Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
It's likely ikawa Mpox....Maana Chicken pox( Tete kuwanga ) hutokea mtu akiwa na umri mdogo, although Signs and physical appearance hizo follicles zinafanana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's likely ikawa Mpox....Maana Chicken pox( Tete kuwanga ) hutokea mtu akiwa na umri mdogo, although Signs and physical appearance hizo follicles zinafanana
Nice, & I miss u
Mbona jamaa hajaonyesha kujua wala kupotosha popoteWalifanya research na kugundua hamna ugonjwa huo, walirudi ikulu na vyombo vya habari vilirusha, jamaa alisema hamna ugonjwa husika.
Second. Nyie mnaosema huu ugo hwa unafichwa upo, ni wangapi, mmeshuhudia marburg maeneo yenu au watu kuchukuliwa.
Hata huyu story yake ni kwamba alifika hospitali akapewa kitanda sehemu ya kivyake na wagonjwa wengine na tunawaona hapo, na pia wagonjwa hao unaweza kuwaona ila kupitia dirishani, my people mbona mnapenda sana story muonekane mnajua.
Thank youNice, & I miss u
Ulikuwa wapi sikuoni jamvinThank you
Nilikua busy na maishaUlikuwa wapi sikuoni jamvin
Huyo itakuwa ana herpesHuku mtaani kwetu kuna shoga aliumwa huu ugonjwa, madaktari walikuja kumchukua wamejifunika mwili mzima na walipulizia nyumba yake dawa.
Ulimuona? Unanibishia mimi niliyemuona?Huyo itakuwa ana herpes
It was meant to be a joke kwa vile umeandika shoga. Ila kama imekukera nisamehe mama. Sio ushindaniUlimuona? Unanibishia mimi niliyemuona?
Tete zinawapata hata watu wazima mkuu.It's likely ikawa Mpox....Maana Chicken pox( Tete kuwanga ) hutokea mtu akiwa na umri mdogo, although Signs and physical appearance hizo follicles zinafanana
Oooh so unajipambania?Nilikua busy na maisha
Serikali kupitia Wizara ya Afya inapaswa ijitokeze mapema na kulitolea Ufafanuzi wa kina kabisa kuhusiana na suala hiliWakuu,
Kuna hii video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii, huyo jamaa anasema wako katika hospitali maeneo ya kipawa majani ya chai.
Ambako yeye na wengine wanaumwa ugonjwa kama huo wametengwa, hawaruhusiwi kuonana na watu.
Kuna ka ujumbe kanapita kanasema tuache kupeana mikono hovyo, maana hujui nani ako nao.
Wizara ya Afya Tanzania huu ni ugonjwa gani?
View attachment 3264801
Okay, But kwa maelezo ya mleta Uzi haumwi mwenyewe, kasema " na wenzake " ...inaweza kuwa wawili au zaidi, Kwahiyo sidhani kama inaweza kuwa Chickenpox,,, it's obvious ni Mpox TUTete zinawapata hata watu wazima mkuu.
Yeah, possible.Okay, But kwa maelezo ya mleta Uzi haumwi mwenyewe, kasema " na wenzake " ...inaweza kuwa wawili au zaidi, Kwahiyo sidhani kama inaweza kuwa Chickenpox,,, it's obvious ni Mpox TU
Kipawa ya Dar hii, maana yake mzigo Uko Mjini tayariWakuu,
Kuna hii video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii, huyo jamaa anasema wako katika hospitali maeneo ya kipawa majani ya chai.
Ambako yeye na wengine wanaumwa ugonjwa kama huo wametengwa, hawaruhusiwi kuonana na watu.
Kuna ka ujumbe kanapita kanasema tuache kupeana mikono hovyo, maana hujui nani ako nao.
Wizara ya Afya Tanzania huu ni ugonjwa gani?
View attachment 3264801