Huu ni wakati rasmi wa Diamond kurudi kwa Zari

Huu ni wakati rasmi wa Diamond kurudi kwa Zari

Amba ruti ana maoni gani?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huwezi jua Mondi kakimbia nini, unaweza kumlaumu lkn mahusiano na ndoa zina siri nyingi, unaweza mlaumu mtu asiye na kosa kwani Zari nae CV yake ni mbovu mpaka alifikia hatua ya kusagana so huwezi jua Mondi kaona nini. Tusipende kujudge kwa kutumia hizi social network.
Yaani kakimbia baada ya kuzaa naye watoto ? Not logic bro, ingekuwa kaishi naye miezi michache hapo sawa
 
Yaani kakimbia baada ya kuzaa naye watoto ? Not logic bro, ingekuwa kaishi naye miezi michache hapo sawa
Sijui unaishi dunia ya ngapi au unaishi shimoni? Kwani Zari ndio wa kwanza kukimbiwa baada ya kuzalishwa? Aslay, Barnaba wamewakimbia wake zao Kiba kawa zalisha watoto wanawake watatu na wote kuachana nao, sasa ww unataka logic gani na hao wote waliishi nao.

Zari na Mondi wamedumu zaidi ya miaka miwili na kipindi kile ana mimba ya tiffah kakaa sana Madale. Kuna kipindi Mondi aliulizwa kwa nn umeachana na Zari, akawajibu sitoongelea chochote kuhusu Zari sababu namuheshimu, hili jibu ukilitizama Mondi aliamua kuficha weakness ya Zari sababu ya watoto zake.

Huyo Zari nae CV yake ya nyuma ni mbovu kusagana, kugongwa huko Uganda na Macelebrity wa huko akiwemo Radio wa Goodlife nk huwezi Mondi kaona nini, , huwezi jua Diamond kaona nini, haya maswala ya mahusiano yaacheni hivyo hivyo na uheshimuni uhuru wa Mondi wa kuchagua.
 
Sijui unaishi dunia ya ngapi au unaishi shimoni? Kwani Zari ndio wa kwanza kukimbiwa baada ya kuzalishwa? Aslay, Barnaba wamewakimbia wake zao Kiba kawa zalisha watoto wanawake watatu na wote kuachana nao, sasa ww unataka logic gani na hao wote waliishi nao.

Zari na Mondi wamedumu zaidi ya miaka miwili na kipindi kile ana mimba ya tiffah kakaa sana Madale. Kuna kipindi Mondi aliulizwa kwa nn umeachana na Zari, akawajibu sitoongelea chochote kuhusu Zari sababu namuheshimu, hili jibu ukilitizama Mondi aliamua kuficha weakness ya Zari sababu ya watoto zake.

Huyo Zari nae CV yake ya nyuma ni mbovu kusagana, kugongwa huko Uganda na Macelebrity wa huko akiwemo Radio wa Goodlife nk huwezi Mondi kaona nini, , huwezi jua Diamond kaona nini, haya maswala ya mahusiano yaacheni hivyo hivyo na uheshimuni uhuru wa Mondi wa kuchagua.
Kwann YY mondi Yuko perfect ? Yaani unashangaa mtu kuliwa na wanaume wakati umemkuta na watoto ? Hao wasanii uliowataja kuwa wameacha wenzi wao , ww umejuaje ? Maana inawezekana wameachwa wao na wanawake , pia hata Mondi unauweza ameachwa YY na zari
 
Sijui unaishi dunia ya ngapi au unaishi shimoni? Kwani Zari ndio wa kwanza kukimbiwa baada ya kuzalishwa? Aslay, Barnaba wamewakimbia wake zao Kiba kawa zalisha watoto wanawake watatu na wote kuachana nao, sasa ww unataka logic gani na hao wote waliishi nao.

Zari na Mondi wamedumu zaidi ya miaka miwili na kipindi kile ana mimba ya tiffah kakaa sana Madale. Kuna kipindi Mondi aliulizwa kwa nn umeachana na Zari, akawajibu sitoongelea chochote kuhusu Zari sababu namuheshimu, hili jibu ukilitizama Mondi aliamua kuficha weakness ya Zari sababu ya watoto zake.

