Huu ni mwaka wa kusafiri sana kuifaidi dunia

Uliweka kitaalam sana 😀😀😀
Anyway ngoja nijichange nione kama nitafikia malengo.
 
Nauli ni bure?
 
Hawa watu ni wa ajabu sana.

Ndio maana wananchi wa nchi hii wataendelea kuburuzwa milele. Mijitu iko so negative

Inakera sana
Kiongozi hapo juu umemlaumu mdau kwa kutumia lugha isiyo ya kistaarabu.Hapa wewe unaita binadamu wenzio "mijitu" nilidhani wewe unayekosoa watumia lugha isiyioya kistaarabu,utakuwa mfano lakini naona kama sivyo.
 
Kiongozi hapo juu umemlaumu mdau kwa kutumia lugha isiyo ya kistaarabu.Hapa wewe unaita binadamu wenzio "mijitu" nilidhani wewe unayekosoa watumia lugha isiyioya kistaarabu,utakuwa mfano lakini naona kama sivyo.
Apologising
 
Jamaa atakuwa tapeli, subiri
 
Jamaa atakuwa tapeli, subiri

Hivi ni vitu vya kawaida na vinafanyika kila siku, kwanini uhisi ni utapeli? Pengine hujawahi kusafiri nje ya nchi ndio maana inakupa shida mkuu. Kama una swali, unahitaji ufafanuzi au maelekezo uliza tu.
 
Hawa watu ni wa ajabu sana.

Ndio maana wananchi wa nchi hii wataendelea kuburuzwa milele. Mijitu iko so negative

Inakera sana
Acha ujuaji, awaambie ukweli kwamba utalipa nauli kiasi kadhaa na hiyo laki 5 ndiyo kwa ajili ya matembezi n.k huko aendako.
 
Acha ujuaji, awaambie ukweli kwamba utalipa nauli kiasi kadhaa na hiyo laki 5 ndiyo kwa ajili ya matembezi n.k huko aendako.
Ametangaza bandiko lake vizuri kwamba service yake inafanyika ndani ya Istanbul. Utafikaje huko?? That's none of his/her business
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…