milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Lugumi karibu huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugumi karibu huku
Kwa muktadha wangu bikini na bra👙 bado sio uchi bwashee😆Bwana wee mie mwenyewe nikajua hapa nitaona mrembo nda i ya bikini na butterfly bra kumbe demu mwenyewe kavaa full kabisa
Mbona yuko decent sana, huo uchi uliouna uko wapi???View attachment 3198530
Naambiwa huyu ni msanii wa bongo fleva. Sasa hivi kutembea uchi ni usanii gani?
Hana wazazi au ndugu huyu msanii? Unaweka wazi machupi yako ndio usanii?
Nyie mnaona raha mtu kutembea uchi?Mbona yuko decent sana, huo uchi uliouna uko wapi???
mi sijaona uchi, yuko decently covered, in fact yuko overdressedNyie mnaona raha mtu kutembea uchi?
Fvck this bitchView attachment 3198530
Naambiwa huyu ni msanii wa bongo fleva. Sasa hivi kutembea uchi ni usanii gani?
Hana wazazi au ndugu huyu msanii? Unaweka wazi machupi yako ndio usanii?
Unge vunja redio kwa hasirani fashion za vijana mkuu
sema usanii una mambo ya ajabu sana
juzi nimesikia wimbo unasema; "jamani mbona kunanuka nani kajamba?"
nilikasirika sana
wanafanya mambo ya ajabu ili waongelewe
Mbona uchi haonekaniView attachment 3198530
Naambiwa huyu ni msanii wa bongo fleva. Sasa hivi kutembea uchi ni usanii gani?
Hana wazazi au ndugu huyu msanii? Unaweka wazi machupi yako ndio usanii?
Bro ana itwa yammi li kitovu😆😆Ni nani huyo?? Yupo kama panga
Dah ntakua nje ya dunia hata simjui, sasa anatembea na suruali hajafunga wala hips hana si itadondoka....Bro ana itwa yammi li kitovu😆😆
Maadili yapo kwenye mstari mdogo mno, eti hao ni mama za watu.
Wanawake hampendani 😂😂😂Ni nani huyo?? Yupo kama panga
Bro nili enda club mwanza, aisee nili ondoka maana watu wako uchi😂😆Dah ntakua nje ya dunia hata simjui, sasa anatembea na suruali hajafunga wala hips hana si itadondoka....
Sasa mwasibu kwani ana msambwanda??? Yupo kama panga bana....Wanawake hampendani 😂😂😂
Vitu vyako hivi Mshana
Ana itwa yammi li kitovu 😆Ni nani huyo?
Mnakuza mambo bana, mi nlijua nikifungua thread ntakutana na mbunye bin mbochi, kumbe ni karobot sophia tu kanatembea zake.....Bro nili enda club mwanza, aisee nili ondoka maana watu wako uchi😂😆