kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,466
- 4,916
Ni hatari mkuu.Watu waliofeli shule wengi wapo kwenye kundi hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatari mkuu.Watu waliofeli shule wengi wapo kwenye kundi hili
Wahariri wengi ni wachumia tumboHivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?
Enyi Wahariri ni kweli hamjui ama kulikuwa na maelekezo ya kuzuia baadhi ya maswali? Hamjui kuwa Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano, "Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"
Je kuwepo na Wabunge wasio na vyama vya siasa Bungeni wahariri hili hamkulioni ama hamkukumbuka?
Wahariri wa Tanzania mkashindwa kuuliza Watu wasuojulikana wameshughulikiwaje? Mkashindwa kuuliza aliko Azory Gwanda, Ben Saanane, na wengine? Mkashindwa kuuliza nani alimpiga risasi Tundu Lussu?
Wahariri wa Tanzania Mkashindwa kuuliza kauli na msimamo wa Rais kuhusu Watanzania walioikimbia nchi kunusuru maisha yao katika utawala wa Magufuli mfano Lissu, Ngurumo, Lema nk?
Nafasi mliyoipata jana ilikuwa ni ya dhahabu na umma uliwategemea kuondoa mtanziko wa miaka 5 iliyopita, Mmeipoteza na mmesaliti umma. Umma hautapata tena nafasi ya aina hii. Umma ulitegemea uondoe zile dhana tata juu ya wasiojulikana, juu ya wabunge tata, juu ya mambo mengi yasiyo na majibu. Lakini mategemeo yametegea.
Wasaliti wakubwa nyie! Hamfai Msikitini, Hamfai Kanisani.... Wala kwenye dini yangu ya Mizimu hamfai.
Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.
Alikuwa rais wa wapi na alimnyoosha nani?Baregu yuko wapi?
"Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"We kweli Huna Akili Kila Siku mnapiga kelele Rais aheshim katiba leo unataka Rais aingilie Mhimili wa Bunge kisa Mna Wivu na Wabunge wanawake..
Hujui Bunge ni Mhimili unaojtegemea?..
Kwann Rais aingilie mhimili mwengne?..
Mmelalamika sana Rais kainglia mahkama leo Rais wetu Mpendwa kaacha kila Mhimili Peke ake eti Mnataka awafukuze wabunge kwan wabunge wa Ccm wale?....
Kama hawajafata sheria Kwann msiende mahkaman haki itendeke kutupgia kelele humu kisa wivu tu Hatutaki..
Alikuwa kiongozi wenu majuha, akawanyoosha.Alikuwa rais wa wapi na alimnyoosha nani?
Walikuwa wanauza sura kutafuta nafasi ya kuwemo kwenye mkeka wa Ukurugenzi wa Halmashauri.Hivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?
Enyi Wahariri ni kweli hamjui ama kulikuwa na maelekezo ya kuzuia baadhi ya maswali? Hamjui kuwa Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano, "Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"
Je kuwepo na Wabunge wasio na vyama vya siasa Bungeni wahariri hili hamkulioni ama hamkukumbuka?
Wahariri wa Tanzania mkashindwa kuuliza Watu wasuojulikana wameshughulikiwaje? Mkashindwa kuuliza aliko Azory Gwanda, Ben Saanane, na wengine? Mkashindwa kuuliza nani alimpiga risasi Tundu Lussu?
Wahariri wa Tanzania Mkashindwa kuuliza kauli na msimamo wa Rais kuhusu Watanzania walioikimbia nchi kunusuru maisha yao katika utawala wa Magufuli mfano Lissu, Ngurumo, Lema nk?
Nafasi mliyoipata jana ilikuwa ni ya dhahabu na umma uliwategemea kuondoa mtanziko wa miaka 5 iliyopita, Mmeipoteza na mmesaliti umma. Umma hautapata tena nafasi ya aina hii. Umma ulitegemea uondoe zile dhana tata juu ya wasiojulikana, juu ya wabunge tata, juu ya mambo mengi yasiyo na majibu. Lakini mategemeo yametegea.
Wasaliti wakubwa nyie! Hamfai Msikitini, Hamfai Kanisani.... Wala kwenye dini yangu ya Mizimu hamfai.
Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.
Makanjanja, ndio maana magazeti yao sinunui tena, wakajaladie madaftari ya watoto wao ...Hivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?
