Huu ni wakati wa Wabunge kudhihirisha "umuhimu" wao kwa Wananchi wao

Huu ni wakati wa Wabunge kudhihirisha "umuhimu" wao kwa Wananchi wao

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Bajeti imesomwa, waliosikiliza wamesikia, waliosimuliwa wamesikia, waliiosoma wameisikia, na WALIOELEWA huenda wameelewa.

Kinachofuata sasa ni mjadala kwa Wawakilishi wa Wananchi "waliochaguliwa" kwa 99% yaani Bunge zima ni CCM.

Tunataka watudhihirishie kuwa wako "vizuri" kutetea maslahi ya Wananchi kwenye vipengele vyote vinavyoumiza wananchi na sio kwa kauli za Mwigulu zilizojaa kebehi na maudhi

Je, wabunge hawa wako kijani watauweza mtihani huu au itakua ni kupongeza tu? Je kuna mbunge yoyote wa CCM ataweza "kumdindishia" Waziri juu ya vipengele ambavyo havina maslahi kwa Taifa?

Kazi ni kwenu. Hakuna Mpinzani wa kuwakwamisha tena, hebu tuwaone!
 
Bajeti imesomwa, waliosikiliza wamesikia, waliosimuliwa wamesikia, waliiosoma wameisikia, na WALIOELEWA huenda wameelewa.

Kinachofuata sasa ni mjadala kwa Wawakilishi wa Wananchi "waliochaguliwa" kwa 99% yaani Bunge zima ni CCM.

Tunataka watudhihirishie kuwa wako "vizuri" kutetea maslahi ya Wananchi kwenye vipengele vyote vinavyoumiza wananchi na sio kwa kauli za Mwigulu zilizojaa kebehi na maudhi

Je, wabunge hawa wako kijani watauweza mtihani huu au itakua ni kupongeza tu? Je kuna mbunge yoyote wa CCM ataweza "kumdindishia" Waziri juu ya vipengele ambavyo havina maslahi kwa Taifa?

Kazi ni kwenu. Hakuna Mpinzani wa kuwakwamisha tena, hebu tuwaone!
Mwigulu amejua kuwachonganisha "Waliopitishwa bila kupingwa" na wananchi.
 
Back
Top Bottom