Huu ni ushahidi kuwa lugha ya kiswahili hakijitoshelezi (ina uhaba mkubwa wa misamiati)

Huu ni ushahidi kuwa lugha ya kiswahili hakijitoshelezi (ina uhaba mkubwa wa misamiati)

Mfano matumizi ya neno la kiswahili BARAZA kufasiri maneno yafuatayo.

Veranda-BARAZA

Cabinet-BARAZA La Mawaziri

House of Representative-BARAZA La Wawakilishi

Ward Tribunal-BARAZA La Kata

Court Assessors-Wazee wa BARAZA

Rejea pia BARAZA la madiwani.

Huu ni ushahidi wa uhaba mkubwa wa misamiati unaokikumba kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatakiwa kufahamu haya mambo;
1.Hakuna lugha inayojitosheleza
2.Hakuna lugha bora kuliko nyingine.
3.Lugha zinatabia ya kukopeshana misamiati kutokana na point namba 1.(mfano ukifungua oxford dictionary utakutana na neno UGALI kama lilivyo halina kiingereza chake.
4.Ni ukweli usiopingika lugha ya kiingereza ina utajiri mkubwa wa misamiati kutokana na sababu nyingi tu (za kihistoria na za maendeleo ya sayansi na technolojia)lakini point namba moja itasimama kama ilivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano matumizi ya neno la kiswahili BARAZA kufasiri maneno yafuatayo.

Veranda-BARAZA

Cabinet-BARAZA La Mawaziri

House of Representative-BARAZA La Wawakilishi

Ward Tribunal-BARAZA La Kata

Court Assessors-Wazee wa BARAZA

Rejea pia BARAZA la madiwani.

Huu ni ushahidi wa uhaba mkubwa wa misamiati unaokikumba kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila lugha ni hivyo hivyo. Angalia:

Mama mdogo - aunt
Shangazi - aunt

Baba mdogo - uncle
Mjomba - uncle

Wifi - sister in law
Shemeji - brother in law/sister in law.
 
Sio kwamba 60%ya maneno ya kifaransa ni ya kingereza?


Hapana ni kinyume chake, Kiingereza imechukuwa maneno karibia yote kutoka kwenye Kifaransa. Kifaransa ni Lugha ya jamii ya Kilatini, na bila ya Kilatini Kiingereza ni lugha masikini sana kuliko labda hata Kiswahili, maneno asilia ya Kiingereza ni machache sana!
 
Hakuna lugha inayoitwa kiswahili, watanzania wanazungumza mjumuiko wa lugha mbalimbali, na hcho kiswahili kinachosemwa kamwe hakiwezi kustand alone na mtu akaelewa..sa hv maneno ya kingereza yanatumika sana kwenye maongezi ya watu na kadr taif linavyozidi kuwa na wasomi wengi lugha ya kingereza itajichomeka kwa kiasi kikubwa....kiswahili bado hakijajitosheleza kuitwa Lugha....
Kiingereza chenyewe kina maneno mengi tu kutoka kifaransa na Lugha nyinginen ila haibadili haja ya kukiita Kiingereza. Kwa nini Kiswahili kisiitwe hivyo. Hao wasomi kabla ya usomi wao walikuwa wakiongea lugha gani, baada ya kujua Kiingereza ndio Kiswahili wanakisahau?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana mleta thread hujamuelewa vizuri.
Kwa kifupi ni kwamba msamiati wa Lugha yetu ya Kiswahili bado ni mdogo, hilo halipingiki.
Mfano: kiswahili kina neno moja 'tabasamu', lakini kwa Kiingereza utakuta yapo maneno takribani kama sita hivi yakimaanisha tabasamu lakini based on facial expression.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo ni Kiswahili au Kiingereza kisichojitosheleza? Kama tabasamu inaeleweka ni nini, kuwa na maneno sita kuelezea hali moja ndio kutokujitosheleza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano matumizi ya neno la kiswahili BARAZA kufasiri maneno yafuatayo.

Veranda-BARAZA

Cabinet-BARAZA La Mawaziri

House of Representative-BARAZA La Wawakilishi

Ward Tribunal-BARAZA La Kata

Court Assessors-Wazee wa BARAZA

Rejea pia BARAZA la madiwani.

Huu ni ushahidi wa uhaba mkubwa wa misamiati unaokikumba kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kiswahili kipana sana japo hakuna lugha inayojitosheleza duniani na kinaweza kufafanua maana 1 ktk maneno zaidi ya 7-8 tofauti tofauti.

Mfano:

Kuongea = Kueleza
= kuambia
= kunena
= kusema
= kutamka
= kubonga
= kulonga.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano matumizi ya neno la kiswahili BARAZA kufasiri maneno yafuatayo.