Enyi Wahariri ni kweli hamjui ama kulikuwa na maelekezo ya kuzuia baadhi ya maswali? Hamjui kuwa Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano, "Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"
Je kuwepo na Wabunge wasio na vyama vya siasa Bungeni wahariri hili hamkulioni ama hamkukumbuka?
Wahariri wa Tanzania mkashindwa kuuliza Watu wasuojulikana wameshughulikiwaje? Mkashindwa kuuliza aliko Azory Gwanda, Ben Saanane, na wengine? Mkashindwa kuuliza nani alimpiga risasi Tundu Lussu?
Wahariri wa Tanzania Mkashindwa kuuliza kauli na msimamo wa Rais kuhusu Watanzania walioikimbia nchi kunusuru maisha yao katika utawala wa Magufuli mfano Lissu, Ngurumo, Lema nk?
Nafasi mliyoipata jana ilikuwa ni ya dhahabu na umma uliwategemea kuondoa mtanziko wa miaka 5 iliyopita, Mmeipoteza na mmesaliti umma. Umma hautapata tena nafasi ya aina hii. Umma ulitegemea uondoe zile dhana tata juu ya wasiojulikana, juu ya wabunge tata, juu ya mambo mengi yasiyo na majibu. Lakini mategemeo yametegea.
Wasaliti wakubwa nyie! Hamfai Msikitini, Hamfai Kanisani.... Wala kwenye dini yangu ya Mizimu hamfai.
Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.
Wahariri wana matatizo na mahitaji yao.Hivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?
Enyi Wahariri ni kweli hamjui ama kulikuwa na maelekezo ya kuzuia baadhi ya maswali? Hamjui kuwa Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano, "Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"
Je kuwepo na Wabunge wasio na vyama vya siasa Bungeni wahariri hili hamkulioni ama hamkukumbuka?
Wahariri wa Tanzania mkashindwa kuuliza Watu wasuojulikana wameshughulikiwaje? Mkashindwa kuuliza aliko Azory Gwanda, Ben Saanane, na wengine? Mkashindwa kuuliza nani alimpiga risasi Tundu Lussu?
Wahariri wa Tanzania Mkashindwa kuuliza kauli na msimamo wa Rais kuhusu Watanzania walioikimbia nchi kunusuru maisha yao katika utawala wa Magufuli mfano Lissu, Ngurumo, Lema nk?
Nafasi mliyoipata jana ilikuwa ni ya dhahabu na umma uliwategemea kuondoa mtanziko wa miaka 5 iliyopita, Mmeipoteza na mmesaliti umma. Umma hautapata tena nafasi ya aina hii. Umma ulitegemea uondoe zile dhana tata juu ya wasiojulikana, juu ya wabunge tata, juu ya mambo mengi yasiyo na majibu. Lakini mategemeo yametegea.
Wasaliti wakubwa nyie! Hamfai Msikitini, Hamfai Kanisani.... Wala kwenye dini yangu ya Mizimu hamfai.
Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.
Pole sana jitahidi uwe mhariri ili siku wahariri wakiitwa uyaulize hayo maswali. Usilazimishe mawazo yafananeHivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?
Enyi Wahariri ni kweli hamjui ama kulikuwa na maelekezo ya kuzuia baadhi ya maswali? Hamjui kuwa Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano, "Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"
Je kuwepo na Wabunge wasio na vyama vya siasa Bungeni wahariri hili hamkulioni ama hamkukumbuka?
Wahariri wa Tanzania mkashindwa kuuliza Watu wasuojulikana wameshughulikiwaje? Mkashindwa kuuliza aliko Azory Gwanda, Ben Saanane, na wengine? Mkashindwa kuuliza nani alimpiga risasi Tundu Lussu?
Wahariri wa Tanzania Mkashindwa kuuliza kauli na msimamo wa Rais kuhusu Watanzania walioikimbia nchi kunusuru maisha yao katika utawala wa Magufuli mfano Lissu, Ngurumo, Lema nk?
Nafasi mliyoipata jana ilikuwa ni ya dhahabu na umma uliwategemea kuondoa mtanziko wa miaka 5 iliyopita, Mmeipoteza na mmesaliti umma. Umma hautapata tena nafasi ya aina hii. Umma ulitegemea uondoe zile dhana tata juu ya wasiojulikana, juu ya wabunge tata, juu ya mambo mengi yasiyo na majibu. Lakini mategemeo yametegea.
Wasaliti wakubwa nyie! Hamfai Msikitini, Hamfai Kanisani.... Wala kwenye dini yangu ya Mizimu hamfai.
Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.
