DOKEZO Huu ni ugonjwa gani? Wizara ya Afya semeni kitu

DOKEZO Huu ni ugonjwa gani? Wizara ya Afya semeni kitu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
It was meant to be a joke kwa vile umeandika shoga. Ila kama imekukera nisamehe mama. Sio ushindani
Dah! Na mimi nimeegemea kwenye utani
Labda ningeeka emoj ya kucheka ingekua poa.
Naomba unisamehe.
 
Walifanya research na kugundua hamna ugonjwa huo, walirudi ikulu na vyombo vya habari vilirusha, jamaa alisema hamna ugonjwa husika.
Second. Nyie mnaosema huu ugo hwa unafichwa upo, ni wangapi, mmeshuhudia marburg maeneo yenu au watu kuchukuliwa.
Hata huyu story yake ni kwamba alifika hospitali akapewa kitanda sehemu ya kivyake na wagonjwa wengine na tunawaona hapo, na pia wagonjwa hao unaweza kuwaona ila kupitia dirishani, my people mbona mnapenda sana story muonekane mnajua.
Upo Tanzania?
Unataka kusema Rais Samia alidanganya kwa kutangaza rasmi akiwa Ikulu kuhusu kupatikana kwa wagonjwa wa Marburg hapa Tanzania?

Upo Kagera?
Njoo Kagera tukuonyeshe makaburi ya watu waliokufa kwa Marburg na kuzikwa kistyle zile za kiserikali-afya.

Upande wa pili, inakuwaje kusiwe na Marburg kule Kagera halafu zaidi ya wataalamu 100 wa magonjwa ya mlipuko kutoka wizara ya afya watie kambi kule Kagera zaidi ya mwezi mzima sasa, wakifanya kazi za afya huku wakiwa na vifaa vyote kinga dhidi ya Marburg, kutoa elimu ya kujikinga na kuweka matangazo ya kupambana na Marburg mkoa mzima.

Yote kwa yote hao kwenye video ni wagonjwa Mpox hapo Dar, watu wengi wanajua hilo na hata ndugu zao wameshaelezwa kimya kimya, ni video imetrend mitandaoni mapema sana, na wala hakuna ubishi kila kitu kinafanana na video zingine za wagonjwa wa Mpox hapa Afrika. Hakuna cha ajabu wala kuficha, iko wazi mnoo.
 
Upo Tanzania?
Unataka kusema Rais Samia alidanganya kwa kutangaza rasmi akiwa Ikulu kuhusu kupatikana kwa wagonjwa wa Marburg hapa Tanzania?

Upo Kagera?
Njoo Kagera tukuonyeshe makaburi ya watu waliokufa kwa Marburg na kuzikwa kistyle zile za kiserikali-afya.

Upande wa pili, inakuwaje kusiwe na Marburg kule Kagera halafu zaidi ya wataalamu 100 wa magonjwa ya mlipuko kutoka wizara ya afya watie kambi kule Kagera zaidi ya mwezi mzima sasa, wakifanya kazi za afya huku wakiwa na vifaa vyote kinga dhidi ya Marburg, kutoa elimu ya kujikinga na kuweka matangazo ya kupambana na Marburg mkoa mzima.

Yote kwa yote hao kwenye video ni wagonjwa Mpox hapo Dar, watu wengi wanajua hilo na hata ndugu zao wameshaelezwa kimya kimya, ni video imetrend mitandaoni mapema sana, na wala hakuna ubishi kila kitu kinafanana na video zingine za wagonjwa wa Mpox hapa Afrika. Hakuna cha ajabu wala kuficha, iko wazi mnoo.
Mwaka 2023 ndio kulikua na visa kadhaa na vifo pia hapo kagera. Ila mwaka jana ndio naongelea kwamba hakukuwa na visa hivo lakini story ilikuja juu.
Actually i don't want to write much today. Maana sisi watanzania tunapenda kuongea tu vitu. Tukideter spread watu wanataka watishwe, wanaona wanafichwa.
 
Kuna Video inatembea sana Mitandaoni, ikimuonesha Kijana mmoja mwenye ugonjwa asili ya Tetekuwanga ila hii ni Extra..

tunapenda kupata tamko na maelezo juu ya ugonjwa huu, kutoka kwa mamlaka husika, ili kusaidia watu Kujihadhari


 
Video hii inasambaa mitandaoni ikionesha mtu akiwa na dalili za ugonjwa wa Mpox akiwa karantini Hospitali ya VETA Kipawa, Majani ya Chai jijini Dar es Salaam

Wizara ya Afya bado haijatoa taarifa kwa umma, kama ilivyokuwa kwenye ugonjwa wa Marburg.

Na ikumbukwe Mpox ni ugonjwa ambao upo kundi la magonjwa ya mlipuko ambayo lazima yawe "REPORTED".

 
Cha muhimu watu wachukue tahadhari. Kusubiri matamko ya Serikali yatakukuta umeshachelewa.
 
Wakuu,

Kuna hii video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii, huyo jamaa anasema wako katika hospitali maeneo ya kipawa majani ya chai.

Ambako yeye na wengine wanaumwa ugonjwa kama huo wametengwa, hawaruhusiwi kuonana na watu.

Kuna ka ujumbe kanapita kanasema tuache kupeana mikono hovyo, maana hujui nani ako nao.

Wizara ya Afya Tanzania huu ni ugonjwa gani?

Hii ni ile monkey pox ya kule DRC mkuu. Kaa mbali usije ukaambukizwa.
 
Enzi za Ummy angeshakanusha uwepo wa wagonjwa kama hao nchini.
 
Wagonjwa wa mpox wanadaiwa kuwekwa karantini katika eneo la Kipawa, Majani ya Chai jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu ya video ya Auledy Mduda aliyopost kupitia instagram anaeleza kuwa wapo Karantini wakiendelea na Matibabu karibu na Chuo cha Veta.

 
Back
Top Bottom