Huu ni Ushetani. BASATA mko wapi!?

Hii inahudhunisha sana huyu binti anatuharibia Watoto huku.
 
Tulia we mzee Kwa hiyo hapo we bibi ulitaka afanye show akiwa amevaa juba au kininja.,
Halafu nyie watu wa hizi imani wanafiki sana yaani dhambi ya kuimba mambo ya kidunia mmeikubali halafu hii ya kucheza uchi jukwaani mnajifanya mnawasema bakwata, idiot.
 
Mimi nadhani kila mtu anahaki... Na kila jambo linawakati wake mahali pake na watu wanaohusika wanajua wakalipate wapi!

Kwahiyo kwa mtizamo wangu hawa wasanii wananidhamu, kwasababu wanafanya jambo katika muda na mahali sahihi.

Hili swala lilifanyika night club na ni Usiku, shida ikowapi apo.
 
Manyimbo yao ya mtoto kautaka, paka mate iteleze watoto wanasikiliza huku mtaani
 
mtoto wako mdogo umeampaa simu aaangalie katuni YouTube unategemea nini
mtoto wako mdogo umempa simu yako aangalie katuni YouTube unategemea nini?siumesema usiku ndo wanafanya ....? jitahidi utumie akili mabula ya kuongea
 
Mie ningependa asingekuwa na kitu kabisa.

Basata inawahusu nini?
 
Hapo sio night club mkuu... Uwanja wa mpira wa Ruangwa...
Yamepandikizwa mapepo hapo Rasmi ya Wasafi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…