Zanzibar 2020 Huu sasa ni ufalme; haiwezekani watoto na familia ya Mwinyi iteuliwe kugombea kuanzia Urais hadi Ubunge

Zanzibar 2020 Huu sasa ni ufalme; haiwezekani watoto na familia ya Mwinyi iteuliwe kugombea kuanzia Urais hadi Ubunge

Nimetafuta jinsi ya ku like mara 100 comment yako nimeshindwa. Anyway wapiga Kura pindueni meza ili Salma akamtunze Mr JK

Wapiga kura tukampindue jecha kwanza maana tume ni ya CCM
 
Hahaha Chadema kina wagombea, ACT inawagombea, wasiwasi wenu nini hao wakigombea?!

Siasa haina mwenyewe kuna wakati ni bahati, kama hamuwataki ni vizuri mkajadili watu mbadala wa vyama vingine.
Mnafahamu ccm ina wenyewe na wenyewe ndio hao.

Simamieni vyama vyenu yakwao waachieni, hiyo ndiyo demokrasia, muwakatae kwa kura.

Vyama visiposimamisha wagombea wazuri, hao msiowataka watashinda kweli.

CCM INA JECHA ??
 
Ndio maana inatumika nguvu kubwa sana kuzorotesha upinzani, huko mbele nchi itaongozwa na kikundi cha baadhi ya familia au Koo fulani tu ,kutakuwa hakuna maana ya kusomesha na kuzalisha wataalam maana kila nafasi nzuri ya ajira itachukuliwa na wanafamilia hao.
 
Abdallah Mwinyi mbona sio mbunge. alikuaga mbunge wa Afrika Mashariki lakini kwa sasa sio mbunge
Nani kasema ni mbunge, tuliza akili usome kwa makini, sijui uko shuleni mlienda kusomea ujinga.
 
FRED lowassa
Salma Kikwete
Ridhiwani Kikwete
.....
.....
CCM INA WENYEWE. WENYEWE NDIO HAO. sisi kazi yetu ni kusema MITANO ZAIDI[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ili waendelee kula mema ya nchi
😁😁😁 Hao ndio royal family bwana. Wanakula keki ya taifa kuanzia babu mpaka wajukuu
 
#Ufalme au?

Hussein Ali Hassan Mwinyi ~ Mgombea URais Zanzibar

Abbas Ali Hassan Mwinyi-
Ubunge ~ Fuoni

Abdalla Ali Hassan Mwinyi -
Mbunge ~ Mahonda

Zubeida Shaibu (Mkewe Abbas Ali Hussein Mwinyi)
Mbunge ~ Mfenesini
George Bush Snr, George Bush Junior. Bill Clinton, Hilary Clinton. Edwin Mtei na mkwewe Freeman Mbowe (Chadema)
 
FRED lowassa
Salma Kikwete
Ridhiwani Kikwete
.....
.....
CCM INA WENYEWE. WENYEWE NDIO HAO. sisi kazi yetu ni kusema MITANO ZAIDI[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ili waendelee kula mema ya nchi
Umeongea kama masihala lakini.... hatari sana! Yaani kundi la watu limejibinafsisha nchi hii kuwa ni urithi wao na vizazi vyao.
 
Kila mtu ana haki kikatiba, ila mama Kikwete na Mwinyi walichofanya sio sahihi. Mama salma kikwete angeachia hata ukoo mwingine nao ule national cake ya ubunge huko kwao kusini, maana yeye na mumewe wana asilimia 70 ya mshahara wa urais mpaka kufa kwao.
Kwani ameshachaguliwa kuwa mbunge ?
 
Kila mtu ana haki kikatiba, ila mama Kikwete na Mwinyi walichofanya sio sahihi. Mama salma kikwete angeachia hata ukoo mwingine nao ule national cake ya ubunge huko kwao kusini, maana yeye na mumewe wana asilimia 70 ya mshahara wa urais mpaka kufa kwao.
Nasikia Salma kikwete anautaka uwaziri na ikiwezekana hapo baadae uraisi wa Jamhuri
 
#Ufalme au?

Hussein Ali Hassan Mwinyi ~ Mgombea URais Zanzibar

Abbas Ali Hassan Mwinyi-
Ubunge ~ Fuoni

Abdalla Ali Hassan Mwinyi -
Mbunge ~ Mahonda

Zubeida Shaibu (Mkewe Abbas Ali Hussein Mwinyi)
Mbunge ~ Mfenesini
Hapo ndio Mwinyi anakwambia Magufuli babaaa tawala milele.

Wanampa atakacho. Masikini wenzangu tukomae na vitambulisho vya machinga🤐🤐🤐🤐
 
Kwa nini familia ya Nyerere inatoswa sana na wajumbe wa Ccm na kwa nini familia ya Mwinyi imebebwa sana huko zanzibari na WAJUMBE?

NOTE;MODE USIFUTE UZI HUU.
Familia ya Nyerere mwenye unyerere ni honourable Freeman Mbowe
 
Hili la Salma Kikwete ni dhahiri mumewe hana power nyumbani kwao juu ya maamuzi ya Huyu mama!

It is beyond belief that she could decide to go and contest a parliamentary seat instead of taking care of an ailing retired politician!! Kama ukwasi Vasco Dagama amejilimbikizia wa kutosha!
Vasco mzee wa safari
 
#Ufalme au?

Hussein Ali Hassan Mwinyi ~ Mgombea URais Zanzibar

Abbas Ali Hassan Mwinyi-
Ubunge ~ Fuoni

Abdalla Ali Hassan Mwinyi -
Mbunge ~ Mahonda

Zubeida Shaibu (Mkewe Abbas Ali Hussein Mwinyi)
Mbunge ~ Mfenesini
Kuna mwana CCM mmoja miaka nenda miaka rudi, yeye anaimba mapambio lkn hata huo msosi wa mara mbili kwa siku hamna !!!



MZEE MWINYI ATAENDELEA KUMSIFIA MAGUFULI, KWA SABABU MATUMBO YA WANAFAMILIA YAKE YAMEJAZWA NI KIPOFUUUU.
 
#Ufalme au?

Hussein Ali Hassan Mwinyi ~ Mgombea URais Zanzibar

Abbas Ali Hassan Mwinyi-
Ubunge ~ Fuoni

Abdalla Ali Hassan Mwinyi -
Mbunge ~ Mahonda

Zubeida Shaibu (Mkewe Abbas Ali Hussein Mwinyi)
Mbunge ~ Mfenesini
Mzee Mwinyi naye aliingia ligi ya kutaka Rais Magufuli “atawale milele”.
Wananchi wametake note!
 
Back
Top Bottom