Huyo Zari nae CV yake ya nyuma ni mbovu kusagana, kugongwa huko Uganda na Macelebrity wa huko akiwemo Radio wa Goodlife nk huwezi Mondi kaona nini, , huwezi jua Diamond kaona nini, haya maswala ya mahusiano yaacheni hivyo hivyo na uheshimuni uhuru wa Mondi wa kuchagua.
Kwa hiyo Mondi anatafuta demu bikra ? Moze radio is popular & very talented man Kwa hiyo kutoka na demu kama zari sio tatizo
 
Kwa hiyo Mondi anatafuta demu bikra ? Moze radio is popular & very talented man Kwa hiyo kutoka na demu kama zari sio tatizo
Hilo swali analijua Mondi anataka mwanamke wa namna, so mimi siwezi kumpangia sababu naheshimu uhuru wake wa kihisia. Radio sio tatizo tufanye sawa, vipi kusagana na video yake kwenye site za porn akisagana zipo au kwako unaona sawa sababu Zari maarufu.Hivi swali huyo mwenza wako umechaguliwa au umemchagua mwenyewe?.
 
Hilo swali analijua Mondi anataka mwanamke wa namna, so mimi siwezi kumpangia sababu naheshimu uhuru wake wa kihisia. Radio sio tatizo tufanye sawa, vipi kusagana na video yake kwenye site za porn akisagana zipo au kwako unaona sawa sababu Zari maarufu.Hivi swali huyo mwenza wako umechaguliwa au umemchagua mwenyewe?.
Poa mkuu umeshinda, be blessed
 
Kwann YY mondi Yuko perfect ? Yaani unashangaa mtu kuliwa na wanaume wakati umemkuta na watoto ? Hao wasanii uliowataja kuwa wameacha wenzi wao , ww umejuaje ? Maana inawezekana wameachwa wao na wanawake , pia hata Mondi unauweza ameachwa YY na zari
Kwa hiyo ukimkuta na watoto, kuendelea kuliwa sawa? Hiyo method unayotaka mondi aiapply vp unaiapply kwenye maisha yako au unajiongelesha? Sijui unaishi Shimoni Asley , Barnaba wote wamekili kuachana na wake zao. Kiba kaoa sasa hayo makoloni yake anaendelea nayo vipi. JIFUNZE KUHESHIM UHURU WA MTU WA KIHISIA, Mondi amezaa na kuishi na Zari, so Mondi anamjua Zari kuliko ww, usiweke kimbele mbele kwenye mahusiano ya watu hujui Mondi aliona nini.
 
Kwa hiyo ukimkuta na watoto, kuendelea kuliwa sawa? Hiyo method unayotaka mondi aiapply vp unaiapply kwenye maisha yako au unajiongelesha? Sijui unaishi Shimoni Asley , Barnaba wote wamekili kuachana na wake zao. Kiba kaoa sasa hayo makoloni yake anaendelea nayo vipi. JIFUNZE KUHESHIM UHURU WA MTU WA KIHISIA, Mondi amezaa na kuishi na Zari, so Mondi anamjua Zari kuliko ww, usiweke kimbele mbele kwenye mahusiano ya watu hujui Mondi aliona nini.
Hapo sasa
 
Wee jamaa mondi sijui kakulosha limbwata gani,mwanaume mbea aisee. Aliyemkimbia mwenzie ni ZARI na kesho inatimiza mwaka acha kuloa lia na kutunga story zisizo na mashiko

#ikikuumamezawembeZarialimtosadomo#
Sijui unaishi dunia ya ngapi au unaishi shimoni? Kwani Zari ndio wa kwanza kukimbiwa baada ya kuzalishwa? Aslay, Barnaba wamewakimbia wake zao Kiba kawa zalisha watoto wanawake watatu na wote kuachana nao, sasa ww unataka logic gani na hao wote waliishi nao.

Zari na Mondi wamedumu zaidi ya miaka miwili na kipindi kile ana mimba ya tiffah kakaa sana Madale. Kuna kipindi Mondi aliulizwa kwa nn umeachana na Zari, akawajibu sitoongelea chochote kuhusu Zari sababu namuheshimu, hili jibu ukilitizama Mondi aliamua kuficha weakness ya Zari sababu ya watoto zake.

Huyo Zari nae CV yake ya nyuma ni mbovu kusagana, kugongwa huko Uganda na Macelebrity wa huko akiwemo Radio wa Goodlife nk huwezi Mondi kaona nini, , huwezi jua Diamond kaona nini, haya maswala ya mahusiano yaacheni hivyo hivyo na uheshimuni uhuru wa Mondi wa kuchagua.
 
Back
Top Bottom