mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Yes ni kweli zari Yuko vizuri lakini nafikiri mobetto alimuharibia diamond makusudi
Na ndiyo maana baada ya sakata la Mobetto, kijana Diamond ameanza kufifia. Kuna mademu wengine si wa kulala nao, wanachafua nyota ya mtu.