Mwanangu una hoja hapa tena kubwa tu. Hata hivyo, siku hizi watu walio wengi wanafikiri kwa matumbo badala ya vichwa. Hata hivyo, nani angejibu maswali yako kwa ufasaha wakati akina Bashite wanaendelea kutukoga?Hivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?
Enyi Wahariri ni kweli hamjui ama kulikuwa na maelekezo ya kuzuia baadhi ya maswali? Hamjui kuwa Kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano, "Msimamizi Mkuu wa Katiba na Sheria za nchi, ni Serikali. Mamlaka yote ya Serikali yapo mikononi mwa Rais. Hivyo, Msimamizi mkuu wa Utii wa Katiba na sheria ni Rais. ibara za 33 na 34 zipo wazi. Rais anawajibu kulinda sheria na katiba zisivunjwe na mhimili wa Bunge"
Je kuwepo na Wabunge wasio na vyama vya siasa Bungeni wahariri hili hamkulioni ama hamkukumbuka?
Wahariri wa Tanzania mkashindwa kuuliza Watu wasuojulikana wameshughulikiwaje? Mkashindwa kuuliza aliko Azory Gwanda, Ben Saanane, na wengine? Mkashindwa kuuliza nani alimpiga risasi Tundu Lussu?
Wahariri wa Tanzania Mkashindwa kuuliza kauli na msimamo wa Rais kuhusu Watanzania walioikimbia nchi kunusuru maisha yao katika utawala wa Magufuli mfano Lissu, Ngurumo, Lema nk?
Nafasi mliyoipata jana ilikuwa ni ya dhahabu na umma uliwategemea kuondoa mtanziko wa miaka 5 iliyopita, Mmeipoteza na mmesaliti umma. Umma hautapata tena nafasi ya aina hii. Umma ulitegemea uondoe zile dhana tata juu ya wasiojulikana, juu ya wabunge tata, juu ya mambo mengi yasiyo na majibu. Lakini mategemeo yametegea.
Wasaliti wakubwa nyie! Hamfai Msikitini, Hamfai Kanisani.... Wala kwenye dini yangu ya Mizimu hamfai.
Au juice za Ikulu ziliwasahaulisha? Ok kivuli cha Dikteta Magufuli bado kimetanda baadhi ya maeneo.
Hivi CHADEMA ni chombo cha habari? Rais aliwaalika wahariri/Waikiki wa vyombo vya habari, sasa hapo CHADEMA wangeingiaje?Forgery?mkutano huu ulijulikana mapema utafanyika, chadema mulikuwa na jukumu moja tu la kimkakati kupenyeza watu wenu wa kuwasemea na kuuliza hayo maswali , na hii ingewaongezea credit chadema kwa namna moja
Ndugu yangu wee, waandishi wa habari hapa Tanzania wako hoi tumboni mpk kichwani wamepungukiwa.Hivi kweli wahariri zaidi ya 50 mliohudhuria mkutano wa Rais Samia suluhu Hassan mmeshindwa kuuliza maswali mazito yanayotesa taifa kwa miaka mitano mizima ambayo mwenye majibu ni Rais wa Nchi ya Tanzania? Mfano hata hili la kikatiba juu ya Wabunge waliopo bungeni bila kuwa na chama cha siasa mmeshindwa kuuliza?
Duh! Tusubiri tutaona mengi,ni suala la muda tu.CHADEMA ni mashujaa wazuri wa kudai katiba mpya ya nchi, lakini ni waoga wa kudai mabariko kwa katiba inayopa Mbowe umilele, tena ukigusia hilo wanatamani wakutafune mzima mzima.
Hawana tofauti na wafuasi wa hayati, Mbowe ni baba, hakuna kama Mbowe, Mbowe alishushwa na Mungu, utasikia mwamba tuvushe, oooh mwamba tuvushe, hawako tayari hata kuuliza ofisi makao makuu vipi haijengwi na ukigusa hilo utaporomoshewa matusi.
MWAMBA TUVUSHE.
anakumbuka kila kitu.
subirini anyanyue uchumi sasa[emoji16][emoji16].Hajasema hivyo.Yeye sio jiwe
Maslahi mapana ya taifa ni kuuliza kuhusu Tundu Lissu???Mkuu Yericko, you have nailed it. Unapopata fursa adimu ya kuitumia, ni wakati pekee ambao unaweza kuuthibitishia umma wa Watanzania kuwa wewe ni mzalendo wa kweli kwa kujali maslahi mapana ya taifa, na wala siyo kujipendekeza!