Huu ni usanii gani, usanii kutembea nusu utupu?

Huu ni usanii gani, usanii kutembea nusu utupu?

Binafsi namshukuru Mungu siwafuatilii "Wasanii " wa Tanzania!

Hivyo watembee uchi au wasitembee watajuana wenyewe!

Naonekanaga mshamba lakini binafsi naenjoy sana nyimbo za Wasanii wa Marekani hasa za kizazi Cha 2000,Wasanii wa Tanzania angalau nasikilizaga nyimbo za zamani!
 
Maybe its due to global warming effects! ,Mji wa Dar ni joto kali
 
Ushamba na Umalaya ndiyo vinawafanya wawe hivyo bila kusahau ulimbukeni unaotokana na Umaskini.
 
Ona hawa
d73f76e5-5467-4f58-9031-130deee73756.jpeg
 
Duuh nimefungua mbio mbio ili kuona huo uchi ila nikaambulia patupu🤗
Bwana wee mie mwenyewe nikajua hapa nitaona mrembo nda i ya bikini na butterfly bra kumbe demu mwenyewe kavaa full kabisa
 
Sio mpenz wa English figure🥶Hana madhara huyo nilidhan ni madubwasha ya mbeya
 
Back
Top Bottom