Huu ni Usaliti kwa Taifa, Wahariri jitazamemi mara mbili

Huu ni Usaliti kwa Taifa, Wahariri jitazamemi mara mbili

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,005
Reaction score
20,425
Hivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?

Enyi Wahariri ni kweli hamjui ama kulikuwa na maelekezo ya kuzuia baadhi ya maswali? Hamjui kuwa Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano, "Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"

Je kuwepo na Wabunge wasio na vyama vya siasa Bungeni wahariri hili hamkulioni ama hamkukumbuka?

Wahariri wa Tanzania mkashindwa kuuliza Watu wasuojulikana wameshughulikiwaje? Mkashindwa kuuliza aliko Azory Gwanda, Ben Saanane, na wengine? Mkashindwa kuuliza nani alimpiga risasi Tundu Lussu?

Wahariri wa Tanzania Mkashindwa kuuliza kauli na msimamo wa Rais kuhusu Watanzania walioikimbia nchi kunusuru maisha yao katika utawala wa Magufuli mfano Lissu, Ngurumo, Lema nk?

Nafasi mliyoipata jana ilikuwa ni ya dhahabu na umma uliwategemea kuondoa mtanziko wa miaka 5 iliyopita, Mmeipoteza na mmesaliti umma. Umma hautapata tena nafasi ya aina hii. Umma ulitegemea uondoe zile dhana tata juu ya wasiojulikana, juu ya wabunge tata, juu ya mambo mengi yasiyo na majibu. Lakini mategemeo yametegea.

Wasaliti wakubwa nyie! Hamfai Msikitini, Hamfai Kanisani.... Wala kwenye dini yangu ya Mizimu hamfai.

Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.
 
Hivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?

Enyi Wahariri ni kweli hamjui ama kulikuwa na maelekezo ya kuzuia baadhi ya maswali? Hamjui kuwa Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano, "Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"

Je kuwepo na Wabunge wasio na vyama vya siasa Bungeni wahariri hili hamkulioni ama hamkukumbuka?

Wahariri wa Tanzania mkashindwa kuuliza Watu wasuojulikana wameshughulikiwaje? Mkashindwa kuuliza aliko Azory Gwanda, Ben Saanane, na wengine? Mkashindwa kuuliza nani alimpiga risasi Tundu Lussu?

Wahariri wa Tanzania Mkashindwa kuuliza kauli na msimamo wa Rais kuhusu Watanzania walioikimbia nchi kunusuru maisha yao katika utawala wa Magufuli mfano Lissu, Ngurumo, Lema nk?

Nafasi mliyoipata jana ilikuwa ni ya dhahabu na umma uliwategemea kuondoa mtanziko wa miaka 5 iliyopita, Mmeipoteza na mmesaliti umma. Umma hautapata tena nafasi ya aina hii. Umma ulitegemea uondoe zile dhana tata juu ya wasiojulikana, juu ya wabunge tata, juu ya mambo mengi yasiyo na majibu. Lakini mategemeo yametegea.

Wasaliti wakubwa nyie! Hamfai Msikitini, Hamfai Kanisani.... Wala kwenye dini yangu ya Mizimu hamfai.

Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.
Kabla ya mkutano waliahidiwa kulipwa billion 6.7,wewe ulitegemea waulize hilo swali?Tatizo la upinzani mmelala Sana, mlishindwa kuweka mamluki humo ili waulize maswali ya maana?
 
Kabla ya mkutano waliahidiwa kulipwa billion 6.7,wewe ulitegemea waulize hilo swali?Tatizo la upinzani mmelala Sana, mlishindwa kuweka mamluki humo ili waulize maswali ya maana?
Wamelela sana, pale CHADEMA mbowe aligeuze MKUKUTA, sikwambii kuhusu hizo nafasi za viti maalum pamoja na kuwa wanazilalamikia lakini ndani yake Rushwa ya ngono na ubaguzi vimetamalaki
 
Hawa jamaa wanalazimisha kupewa hadhi ya mhimili wa nne, lakini ndo taaluma nadhani inyoongoza kwa kuwa na watu wenye uwezo mdogo wa akili, inayoongoza kwakuwa na watu wanaounga unga, na ndo kada inayoongoza kwa kutumika kwa maslahi ya watu wengine kotokana na njaa.
Jana Kuna watu walikuwa wanauliza maswali unaona kabisa hawa wameandikiwa maswali na wameagizwa waulize hivo.
 
Hivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?

Enyi Wahariri ni kweli hamjui ama kulikuwa na maelekezo ya kuzuia baadhi ya maswali? Hamjui kuwa Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano, "Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"

Je kuwepo na Wabunge wasio na vyama vya siasa Bungeni wahariri hili hamkulioni ama hamkukumbuka?

Wahariri wa Tanzania mkashindwa kuuliza Watu wasuojulikana wameshughulikiwaje? Mkashindwa kuuliza aliko Azory Gwanda, Ben Saanane, na wengine? Mkashindwa kuuliza nani alimpiga risasi Tundu Lussu?

Wahariri wa Tanzania Mkashindwa kuuliza kauli na msimamo wa Rais kuhusu Watanzania walioikimbia nchi kunusuru maisha yao katika utawala wa Magufuli mfano Lissu, Ngurumo, Lema nk?

Nafasi mliyoipata jana ilikuwa ni ya dhahabu na umma uliwategemea kuondoa mtanziko wa miaka 5 iliyopita, Mmeipoteza na mmesaliti umma. Umma hautapata tena nafasi ya aina hii. Umma ulitegemea uondoe zile dhana tata juu ya wasiojulikana, juu ya wabunge tata, juu ya mambo mengi yasiyo na majibu. Lakini mategemeo yametegea.

