti kuhusu hili, labda sijui maana sahihi ya kusaidiwa. Mbona tunawasumbua na kuwapigia magoti kila kukicha hata kwa mambo ambayo kama tungekuwa serious tungayafanya wenyewe?. Kwa nini wanapata ujasiri wa kutukemea kwa mambo yetu ya ndani ya nchi na hawawezi kuthubutu kufanya hivyo kwa nchi zinazojitegemea.
Tatizo ni sisi au ni wao? kwamba bado tunahitaji kusaidiwa hata ujenzi wa vyoo mashuleni? bado tunahitaji kusaidiwa hata kupambana na Malaria na magonjwa mengine ya umaskini? Kwa nini hata huyo mchina aje tena kutusaidia reli ta TAZARA miaka takribani 50 baada ya kusaidia ujenzi wake. Kiongozi akisimama na kuwapiga mkwara hao watu anakuwa anaongea kwa dhati toka moyoni au anajifaragua tu. Ni lini wamewahi kuja kutuomba watusaidie hayo wanayotusaidia?
Kutoa msaada kaka haimaanishi uingilie sovereignty ya nchi husika.
Ndio maana China alijinasibu kama nchi ya biashara.
Mkikutana ni biashara sovereignty yako ni wewe na raia wako.
Huu mfumo wa kuomba tulishalemazwa toka nyuma kuwa wategemezi.
Kama serikali ingesimama tangia 1970s kabla ya SAP basi tusingefikia hapa.
Serikali haikusimama ikaunda sera mbovu za nchi mwisho sera zenyewe ndio zinatupeleka mpute hadi sasa.
Ila hiyo bado haitoshi wewe kuingilia mamlaka yangu husika.
Mipaka iwepo.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Nakupa challenge basi! Anzisha uzi wako kuelezea miradi ya kijamii na maendeleo tunayosaidiwa na Urusi na China alafu weka na ushahidi kama unaweza
Kwa sasa tunajadili huu ujinga uliopost hapa.

Hayo mengine yatafanyika baadae.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Misaada ipi iyo bro ya maana!?
Ukiniambia mimi China imeisaidia Afrika kuliko hata westerners.
Halafu nashindwa kukuelewa nawewe, hapo juu umekiri kuwa ni kweli wanatusaidia ila tunapaswa kusimama wenyewe....SASAHIVI unaukiza ni misaada gani hiyo ya maana....Damn🤣🤣🤣
 
Mradi upi wa maana US wametoa? Ukimwi walileta wao kwa faida yao hao mabwana zao. Naona unavyowatetea as if wewe ni Mmarekani. Wengine tumefanyakazi kwenye miradi yao na bado tuna diss pia.
Jamaa anafurahia misaada ya kondom na vyandarua vyenye dawa.
 
  • Kicheko
Reactions: UCD
Sio imejusaidia, hata sasahivi CHINA inatusaidia sana hasa katika Miundombinu...

Lakini Hii haiondoi Ukweli kuwa Wazungu wanatusaidia sana katika Areas nyingi sana
Wanyonyefu tu.
Tena misaada yao ya kutudumaza sio ya kutuinua.
Bora hata China misaada yao ya kutuinua.
Ila hawa wazungu wanatutengeneza tuwe dependent.
Na ubaya viongozi wetu ni mapunguani wa fikra na uthubutu basi tunaenda hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom