Huu ni wakati rasmi wa Diamond kurudi kwa Zari

Huu ni wakati rasmi wa Diamond kurudi kwa Zari

Basi kwanini kwa zari uone ni kwamba hafai kwa mambo ya hearsay??
Yes anayo porn video ya miaka ya nyuma ambayo ni ajali kazini inaweza mtokea yoyote. Lakini diamond alijua kua zari ana porn video na alidate naye na wakazaa watoto wawili. Kwanini maneno yako yanaonesha mambo mabaya ya zari tu always. Hana jema??
Ni comment yangu ya kwanza
"Huwezi jua Mondi kakimbia nini, unaweza kumlaumu lkn mahusiano na ndoa zina siri nyingi, unaweza mlaumu mtu asiye na kosa kwani Zari nae CV yake ni mbovu mpaka alifikia hatua ya kusagana so huwezi jua Mondi kaona nini. Tusipende kujudge kwa kutumia hizi social network."
 
Ni comment yangu ya kwanza
"Huwezi jua Mondi kakimbia nini, unaweza kumlaumu lkn mahusiano na ndoa zina siri nyingi, unaweza mlaumu mtu asiye na kosa kwani Zari nae CV yake ni mbovu mpaka alifikia hatua ya kusagana so huwezi jua Mondi kaona nini. Tusipende kujudge kwa kutumia hizi social network."
CV mbovu akiwa na diamond?? Maana hapa unaongelewa wakati waliokua na mahusiano. Hata diamond before alikua na cv mbovu pia mpaka issue hiyo na mama ake ilivuma zaid miaka ya nyuma pia tulisikia diamond kizazi katoa kafara. Yote yalikua huko nyuma
 
Sijui unaishi dunia ya ngapi au unaishi shimoni? Kwani Zari ndio wa kwanza kukimbiwa baada ya kuzalishwa? Aslay, Barnaba wamewakimbia wake zao Kiba kawa zalisha watoto wanawake watatu na wote kuachana nao, sasa ww unataka logic gani na hao wote waliishi nao.

Zari na Mondi wamedumu zaidi ya miaka miwili na kipindi kile ana mimba ya tiffah kakaa sana Madale. Kuna kipindi Mondi aliulizwa kwa nn umeachana na Zari, akawajibu sitoongelea chochote kuhusu Zari sababu namuheshimu, hili jibu ukilitizama Mondi aliamua kuficha weakness ya Zari sababu ya watoto zake.

Huyo Zari nae CV yake ya nyuma ni mbovu kusagana, kugongwa huko Uganda na Macelebrity wa huko akiwemo Radio wa Goodlife nk huwezi Mondi kaona nini, , huwezi jua Diamond kaona nini, haya maswala ya mahusiano yaacheni hivyo hivyo na uheshimuni uhuru wa Mondi wa kuchagua.

Hili jinga linazungumzia mambo ya miaka 20 iliyopita, zari alivyokua na zari aliwahi kufumaniwa? , Yule mwanamke alikua anajiheshimu sana bhana , domo mwenyewe ananyooka . Anahangaika na vimalaya visivyokua na mbele wala nyuma

Zari kazaa na diamond watoto wawili , ile Ndo familia yake , atangaika then atarudi tu, ndugu Yenu anaogopa tu kuomba msamaha Ila kazidiwa hana raha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa hiyo ukimkuta na watoto, kuendelea kuliwa sawa? Hiyo method unayotaka mondi aiapply vp unaiapply kwenye maisha yako au unajiongelesha? Sijui unaishi Shimoni Asley , Barnaba wote wamekili kuachana na wake zao. Kiba kaoa sasa hayo makoloni yake anaendelea nayo vipi. JIFUNZE KUHESHIM UHURU WA MTU WA KIHISIA, Mondi amezaa na kuishi na Zari, so Mondi anamjua Zari kuliko ww, usiweke kimbele mbele kwenye mahusiano ya watu hujui Mondi aliona nini.

Aaaaaah lol


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sijui unaishi dunia ya ngapi au unaishi shimoni? Kwani Zari ndio wa kwanza kukimbiwa baada ya kuzalishwa? Aslay, Barnaba wamewakimbia wake zao Kiba kawa zalisha watoto wanawake watatu na wote kuachana nao, sasa ww unataka logic gani na hao wote waliishi nao.

Zari na Mondi wamedumu zaidi ya miaka miwili na kipindi kile ana mimba ya tiffah kakaa sana Madale. Kuna kipindi Mondi aliulizwa kwa nn umeachana na Zari, akawajibu sitoongelea chochote kuhusu Zari sababu namuheshimu, hili jibu ukilitizama Mondi aliamua kuficha weakness ya Zari sababu ya watoto zake.

Huyo Zari nae CV yake ya nyuma ni mbovu kusagana, kugongwa huko Uganda na Macelebrity wa huko akiwemo Radio wa Goodlife nk huwezi Mondi kaona nini, , huwezi jua Diamond kaona nini, haya maswala ya mahusiano yaacheni hivyo hivyo na uheshimuni uhuru wa Mondi wa kuchagua.


Wewe naye utakuwa hufatiliii yaliyojiri.. usifikiri wasomaji wa humu hatujui kwamba aliachwa na rozi jeusi. Amuongelee hajipendi???. eeeeeh Zari angejibu na dee angekoma.. alikuwa mkewe huyo - Iyena. Waache walivyo ila dee aliachwa. Anamuheshimu kwa sababu tele.. unataka tu kumsafisha mtu ambaye ni kiguru mbele..🤣🤣🤣

Haya naendelea.kusoma udaku.. usipitwe na gram kesho mwaka mmoja wa kutimiza ya rozi jeusi liliporushwa 02/14/2018.

Halafu acha wivu.. eeeeh
 
Ooh waow ulimsaga mkuu?

Huyo ni muhusika wa ndani kwa domo eeeeeeeh
Akumbuke kumshukuru Mola kwa Zari kuwafungua macho kwa wanavyoishi kwa sasa ni Zari hakuna mwingine.. lazima wanamkumbuka kila siku.
 
Sikulaumu ww ushazoea kukurupuka, ila kaa ukijua ukiniheshimu nitakuheshimu, ila ukileta upuuzi nitakupuuza sababu mimi si mpuuzi kama ww ni kipi ambacho hujaelewa au unataka ligi. Mbona thread ya Zari kuhusu kusagana ipo humu jf na link za video zipo, jiheshimu dada yangu, mimi sigombanagi na mwanamke.
Mkuu naomba hyo link na video nione
 
CV mbovu akiwa na diamond?? Maana hapa unaongelewa wakati waliokua na mahusiano. Hata diamond before alikua na cv mbovu pia mpaka issue hiyo na mama ake ilivuma zaid miaka ya nyuma pia tulisikia diamond kizazi katoa kafara. Yote yalikua huko nyuma
Mwanaume hata awe malaya vipi, mwisho wa siku atataka mwanamke mtulivu (mfumo dume hamna mwanaume na siku zote anataka awe juu),amuoe ipo hivyo. Zari ukisoma mitandao nyuma ya UG alidate na wanaume wengi wenye mpunga, hata juzi alikiri amedate na wanaume wengi wenye hela kuliko Mondi.

Ulisikia katoa kizazi lkn baadae si amezaa watatu, vipi bado unaamini? , hayo yapo ukiwa ktk peak. Hata hizo za Mondi Juma Kassim Nature ilimtokea watu walidai, mmoja wapo Kalapina aliongea mama yake Nature ni mchawi, kaijaza Diamond Jubilee mara mbili na ktk kizazi cha bongo fleva hamna aliyemfikia Juma Nature, lkn muda wake umeisha sasa hivi zamu ya wengine, hamna uchawi ktk maisha ya binadam yoyote anayejituma Kuna kipindi, Mungu atakuweka juu hata kama watu wasipokusifia, mawe yatapaza sauti tu hamna jinsi.
 
Mwanaume hata awe malaya vipi, mwisho wa siku atataka mwanamke mtulivu (mfumo dume hamna mwanaume na siku zote anataka awe juu),amuoe ipo hivyo. Zari ukisoma mitandao nyuma ya UG alidate na wanaume wengi wenye mpunga, hata juzi alikiri amedate na wanaume wengi wenye hela kuliko Mondi.

Ulisikia katoa kizazi lkn baadae si amezaa watatu, vipi bado unaamini? , hayo yapo ukiwa ktk peak. Hata hizo za Mondi Juma Kassim Nature ilimtokea watu walidai, mmoja wapo Kalapina aliongea mama yake Nature ni mchawi, kaijaza Diamond Jubilee mara mbili na ktk kizazi cha bongo fleva hamna aliyemfikia Juma Nature, lkn muda wake umeisha sasa hivi zamu ya wengine, hamna uchawi ktk maisha ya binadam yoyote anayejituma Kuna kipindi, Mungu atakuweka juu hata kama watu wasipokusifia, mawe yatapaza sauti tu hamna jinsi.
Sawa lakini je alidate nao akiwa na diamond? Na je diamond alikua hajui hizo habari za zari? Yani ni maswali hayo tu hayahitaji hata gazeti
 
Huyo chizi anachekesha anapotoa mifano ya juma nature bwahahahahah jamani Zari anaonewa wivu balaa
Sawa lakini je alidate nao akiwa na diamond? Na je diamond alikua hajui hizo habari za zari? Yani ni maswali hayo tu hayahitaji hata gazeti
 
Huyo chizi anachekesha anapotoa mifano ya juma nature bwahahahahah jamani Zari anaonewa wivu balaa
Yan nabaki mdomo wazi maana vitu anavyo ongelea havina hata uhusiano. Zarism is real
 
Na anaumia zaidi kuona wala hakuna dalili ya Zari kumshobokea domo. Kaleta historia za zamani ambazo hata hazishtui
Yan nabaki mdomo wazi maana vitu anavyo ongelea havina hata uhusiano. Zarism is real
 
Sawa lakini je alidate nao akiwa na diamond? Na je diamond alikua hajui hizo habari za zari? Yani ni maswali hayo tu hayahitaji hata gazeti
Hata kama alikuwa anajua kwa akili yako ulizani angemuoa Zara, sababu wote ni malaya?
Ktk experience yangu ya mabrother zangu na marafiki zangu ambayo ni malaya mbwa, wameoa wanawake nisiowatarajia kabisa.
Mimi nakuhakikishia Mondi ataoa mwanamke tusiyemzania kabisa, huyu Tanasha Mondi anasuuza rungu.

Usimbet mahusiano yyt ya mwanume malaya eti yatakuwa ndoa, utaliwa hela yako.
 
Back
Top Bottom