Veranda-BARAZA

Cabinet-BARAZA La Mawaziri

House of Representative-BARAZA La Wawakilishi

Ward Tribunal-BARAZA La Kata

Court Assessors-Wazee wa BARAZA

Rejea pia BARAZA la madiwani.

Huu ni ushahidi wa uhaba mkubwa wa misamiati unaokikumba kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kabisa maana hata mie huwa nakishangaa kiingereza kilivyoishiwa misamiati pia.

Mfano neno right.

1. Right now = sasa hivi
2. Right hand = mkono wa kulia
3. Right man = mtu sahihi
4. Rights = Haki

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Hoja ya mtoa mada ni dhaifu kuwa Duniani kote, hakuna lugha inayoweza kuelezea maarifa yote. Kwa mantiki hiyo Kiswahili, kama zilivyo lugha nyingine kinaweza azima msamiati kutoka lugha yoyote ili kujenga dhana na maarifa kiyatakayo.
 
Kiswahili hakijotosheleze hata kwenye masomo ya science meneno mengi tunatumia ya kiingereza kwa kujidanganya eti tunaongea kiswahili mifuano ni mingi tu...........wanasiasa wanalazimisha kiswahili kiwe lugha ya academics and administration ila hakijitosheleza kingebaki kua lugha ya Biashara na kisiasa hapa kijamii (dini) Tz......kama Waganda wanao tumia lugha yao ya kiganda katika biashara na siasa kuunganisha jamii....

Sent using Jamii Forums mobile app


Neno lipi la kisayansi ni la kingereza Mkuu??
 
Mfano matumizi ya neno la kiswahili BARAZA kufasiri maneno yafuatayo.

Veranda-BARAZA

Cabinet-BARAZA La Mawaziri

House of Representative-BARAZA La Wawakilishi

Ward Tribunal-BARAZA La Kata

Court Assessors-Wazee wa BARAZA

Rejea pia BARAZA la madiwani.

Huu ni ushahidi wa uhaba mkubwa wa misamiati unaokikumba kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua lugha zenye chembe za ukamilifu duniani ni kiarabu na kilatini tu... Hata hiyo unayoiona imekamilika kama kisingekuwepo kilatini kisingefika kokote
 
Lithium

The origin of the name comes from the Greek word lithos meaning stone , apparently because it was ...
 
Mfano matumizi ya neno la kiswahili BARAZA kufasiri maneno yafuatayo.

Veranda-BARAZA

Cabinet-BARAZA La Mawaziri

House of Representative-BARAZA La Wawakilishi

Ward Tribunal-BARAZA La Kata

Court Assessors-Wazee wa BARAZA

Rejea pia BARAZA la madiwani.

Huu ni ushahidi wa uhaba mkubwa wa misamiati unaokikumba kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mama mdogo...aunt
Mama mkubwa...aunt
Shangazi....aunt
Je kingereza hakijitoshelezi? Utoshelevu wa lugha tunaipima kwa watumiaji wake kuweza kueleza vitu mbalimbali kwa kutumia lugha hiyo hicho kigezo hata wenye kingereza wanaipinga na kusema kila lugha hijitosheleza kulingana na mahitaji...pitia upya maarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna lugha inayoitwa kiswahili, watanzania wanazungumza mjumuiko wa lugha mbalimbali, na hcho kiswahili kinachosemwa kamwe hakiwezi kustand alone na mtu akaelewa..sa hv maneno ya kingereza yanatumika sana kwenye maongezi ya watu na kadr taif linavyozidi kuwa na wasomi wengi lugha ya kingereza itajichomeka kwa kiasi kikubwa....kiswahili bado hakijajitosheleza kuitwa Lugha....
Hata kingereza kimeathiriwa sana kifaransa pamoja na lugha za mashariki ya kati.... Ni tabia ya lugha kuathiri na kuathiriana ...rudi kupitia mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni hivyo tujaribu Kijapan (hata Kiingereza hakifai). Linganisha Kiingereza na Kijapan hapa chini:

Your WIFE - Okusan

My WIFE - Tsuma

Your HUSBAND - goshujin

My HUSBAND - Oto

Mfano matumizi ya neno la kiswahili BARAZA kufasiri maneno yafuatayo.

Veranda-BARAZA

Cabinet-BARAZA La Mawaziri

House of Representative-BARAZA La Wawakilishi

Ward Tribunal-BARAZA La Kata

Court Assessors-Wazee wa BARAZA

Rejea pia BARAZA la madiwani.

Huu ni ushahidi wa uhaba mkubwa wa misamiati unaokikumba kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom