Huu ni wakati rasmi wa Diamond kurudi kwa Zari

Ooh waow ulimsaga mkuu?
Sikulaumu ww ushazoea kukurupuka, ila kaa ukijua ukiniheshimu nitakuheshimu, ila ukileta upuuzi nitakupuuza sababu mimi si mpuuzi kama ww ni kipi ambacho hujaelewa au unataka ligi. Mbona thread ya Zari kuhusu kusagana ipo humu jf na link za video zipo, jiheshimu dada yangu, mimi sigombanagi na mwanamke.
 
Only in Tz a young man is advised to be with a single mother..
 
Wee jamaa mondi sijui kakulosha limbwata gani,mwanaume mbea aisee. Aliyemkimbia mwenzie ni ZARI na kesho inatimiza mwaka acha kuloa lia na kutunga story zisizo na mashiko

#ikikuumamezawembeZarialimtosadomo#
Ningekujibu ila umenikosea heshima. Ila do you have any piece of tangible evidence ya kuprove Zari aliimkimbia Mondi.
 
Mpuuzi mwenzangu nani asiyenifahamu kwa kukurupuka na kupanikisha watu. Domo msafi ee mbona hata magazeti yanaongelea ishu zake na mama ake hujaona??wanawake tele wanamkimbia hujaona?kapaukiana hadi huruma. Mwisho wala sikuchukulii kama mwanaume wewe ni kajike kanakolazimisha uanaume picha yako hii
 
Kesho valentine eee unataka ushahidi gani tena#blackroseeffect#. Kulia lia umekosewa heshima wakati wewe mwenyewe huna heshima pyeeee
Ningekujibu ila umenikosea heshima. Ila do you have any piece of tangible evidence ya kuprove Zari aliimkimbia Mondi.
 
Kesho valentine eee unataka ushahidi gani tena#blackroseeffect#. Kulia lia umekosewa heshima wakati wewe mwenyewe huna heshima pyeeee
Usiheshimu mimi basi iheshim platform ya JF
 
Wee jamaa mondi sijui kakulosha limbwata gani,mwanaume mbea aisee. Aliyemkimbia mwenzie ni ZARI na kesho inatimiza mwaka acha kuloa lia na kutunga story zisizo na mashiko

#ikikuumamezawembeZarialimtosadomo#
Mahaba too much mpaka kumtungia uwongo mwanamke ambaye anamuona tu kwa picha na videos
 
Ushazoea ligi, video katafute kwenye xnxx website

Proof That Socialite ZARI HASSAN Is A Lesbian
Sijaona picha lakini zaidi ya maneno lakini je hizo vitu zilikuwepo wakati akiwa kwenye mahusiano na diamond? Mengine yanaweza kua maneno ya mitandaoni tu. Hivi ile habari ya mondi anatembea na mama ake wewe unaichukuliaga kweli au si kweli?

Ukiwa unamsafisha mwingine usimchafue mwingine
 
Watu wanahusianisha na mambo ya kichawi, lkn mm naamini ni mapenzi yaliyopitiliza kwa mama yake, sababu magumu mengi aliyoyapitia yy msaada mkubwa ni mm yake "uliyeokota naye kuni ndiye wakuota nae moto".
 
Watu wanahusianisha na mambo ya kichawi, lkn mm naamini ni mapenzi yaliyopitiliza kwa mama yake, sababu magumu mengi aliyoyapitia yy msaada mkubwa ni mm yake "uliyeokota naye kuni ndiye wakuota nae moto".
Basi kwanini kwa zari uone ni kwamba hafai kwa mambo ya hearsay??
Yes anayo porn video ya miaka ya nyuma ambayo ni ajali kazini inaweza mtokea yoyote. Lakini diamond alijua kua zari ana porn video na alidate naye na wakazaa watoto wawili. Kwanini maneno yako yanaonesha mambo mabaya ya zari tu always. Hana jema??
 
Hii ni kawaida hata kwa Juma nature alivyokuwa ktk peak watu walivumisha anapewa kizizi na mama yake ili ang'ae na kujaza watu ktk show zake. Mpaka Kalapina nae alilisema baada ya Nature kujaza Diamond kwa mara ya pili, lkn leo nature yupo wapi. So maji hata yawe ya motto vipi lazima yatarudi kwenye ubaridi wake, siku zote ipo hivyo. Mondi huu ni muda wake ila Kuna kipindi kitafika atadrop.
 
Umeona ee halafu anajiita mwanaume huku ana chuki kali kwa zari utadhan dai basha wake
Mahaba too much mpaka kumtungia uwongo mwanamke ambaye anamuona tu kwa picha na videos
 
Ukitizama comments nyingi zinamlaumu Mondi kwa nini kamuacha Zari. Ukiangalia comments ya kwanza nimeeleza vizuri, tunaweza mlaumu mondi lkn hujui yy kaona nini sisi tuna judge tu kwa kupitia social network hizi, lkn hata huyu Zari ana CV ya umalaya huko nyuma inaweza ikawa sababu, kusagana, pili ana hela inaweza ikawa inampa kiburi so nayo inaweza ikawa sababu, kwani siri ya mtungi aijuaye ngata, mwisho siku mapenzi ni ya wawili ndio wanaojua sababu ya kuachana.
 
Huyu mtu bana hajielewi. JF nzima anamchukia Zari na bado anajiita mwanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…