Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naivety of highest order!!!Nchi za Magharibi zinatusaidia kuanzia miradi ya Afya ikiwemo kupambana na magonjwa kama Ukimwi, Kifua kikuu, utapia mlo na mingine mingi.
Mkuu fuata mtiririko wangu na nini najaribu kukielezea.Halafu nashindwa kukuelewa nawewe, hapo juu umekiri kuwa ni kweli wanatusaidia ila tunapaswa kusimama wenyewe....SASAHIVI unaukiza ni misaada gani hiyo ya maana....Damn🤣🤣🤣
Mkuu kuuza na kununua sio msaada ni biashara.Wewe mama hujielewi, hata kutuuzia ni kutusaidia, Kwanini tununue kwao badala ya kudesign vyakwetu?
Na sio vyote tunanunua, nina Ushahidi na CT Scan Mashine zaidi ya 5 zilizoletwa nchini BURE
Huna akili wala Ushahidi na unavyoandika hapa bata wewe
Weka hapa misaada mikubwa kutoka Russia kama ulivyotuandikia hapa 🤣🤣🤣
Mkuu fuata mtiririko wangu na nini najaribu kukielezea.
Misaada ya hawa jamaa sio misaada ya maana ya kutuinua.
Tafadhali jaribu kuchimba nini najaribu kuelez
Unafikiri CHINA wanatusaidia bure? No free lunch in the WorldMkuu fuata mtiririko wangu na nini najaribu kukielezea.
Misaada ya hawa jamaa sio misaada ya maana ya kutuinua.
Tafadhali jaribu kuchimba nini najaribu kueleza.
Hilo linaeleweka ndio maana nikasema bora China kuliko Westerners.Unafikiri CH
Unafikiri CHINA wanatusaidia bure? No free lunch in the World
CHINA wanafanya yote hayo kwa kulipwa sio bure na kingine ni Wanatafuta soko la vifaa vyao
Elewa hilo
Mkuu mbona mwanzo ulikuwa unampigia mapambio ya sifa, lakini risasi iliyoelekezwa kwingine imekugusa umeamua kumgeuka mchana kweupe?!!Kwa kifupi Nchi za Magharibi zinatusaidia kuanzia miradi ya Afya ikiwemo kupambana na magonjwa kama Ukimwi, Kifua kikuu, utapia mlo na mingine mingi. Zinatusaidia Kuokoa uhai wa Mama wajawazito na watoto kwa kutoa fedha nyingi sana tunazotumia kuboresha hospitali zetu!
Nchi hizi zinatusaidia hadi kutujengea vituo vya kupokea kupoza na kusambaza umeme. Miradi mingi inayoendelea ni fedha wanazotoa wao kama misaada!
Zinatusaidia hadi kwenye miradi ya uzalishaji chakula ili tuwe na chakula cha kutosha.
Zinatusaidia kwenye masuala ya ya nishati mbadala bila kusahau miradi ya ujenzi wa shule, maji , hospitali na maeneo mengi.
Sijawahi ona mchina akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.
Sijawahi ona Urusi akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.
Kusema ukweli namuonea sana huruma aliyewapiga biti hawa watu. Wakati ndo wanawasaidia wajisifu kwa wananchi kuwa wanatoa huduma bora.
Tuwaombe tu hawa wakubwa wamuonee huruma wasimchukulie hatua kali huyu aliyewatishia. Maana wakimchukulia hatua tu twafaaaaa🙌View attachment 3100424View attachment 3100425View attachment 3100426View attachment 3100427View attachment 3100434View attachment 3100434View attachment 3100428View attachment 3100435
Ulijiuliza kwa nini....hatukununua mafuta ya bei ya chini kutoka kwake Russia wakati tuna uhaba wa bidhaa hiyo?Weka hapa misaada mikubwa kutoka Russia kama ulivyotuandikia hapa 🤣🤣🤣
Nimesha kuignore...so follow your own stepsYaani kumbe unaprovoke ili waniweke pembeni kwa kuniita mama!!? Umeshindwa hoja au?
Naamini angekua Magufuli tungenunua.Ulijiuliza kwa nini....hatukununua mafuta ya bei ya chini kutoka kwake Russia wakati tuna uhaba wa bidhaa hiyo?
Ulijiuliza kwa nini hatukuchukua mbolea ya bei nafuu/ bure wakati uhaba wa mbolea ulikuwa mkubwa?
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Kwanza futa ..hakuna kitu msaada kutoka kwa bepari!!!(Siyo beberu )!!! Eti concession loan, wakati unataka kupewa miaka mitano kuvuna bure bila Kodi kisa eti umewekeza....!!!
Ndiyo waweza kuniona Mimi wa Dii nusu...! Sibishi Wala nini! Kumbuka sijanunua ugomvi. Ha ha hahahaha aa!
Even myself! You are just shithole like any other shitholesNimesha kuignore...so follow your own steps
Sisi hatujaamka ndo maana tunachukua vitu kiurahisi bila kitafakari .Mkuu mtu akija kwako anachuma mchicha wa 500 anauza halafu baadae anakuletea 200 jioni hakusaidii, hao wanahitaji Africa zaidi kuliko Africa inavyowahitaji wao. Mentality zenu hizo ndio za Kutojitegemea ndio zinafanya kila siku bara lipo gizani.