Wasaliti wakubwa nyie! Hamfai Msikitini, Hamfai Kanisani.... Wala kwenye dini yangu ya Mizimu hamfai.

Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.
mkutano huu ulijulikana mapema utafanyika, chadema mulikuwa na jukumu moja tu la kimkakati kupenyeza watu wenu wa kuwasemea na kuuliza hayo maswali , na hii ingewaongezea credit chadema kwa namna moja
 
Hivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?

Enyi Wahariri ni kweli hamjui ama kulikuwa na maelekezo ya kuzuia baadhi ya maswali? Hamjui kuwa Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano, "Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"

Je kuwepo na Wabunge wasio na vyama vya siasa Bungeni wahariri hili hamkulioni ama hamkukumbuka?

Wahariri wa Tanzania mkashindwa kuuliza Watu wasuojulikana wameshughulikiwaje? Mkashindwa kuuliza aliko Azory Gwanda, Ben Saanane, na wengine? Mkashindwa kuuliza nani alimpiga risasi Tundu Lussu?

Wahariri wa Tanzania Mkashindwa kuuliza kauli na msimamo wa Rais kuhusu Watanzania walioikimbia nchi kunusuru maisha yao katika utawala wa Magufuli mfano Lissu, Ngurumo, Lema nk?

Nafasi mliyoipata jana ilikuwa ni ya dhahabu na umma uliwategemea kuondoa mtanziko wa miaka 5 iliyopita, Mmeipoteza na mmesaliti umma. Umma hautapata tena nafasi ya aina hii. Umma ulitegemea uondoe zile dhana tata juu ya wasiojulikana, juu ya wabunge tata, juu ya mambo mengi yasiyo na majibu. Lakini mategemeo yametegea.

Wasaliti wakubwa nyie! Hamfai Msikitini, Hamfai Kanisani.... Wala kwenye dini yangu ya Mizimu hamfai.

Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.

Walikuwa kama vile kufika ikulu kuliwachanganya. Walikuwa kama wamenyeshewa mvua. Kama hawakujiandaa. Kwa kweli wazee wa Dar na Mama walikuwa na nafuu!

Tuseme kweli wenyewe hawaoni hayo?

Kweli njaa ni mwana malegeza.
 
Hivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?

Enyi Wahariri ni kweli hamjui ama kulikuwa na maelekezo ya kuzuia baadhi ya maswali? Hamjui kuwa Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano, "Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"

Je kuwepo na Wabunge wasio na vyama vya siasa Bungeni wahariri hili hamkulioni ama hamkukumbuka?

Wahariri wa Tanzania mkashindwa kuuliza Watu wasuojulikana wameshughulikiwaje? Mkashindwa kuuliza aliko Azory Gwanda, Ben Saanane, na wengine? Mkashindwa kuuliza nani alimpiga risasi Tundu Lussu?

Wahariri wa Tanzania Mkashindwa kuuliza kauli na msimamo wa Rais kuhusu Watanzania walioikimbia nchi kunusuru maisha yao katika utawala wa Magufuli mfano Lissu, Ngurumo, Lema nk?

Nafasi mliyoipata jana ilikuwa ni ya dhahabu na umma uliwategemea kuondoa mtanziko wa miaka 5 iliyopita, Mmeipoteza na mmesaliti umma. Umma hautapata tena nafasi ya aina hii. Umma ulitegemea uondoe zile dhana tata juu ya wasiojulikana, juu ya wabunge tata, juu ya mambo mengi yasiyo na majibu. Lakini mategemeo yametegea.

Wasaliti wakubwa nyie! Hamfai Msikitini, Hamfai Kanisani.... Wala kwenye dini yangu ya Mizimu hamfai.

Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.

We jamaa unazingua sana
Habari za azori na ben kwa rais ndio police?

Ww ukiuliza swali hilo kwa rais na mwingine aje kumuuliza rais mifugo yake imepotea?

Kama ni kweli unauchungu na hao watu nenda police ukaulize utapata majibu

Hao wabunge si wako chini ya mhimili mwingine? Ishu simple nenda kwa spika au muulize spika kwanini kwenye bunge lake wapo hao wabunge yy ana majibu sahihi
 
Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.
Hayo yote uliyoyauliza mbona yanatengana sana na yale walyokuwa wakiyataka wapewe?

Mtu atauliza vipi maswali kama hayo unayowalaumu kushindwa kuyauliza, halafu hapo hapo aombe RUZUKU ya corona?

Nchi hii ni vigumu sana kwa sasa hivi kumtambua mtu anayesimamia chochote kingine mbali ya maslahi yake binafsi.
 
Kabla ya mkutano waliahidiwa kulipwa billion 6.7,wewe ulitegemea waulize hilo swali?Tatizo la upinzani mmelala Sana, mlishindwa kuweka mamluki humo ili waulize maswali ya maana?

Wapinzani wa tanzania ni watu wa kutaka huruma na kujionesha kama wanaonewa

Na ndio maana wanadai vitu ambavyo wanajua haviwezekani
 
We jamaa unazingua sana
Habari za azori na ben kwa rais ndio police?

Ww ukiuliza swali hilo kwa rais na mwingine aje kumuuliza rais mifugo yake imepotea?

Kama ni kweli unauchungu na hao watu nenda police ukaulize utapata majibu

Hao wabunge si wako chini ya mhimili mwingine? Ishu simple nenda kwa spika au muulize spika kwanini kwenye bunge lake wapo hao wabunge yy ana majibu sahihi
Inawezekana kabisa na wewe ulikuwa ni mmoja wa hao wahariri wasiojua maana ya kazi yao ni nini.
 
Back
Top Bottom