hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Inawezekana kabisa na wewe ulikuwa ni mmoja wa hao wahariri wasiojua maana ya kazi yao ni nini.
Kazi yao ni kuuliza vitu vya kuwafurahisha Chadema, utadhan Tanzania mzima inataka kujua Habari za chadema tu na sio mambo mengine