Mmeshawasaidia vingapi? Orodhesha kama mtoa mada alivyoorodhesha kama wazungu wanatuhitaji sisi kuliko tunavyowahitaji wao.Mkuu mtu akija kwako anachuma mchicha wa 500 anauza halafu baadae anakuletea 200 jioni hakusaidii, hao wanahitaji Africa zaidi kuliko Africa inavyowahitaji wao. Mentality zenu hizo ndio za Kutojitegemea ndio zinafanya kila siku bara lipo gizani.
we jamaa unaanza kuchanganyikiwa si bure, unaambiwa X unatunga Y na kujijibuMahakama ya Tanzania ndiyo ingeamua Canada itoe au isitoe misaada kwa Tanzania?
Mahakama gani Tanzania? Hizi mahakama ambazo Rostam Aziz kasema zinafanya maamuzi kwa kupigiwa simu za amri kutoka juu?
Kwa nini unalilia misaada ya Canada badala ya kuwabana viongozi wako wajenge nchi isiyohitaji misaada ya Canada?
kwa hio Africa kulikuwa na watu sifuri kabla ya wazungu?Wazungu wasingetusaidia Waafrika tungeshakufa wengi sana, kwanza MALARIA kama Tropical Disease ingeshatumaliza wengi sana hasa Watoto wetu
Sio Malaria tu, hata magonjwa mengine hasa Viral Diseases
Tunajifanya kuwaponda wakati tunawategemea
Watu weusi wanashangaza sana
Unataka kunipangia cha kujibu sasa?we jamaa unaanza kuchanganyikiwa si bure, unaambiwa X unatunga Y na kujijibu
This misleading narrative that the West aids Africa must be corrected because according to a 2014 report, published by UK and African NGOs, Africa is said to lose about $192 billion every year in the form of debt repayments, multinational company profits, illicit financial flows, brain drain, illegal logging and fishing, etc, which is over six times what the continent receives in official aid, grants, loans, remittances, etc. It leaves room to wonder if foreign aid serves as a distraction for African leaders, possibly masking the fact that the continent loses more than it receives. All things considered, it becomes evident that Africa’s role in funding the West is not just a contemporary issue but an enduring one born from exploitation and resource control as seen in the Democratic Republic of Congo.Kwa kifupi Nchi za Magharibi zinatusaidia kuanzia miradi ya Afya ikiwemo kupambana na magonjwa kama Ukimwi, Kifua kikuu, utapia mlo na mingine mingi. Zinatusaidia Kuokoa uhai wa Mama wajawazito na watoto kwa kutoa fedha nyingi sana tunazotumia kuboresha hospitali zetu!
Nchi hizi zinatusaidia hadi kutujengea vituo vya kupokea kupoza na kusambaza umeme. Miradi mingi inayoendelea ni fedha wanazotoa wao kama misaada!
Zinatusaidia hadi kwenye miradi ya uzalishaji chakula ili tuwe na chakula cha kutosha.
Zinatusaidia kwenye masuala ya ya nishati mbadala bila kusahau miradi ya ujenzi wa shule, maji , hospitali na maeneo mengi.
Sijawahi ona mchina akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.
Sijawahi ona Urusi akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.
Kusema ukweli namuonea sana huruma aliyewapiga biti hawa watu. Wakati ndo wanawasaidia wajisifu kwa wananchi kuwa wanatoa huduma bora.
Tuwaombe tu hawa wakubwa wamuonee huruma wasimchukulie hatua kali huyu aliyewatishia. Maana wakimchukulia hatua tu twafaaaaa🙌View attachment 3100424View attachment 3100425View attachment 3100426View attachment 3100427View attachment 3100434View attachment 3100434View attachment 3100428View attachment 3100435












![The Politics of Nigeria’s Female-Only Festivals. #OnSite⚡Over the years, there has been a pleasant increase in the number of women-only spaces in Nigeria. However, the growing need for these spaces also points to a deep rooted culture of misogyny, discrimination and harassment.Swipe to learn more and read more about how Nigerian women are reclaiming joy and freedom in female-only festivals by clicking this image at the link in our bio._______________📝: Gabriella Opara (@glamogen)🔍: Chukwudi Ukonne, Yusuf Omotayo (@yusufomotayo), Wale Lawal (@wallelawal); Editors📷: 1) Images from Femme Fest ‘24. FEMMEFEST24 / IG. Collage by THE REPUBLIC2) A protester wearing face mask, carries a banner outside the Nigerian Police Headquarters in Abuja, Nigeria, during a demonstration to raise awareness about sexual violence in Nigeria on June 5, 2020 [File: Kola Sulaimon/AFP]3) Celeste Ojatula / Medium. The Politics of Nigeria’s Female-Only Festivals. #OnSite⚡Over the years, there has been a pleasant increase in the number of women-only spaces in Nigeria. However, the growing need for these spaces also points to a deep rooted culture of misogyny, discrimination and harassment.Swipe to learn more and read more about how Nigerian women are reclaiming joy and freedom in female-only festivals by clicking this image at the link in our bio._______________📝: Gabriella Opara (@glamogen)🔍: Chukwudi Ukonne, Yusuf Omotayo (@yusufomotayo), Wale Lawal (@wallelawal); Editors📷: 1) Images from Femme Fest ‘24. FEMMEFEST24 / IG. Collage by THE REPUBLIC2) A protester wearing face mask, carries a banner outside the Nigerian Police Headquarters in Abuja, Nigeria, during a demonstration to raise awareness about sexual violence in Nigeria on June 5, 2020 [File: Kola Sulaimon/AFP]3) Celeste Ojatula / Medium.](/proxy.php?image=https%3A%2F%2Frepublic.com.ng%2Fwp-content%2Fplugins%2Finstagram-feed%2Fimg%2Fplaceholder.png&hash=20f45c62b82ebaf18294d4c5dac7d408)

