Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kuna hii video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii, huyo jamaa anasema wako katika hospitali maeneo ya kipawa majani ya chai.
Ambako yeye na wengine wanaumwa ugonjwa kama huo wametengwa, hawaruhusiwi kuonana na watu.
Kuna ka ujumbe kanapita kanasema tuache kupeana mikono hovyo, maana hujui nani ako nao.
Wizara ya Afya Tanzania huu ni ugonjwa gani?
Majibu ya Wizara ya Afya: News Alert: - Wizara ya Afya yathibitisha uwepo wa wagonjwa wawili wa Mpox nchini
Kuna hii video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii, huyo jamaa anasema wako katika hospitali maeneo ya kipawa majani ya chai.
Ambako yeye na wengine wanaumwa ugonjwa kama huo wametengwa, hawaruhusiwi kuonana na watu.
Kuna ka ujumbe kanapita kanasema tuache kupeana mikono hovyo, maana hujui nani ako nao.
Wizara ya Afya Tanzania huu ni ugonjwa gani?
Majibu ya Wizara ya Afya: News Alert: - Wizara ya Afya yathibitisha uwepo wa wagonjwa wawili wa Mpox nchini