joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ni comment yangu ya kwanzaBasi kwanini kwa zari uone ni kwamba hafai kwa mambo ya hearsay??
Yes anayo porn video ya miaka ya nyuma ambayo ni ajali kazini inaweza mtokea yoyote. Lakini diamond alijua kua zari ana porn video na alidate naye na wakazaa watoto wawili. Kwanini maneno yako yanaonesha mambo mabaya ya zari tu always. Hana jema??
Daaah mkuuAmba ruti ana maoni gani?
CV mbovu akiwa na diamond?? Maana hapa unaongelewa wakati waliokua na mahusiano. Hata diamond before alikua na cv mbovu pia mpaka issue hiyo na mama ake ilivuma zaid miaka ya nyuma pia tulisikia diamond kizazi katoa kafara. Yote yalikua huko nyumaNi comment yangu ya kwanza
"Huwezi jua Mondi kakimbia nini, unaweza kumlaumu lkn mahusiano na ndoa zina siri nyingi, unaweza mlaumu mtu asiye na kosa kwani Zari nae CV yake ni mbovu mpaka alifikia hatua ya kusagana so huwezi jua Mondi kaona nini. Tusipende kujudge kwa kutumia hizi social network."
[emoji3][emoji3]Amba ruti ana maoni gani?
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji3][emoji3]
Sijui unaishi dunia ya ngapi au unaishi shimoni? Kwani Zari ndio wa kwanza kukimbiwa baada ya kuzalishwa? Aslay, Barnaba wamewakimbia wake zao Kiba kawa zalisha watoto wanawake watatu na wote kuachana nao, sasa ww unataka logic gani na hao wote waliishi nao.
Zari na Mondi wamedumu zaidi ya miaka miwili na kipindi kile ana mimba ya tiffah kakaa sana Madale. Kuna kipindi Mondi aliulizwa kwa nn umeachana na Zari, akawajibu sitoongelea chochote kuhusu Zari sababu namuheshimu, hili jibu ukilitizama Mondi aliamua kuficha weakness ya Zari sababu ya watoto zake.
Huyo Zari nae CV yake ya nyuma ni mbovu kusagana, kugongwa huko Uganda na Macelebrity wa huko akiwemo Radio wa Goodlife nk huwezi Mondi kaona nini, , huwezi jua Diamond kaona nini, haya maswala ya mahusiano yaacheni hivyo hivyo na uheshimuni uhuru wa Mondi wa kuchagua.
Kwa hiyo ukimkuta na watoto, kuendelea kuliwa sawa? Hiyo method unayotaka mondi aiapply vp unaiapply kwenye maisha yako au unajiongelesha? Sijui unaishi Shimoni Asley , Barnaba wote wamekili kuachana na wake zao. Kiba kaoa sasa hayo makoloni yake anaendelea nayo vipi. JIFUNZE KUHESHIM UHURU WA MTU WA KIHISIA, Mondi amezaa na kuishi na Zari, so Mondi anamjua Zari kuliko ww, usiweke kimbele mbele kwenye mahusiano ya watu hujui Mondi aliona nini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134][emoji134][emoji134][emoji85]Amba ruti ana maoni gani?
Sijui unaishi dunia ya ngapi au unaishi shimoni? Kwani Zari ndio wa kwanza kukimbiwa baada ya kuzalishwa? Aslay, Barnaba wamewakimbia wake zao Kiba kawa zalisha watoto wanawake watatu na wote kuachana nao, sasa ww unataka logic gani na hao wote waliishi nao.
Zari na Mondi wamedumu zaidi ya miaka miwili na kipindi kile ana mimba ya tiffah kakaa sana Madale. Kuna kipindi Mondi aliulizwa kwa nn umeachana na Zari, akawajibu sitoongelea chochote kuhusu Zari sababu namuheshimu, hili jibu ukilitizama Mondi aliamua kuficha weakness ya Zari sababu ya watoto zake.
