Inawezekana kabisa na wewe ulikuwa ni mmoja wa hao wahariri wasiojua maana ya kazi yao ni nini.
Hayo mambo ya CHADEMA umeyaona wapi mkuu? Katiba ni jambo la CHADEMA, au nawe tukuwekee lebo ya uchizi?Kazi yao ni kuuliza vitu vya kuwafurahisha Chadema, utadhan Tanzania mzima inataka kujua Habari za chadema tu na sio mambo mengine
Ulishawahi kutoa mzigo kwa ajili ya viti maalumu dada!!?Wamelela sana, pale CHADEMA mbowe aligeuze MKUKUTA, sikwambii kuhusu hizo nafasi za viti maalum pamoja na kuwa wanazilalamikia lakini ndani yake Rushwa ya ngono na ubaguzi vimetamalaki
Kujua "wasiojulikana" wamechukuliwa hatua gani itawafurahisha Chadema?Kazi yao ni kuuliza vitu vya kuwafurahisha Chadema, utadhan Tanzania mzima inataka kujua Habari za chadema tu na sio mambo mengine
Njaa mbaya sana. Mtu yeyote ukitaka kumtawala mtie njaa atakuanuduWalikuwa kama vile kufika ikulu kuliwachanganya. Walikuwa kama wamenyeshewa mvua. Kama hawakujiandaa. Kwa kweli wazee wa Dar na Mama walikuwa na nafuu!
Tuseme kweli wenyewe hawaoni hayo?
Kweli njaa ni mwana malegeza.
Baregu yuko wapi?Yuko wapi sasahivi?
Alitunyoosha ila sasa hivi ananyooshwa na minyoo huko kuzimu.Tupo awamu ya sita Bado mnaweweseka na awamu ya tano.
Hamtamsahau yule Mzee,
Alijua kuwanyoosha.
Baregu usimlinganishe na mijitu ya hovyoBaregu yuko wapi?
kwani unaogopa minyoo!!!hata hutaisikia.Alitunyoosha ila sasa hivi ananyooshwa na minyoo huko kuzimu.
Watu waliofeli shule wengi wapo kwenye kundi hiliHawa jamaa wanalazimisha kupewa hadhi ya mhimili wa nne, lakini ndo taaluma nadhani inyoongoza kwa kuwa na watu wenye uwezo mdogo wa akili, inayoongoza kwakuwa na watu wanaounga unga, na ndo kada inayoongoza kwa kutumika kwa maslahi ya watu wengine kotokana na njaa.
Jana Kuna watu walikuwa wanauliza maswali unaona kabisa hawa wameandikiwa maswali na wameagizwa waulize hivo.
Kwani azory si alikuwa mqwnzao hata yeye wameshindwa kumtetea?Wapinzani wa tanzania ni watu wa kutaka huruma na kujionesha kama wanaonewa
Na ndio maana wanadai vitu ambavyo wanajua haviwezekani
... anaupiga mwingi...tuliaMkuu Yericko, you have nailed it. Unapopata fursa adimu ya kuitumia, ni wakati pekee ambao unaweza kuuthibitishia umma wa Watanzania kuwa wewe ni mzalendo wa kweli kwa kujali maslahi mapana ya taifa, na wala siyo kujipendekeza!