Huu ni Ushetani. BASATA mko wapi!?

Huu ni Ushetani. BASATA mko wapi!?

Hapo ni wazi kabisa waliofeli ni wazazi na BAKWATA siyo BASATA.

Huo ni mtazamo wangu binafsi kama Muislam, simwakilishi mtu au chombo kingine chochote.

Kwanini naiondolea lawama BASATA? kwa sababu BASATA ni chombo cha serikali pagani. Kumbuka kuwa serikali yetu ni pagani kwa maana haifati dini yoyote ile.

Kwa maana hiyo namuondolea lawama hata waziri husika.

Kwa bahatri mbaya au nzuri bakwata wanahusika na kusoma dua tu kwenye hafla za chama na serikali iliyopo madarakani, mengine ya mmaadili ya Kiislam hawana jukumu nayo na wala hawayafanyi.
Hii inahudhunisha sana huyu binti anatuharibia Watoto huku.
 
Hapo ni wazi kabisa waliofeli ni wazazi na BAKWATA siyo BASATA.

Huo ni mtazamo wangu binafsi kama Muislam, simwakilishi mtu au chombo kingine chochote.

Kwanini naiondolea lawama BASATA? kwa sababu BASATA ni chombo cha serikali pagani. Kumbuka kuwa serikali yetu ni pagani kwa maana haifati dini yoyote ile.

Kwa maana hiyo namuondolea lawama hata waziri husika.

Kwa bahatri mbaya au nzuri bakwata wanahusika na kusoma dua tu kwenye hafla za chama na serikali iliyopo madarakani, mengine ya mmaadili ya Kiislam hawana jukumu nayo na wala hawayafanyi.
Tulia we mzee Kwa hiyo hapo we bibi ulitaka afanye show akiwa amevaa juba au kininja.,
Halafu nyie watu wa hizi imani wanafiki sana yaani dhambi ya kuimba mambo ya kidunia mmeikubali halafu hii ya kucheza uchi jukwaani mnajifanya mnawasema bakwata, idiot.
 
Mimi nadhani kila mtu anahaki... Na kila jambo linawakati wake mahali pake na watu wanaohusika wanajua wakalipate wapi!

Kwahiyo kwa mtizamo wangu hawa wasanii wananidhamu, kwasababu wanafanya jambo katika muda na mahali sahihi.

Hili swala lilifanyika night club na ni Usiku, shida ikowapi apo.
 
Mimi nadhani kila mtu anahaki... Na kila jambo linawakati wake mahali pake na watu wanaohusika wanajua wakalipate wapi!

Kwahiyo kwa mtizamo wangu hawa wasanii wananidhamu, kwasababu wanafanya jambo katika muda na mahali sahihi.

Hili swala lilifanyika night club na ni Usiku, shida ikowapi apo.
Manyimbo yao ya mtoto kautaka, paka mate iteleze watoto wanasikiliza huku mtaani
 
Mimi nadhani kila mtu anahaki... Na kila jambo linawakati wake mahali pake na watu wanaohusika wanajua wakalipate wapi!

Kwahiyo kwa mtizamo wangu hawa wasanii wananidhamu, kwasababu wanafanya jambo katika muda na mahali sahihi.

Hili swala lilifanyika night club na ni Usiku, shida ikowapi apo.
mtoto wako mdogo umeampaa simu aaangalie katuni YouTube unategemea nini
Mimi nadhani kila mtu anahaki... Na kila jambo linawakati wake mahali pake na watu wanaohusika wanajua wakalipate wapi!

Kwahiyo kwa mtizamo wangu hawa wasanii wananidhamu, kwasababu wanafanya jambo katika muda na mahali sahihi.

Hili swala lilifanyika night club na ni Usiku, shida ikowapi apo.
mtoto wako mdogo umempa simu yako aangalie katuni YouTube unategemea nini?siumesema usiku ndo wanafanya ....? jitahidi utumie akili mabula ya kuongea
 
Tulia we mzee Kwa hiyo hapo we bibi ulitaka afanye show akiwa amevaa juba au kininja.,
Halafu nyie watu wa hizi imani wanafiki sana yaani dhambi ya kuimba mambo ya kidunia mmeikubali halafu hii ya kucheza uchi jukwaani mnajifanya mnawasema bakwata, idiot.
Mie ningependa asingekuwa na kitu kabisa.

Basata inawahusu nini?
 
Mimi nadhani kila mtu anahaki... Na kila jambo linawakati wake mahali pake na watu wanaohusika wanajua wakalipate wapi!

Kwahiyo kwa mtizamo wangu hawa wasanii wananidhamu, kwasababu wanafanya jambo katika muda na mahali sahihi.

Hili swala lilifanyika night club na ni Usiku, shida ikowapi apo.
Hapo sio night club mkuu... Uwanja wa mpira wa Ruangwa...
Yamepandikizwa mapepo hapo Rasmi ya Wasafi
 
Back
Top Bottom