Huyo Zari nae CV yake ya nyuma ni mbovu kusagana, kugongwa huko Uganda na Macelebrity wa huko akiwemo Radio wa Goodlife nk huwezi Mondi kaona nini, , huwezi jua Diamond kaona nini, haya maswala ya mahusiano yaacheni hivyo hivyo na uheshimuni uhuru wa Mondi wa kuchagua.
Ooh waow ulimsaga mkuu?
Mkuu naomba hyo link na video nioneSikulaumu ww ushazoea kukurupuka, ila kaa ukijua ukiniheshimu nitakuheshimu, ila ukileta upuuzi nitakupuuza sababu mimi si mpuuzi kama ww ni kipi ambacho hujaelewa au unataka ligi. Mbona thread ya Zari kuhusu kusagana ipo humu jf na link za video zipo, jiheshimu dada yangu, mimi sigombanagi na mwanamke.
Huyo ni muhusika wa ndani kwa domo eeeeeeeh
Akumbuke kumshukuru Mola kwa Zari kuwafungua macho kwa wanavyoishi kwa sasa ni Zari hakuna mwingine.. lazima wanamkumbuka kila siku.
Mwanaume hata awe malaya vipi, mwisho wa siku atataka mwanamke mtulivu (mfumo dume hamna mwanaume na siku zote anataka awe juu),amuoe ipo hivyo. Zari ukisoma mitandao nyuma ya UG alidate na wanaume wengi wenye mpunga, hata juzi alikiri amedate na wanaume wengi wenye hela kuliko Mondi.CV mbovu akiwa na diamond?? Maana hapa unaongelewa wakati waliokua na mahusiano. Hata diamond before alikua na cv mbovu pia mpaka issue hiyo na mama ake ilivuma zaid miaka ya nyuma pia tulisikia diamond kizazi katoa kafara. Yote yalikua huko nyuma
Sawa lakini je alidate nao akiwa na diamond? Na je diamond alikua hajui hizo habari za zari? Yani ni maswali hayo tu hayahitaji hata gazetiMwanaume hata awe malaya vipi, mwisho wa siku atataka mwanamke mtulivu (mfumo dume hamna mwanaume na siku zote anataka awe juu),amuoe ipo hivyo. Zari ukisoma mitandao nyuma ya UG alidate na wanaume wengi wenye mpunga, hata juzi alikiri amedate na wanaume wengi wenye hela kuliko Mondi.
Ulisikia katoa kizazi lkn baadae si amezaa watatu, vipi bado unaamini? , hayo yapo ukiwa ktk peak. Hata hizo za Mondi Juma Kassim Nature ilimtokea watu walidai, mmoja wapo Kalapina aliongea mama yake Nature ni mchawi, kaijaza Diamond Jubilee mara mbili na ktk kizazi cha bongo fleva hamna aliyemfikia Juma Nature, lkn muda wake umeisha sasa hivi zamu ya wengine, hamna uchawi ktk maisha ya binadam yoyote anayejituma Kuna kipindi, Mungu atakuweka juu hata kama watu wasipokusifia, mawe yatapaza sauti tu hamna jinsi.
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134][emoji134][emoji134][emoji85]
Sawa lakini je alidate nao akiwa na diamond? Na je diamond alikua hajui hizo habari za zari? Yani ni maswali hayo tu hayahitaji hata gazeti
Yan nabaki mdomo wazi maana vitu anavyo ongelea havina hata uhusiano. Zarism is realHuyo chizi anachekesha anapotoa mifano ya juma nature bwahahahahah jamani Zari anaonewa wivu balaa
Yan nabaki mdomo wazi maana vitu anavyo ongelea havina hata uhusiano. Zarism is real
Hata kama alikuwa anajua kwa akili yako ulizani angemuoa Zara, sababu wote ni malaya?Sawa lakini je alidate nao akiwa na diamond? Na je diamond alikua hajui hizo habari za zari? Yani ni maswali hayo tu hayahitaji hata gazeti